Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi jamii forum yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi ,shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu ..inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu,tabia chafu sana hii
Punguza kumlisha maharage broo
 
Inaweza kuwa tatizo la kuzaliwa au malezi.

Kuna watu wanakuwa hivyo na kuna wengine wanakuwa hivyo kulingana na vyakula wanavyoula. Wengine ni malezi niliishi kwa muda mfupi mkoa fulani ilikuwa ni kawaida kwa mtu mzima kwenye watu wengi au kwenye gari kujamba na watu wakaa kimya
Jenhiyo tabia ameanza muda KABLa hamjaoana au baada ya kuoana?
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi jamii forum yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi ,shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu ..inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu,tabia chafu sana hii
Mmekutana pipa na mfuniko wake
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Jina lako haliendani na ubwabwaji huu.

Zingatia sana wahenga waliposema haya:

1. Habari za nyumbani simfunulie jirani.
2. Nguo chafu husafishwa uani.


Kwani ukumbuke kuwa " Kuchamba kwingi, kuondoka na mavi. "
 
Anywe maji mengi ameze dawa za kutoa gas akapimwe vidonda vya tumbo
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
 
chai_chapati_03.jpg
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Nipe namba yake. Mbona mie tunajamba yaani Ile freely bila kuwaza kuwa unamkera mwenzako.
Jaribu kumlisha chakula natural achana na hizi from shops. Ale swaumu na maji kitunguu kibichi utakuja kuniambia.mwambie atafune raw ginger na anywe mtindi wa asili pia na bamia mbichi.
 
Back
Top Bottom