Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
lets say umepewa lift kwenye paso, kaa kwa kutulia, usianza kusifia ma cruiser au vogue mnazopishana nazo.Ukipewa lift,usipige na honi.
Hii tabia mbaya sana unamwonyesha mtu picha anataka simu unampa anascroll picha zingine.Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
Nani huyo alikutukana ndani ya ndinga lakoπlets say umepewa lift kwenye paso, kaa kwa kutulia, usianza kusifia ma cruiser au vogue mnazopishana nazo.
Usianze kuweka vimaneno maneno "ddh ile gar inakimbia ile, umeona alivyotupita KAMA TUMESIMAMA VILE"
ππ
sio vizuri
Mda mwingine bora umtafute ili mtu asije akateua marehemu wakati wewe upoπjokesUkihitajika utaitwa
Ahahahaj. Acha kupiga piga simu hovyo, "oii ule mchongo vip, nilikua naulizia tu man"?.Ukihitajika utaitwa
Daah!! Acha tu mdogo angu, nisije nikalia bure mbele za watu hapaNani huyo alikutukana ndani ya ndinga lakoπ
But why?ukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Kama unapenda sana kula, tumia hela zako!.But why?
Sina utani kabisa kwenye sekta ya chakula. Nakula hadi mwisho
Unakuta sina helaUkienda ugenini,wakati unaondoka,wape watoto hela kama zawadi,licha tu ya wao kufurahi bali huwajengea memory nzuri kwako wakisha kua wakubwa.
Ukila mpaka zile za mwisho utaonekana mtu wa njaa na masikini wa kutupwa,hii hupunguza heshima kwako.But why?
Sina utani kabisa kwenye sekta ya chakula. Nakula hadi mwisho
Ukimkiribisha hakikisha ni za kutosha.ukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Kukaribishwa chakula haimaanishi umeshindwa kujinunulia chakulaKama unapenda sana kula, tumia hela zako!.
wakumbushe pia wakiwa wanasema makharusi waseme kwa sauti ndogo, DJ anaweza katisha muziki muda unaosema 'Bibi kharusi mwenyewe mbaya na hata hajapendeza',Ukifika kwenye ukumbi wakati wa harusi acha ku"focus" na suti ya bwana harusi wala gauni la bibi harusi, wazia chakula tu. Hii inasaidia kukuepusha na umbea usio na maana π€
Nitaonekana maskini lakini kiuhalisia sio masikini. Hilo si tatizo langu ni la huyo aliyefikiria hivyo.Ukila mpaka zile za mwisho utaonekana mtu wa njaa na masikini wa kutupwa,hii hupunguza heshima kwako.
Au sioπTutafute hela