Unawezaje kuepuka kukataliwa na Mwanamke umpendaye kupitia hisia zake?

Unawezaje kuepuka kukataliwa na Mwanamke umpendaye kupitia hisia zake?

- Mbinu pekee unazotakiwa kujifunza ni kutafuta pesa.

- Mambo ya kutumia nguvu na akili sababu ya mtu mwingine ni kupoteza muda, muda ambao ungeutumia kubuni mbinu za kutafuta pesa.

- Mimi ni muhanga wa "miscommunication" ( kama ulivyotaja hapo juu), yaani sijui niseme nini wakati gani ili kuvuta attention ya mtu mwingine, na yeyote atakaye liona hili kama tatizo basi he/she 's not worth my time.

- Mpe muda wako mtu anaejali huo muda uliompa, mpe attention mtu anaye kupa attention. Achana na mambo ya kuangaika na watu, Tafuta pesa.
 
Imeandikwa;

“Furaha ya Bwana hai hang amani na huzuni “

[emoji108][emoji108]

Sasa Habari ya Furaha na huzuni tena?!

Labda ungeiweka kwa namna nyingine mfano masusa au madeko na udhia mdogo mdogo lakini kusema na huzuni tena? mnh naona kama siyo!
 
Kwa sehemu umeandika kwa usahihi ni kweli kwenye hapo umeandika kuhusu kuamsha hisia nakubaliana nawe!

Yani tena patamu hapoo!
 
Jamaa unashushaga manondo marefu lakini amini nakuambia hakuna unachokiishi hata kimoja.

Mapenzi yanakuburuza sana ndio maana unakaa na ku google hizo article ambazo mara nyingi hazina uhalisia.
Mkuu nenda ugugo kama utayakuta ,ukiyakuta wawekee hapa Link wana nao wasome !!.

mapenzi hayajawah na hayatokaa kuniumiza kwa sababu Sijawah ruhusu Mwanamke kuniumiza kwenye mapenzi.
Yaan nikutongoze Mimi, nikutake Mimi .. Uniumize tena??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi sina maisha hayo, Mimi maisha yangu ni ya kuchagua vitu navyovitaka .
Simngekua mnaona hata nyuzi zangu ni zakulia lia.

Mimi sasa ndo wananililia kila uchwao !!!.
 
Niliposoma hapo kwenye akili na hisia na kuona mleta mwandishi kaanza na fallacy uzi wote ukakosa maana na nikaishia hapo
Mkuu, nacho andika namaanisha ...

Na naandika kwa sababu ya uzoefu wa Maisha yangu,

Mimi huwa siandiki kwa kuwatumia WATU wengine kama mfano...mfano nimimi mwenyewe.

Wee fikiria, kwa huu Mwaka ukiisha, nitakua na watoto watano, toka kwa mama tofauti tofauti, unadhan inakua je mpaka wanakubaliana kuzaa namm??.
 
Kwanini umetumia Jina la Jesca??
Jesca ndo demu ninayempenda hadi kesho ila ndiyo hivyo kanikataa na namba yake sijafuta nimepanga kutomtafuta tena niishie kuona status zake wasap tuu.
Ikiwezekana Jumatatu anirudishie 20000 yangu niliyomkopesha.

kudadeki zako Jesca.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jesca Hahahaha ... Huyu Manzi ni Pini balaa


Mchaga mzuri mnooo .
 
Imeandikwa;

“Furaha ya Bwana hai hang amani na huzuni “

[emoji108][emoji108]

Sasa Habari ya Furaha na huzuni tena?!

Labda ungeiweka kwa namna nyingine mfano masusa au madeko na udhia mdogo mdogo lakini kusema na huzuni tena? mnh naona kama siyo!
Ndio FURAHA na HUZUNI.


Ushawah jiuliza, kwann MWANAMKE Akiona Tamthiliya ya kuhuzunisha, anaweza huzunika mpaka akatoa machozi, akakosa raha siku nzima ,na ukamshangaa kwann kawa vile wakat hiyo ni Movie ????.
 
Jameni aliyesoma atupe ufupisho bas mana duh imekuwa ndefu hatar
 
Ndio FURAHA na HUZUNI.


Ushawah jiuliza, kwann MWANAMKE Akiona Tamthiliya ya kuhuzunisha, anaweza huzunika mpaka akatoa machozi, akakosa raha siku nzima ,na ukamshangaa kwann kawa vile wakat hiyo ni Movie ????.



Hiyo haiwezi kuwa na jibu la aina moja kama unavyoweza kuzani.

Wengine husababishwa na mapokeo tu , kwamba wakati anakuwa walezi/wazazi au walokuwa wanamzunguka aliwaona wakilia kwa mambo kama hayo akachukulia Ndiyo namna ya kuitikia kumbe siyo sahihi.

Tunahitaji maarifa zaidi .
 
Back
Top Bottom