Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Hii ni kwa wanaume wasio na hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa unashushaga manondo marefu lakini amini nakuambia hakuna unachokiishi hata kimoja.
Mapenzi yanakuburuza sana ndio maana unakaa na ku google hizo article ambazo mara nyingi hazina uhalisia.
HahahaahaJamaa unashushaga manondo marefu lakini amini nakuambia hakuna unachokiishi hata kimoja.
Mapenzi yanakuburuza sana ndio maana unakaa na ku google hizo article ambazo mara nyingi hazina uhalisia.
Money + money = MoneyMoney money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money money!!!
Mkuu ,Kwa maisha ya Mtanzania , SINA NJAA.Tafuta hela tu mwanangu
Mkuu nenda ugugo kama utayakuta ,ukiyakuta wawekee hapa Link wana nao wasome !!.Jamaa unashushaga manondo marefu lakini amini nakuambia hakuna unachokiishi hata kimoja.
Mapenzi yanakuburuza sana ndio maana unakaa na ku google hizo article ambazo mara nyingi hazina uhalisia.
Mkuu, nacho andika namaanisha ...Niliposoma hapo kwenye akili na hisia na kuona mleta mwandishi kaanza na fallacy uzi wote ukakosa maana na nikaishia hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jesca Hahahaha ... Huyu Manzi ni Pini balaaKwanini umetumia Jina la Jesca??
Jesca ndo demu ninayempenda hadi kesho ila ndiyo hivyo kanikataa na namba yake sijafuta nimepanga kutomtafuta tena niishie kuona status zake wasap tuu.
Ikiwezekana Jumatatu anirudishie 20000 yangu niliyomkopesha.
kudadeki zako Jesca.
Nikweli, Bahati nzuri Pesa ,tunazidiana na Pesa haijawah mtosha MTU .Hii ni kwa wanaume wasio na hela.
Hahahaha wee wafanyie ivo, utakua unawaacha lkn wana kutafuta wao wenyewe !!.Sema Mkuu ile thread yako ya kumfikisha mwanamke kileleni [emoji28][emoji119]
Imenipa kitu cha ziada
Ndio FURAHA na HUZUNI.Imeandikwa;
“Furaha ya Bwana hai hang amani na huzuni “
[emoji108][emoji108]
Sasa Habari ya Furaha na huzuni tena?!
Labda ungeiweka kwa namna nyingine mfano masusa au madeko na udhia mdogo mdogo lakini kusema na huzuni tena? mnh naona kama siyo!
Achana na Hela...SINA NJAA.Mtoa mada tafuta hela mkuu
Ndio FURAHA na HUZUNI.
Ushawah jiuliza, kwann MWANAMKE Akiona Tamthiliya ya kuhuzunisha, anaweza huzunika mpaka akatoa machozi, akakosa raha siku nzima ,na ukamshangaa kwann kawa vile wakat hiyo ni Movie ????.