Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Huna akili 😂
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Na wengi ndiyo hao wanakula bila kipimo na hawachagui nini ale na wakati gani, mwisho wa siku wameyumbisha ndoa zao na kuishia kujuta
 
Aisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje kukojoa kama watoto wadogo?
Ni malezi mkuu ndio yanasababisha
 
Mshauri awe anaenda haja kubwa kila akijisikia asibane haja.
Mtu aliyebana haja ndio ushuzi wake unanuka.

Kipindi sisi wadogo, ukiachia ushuzi ukinuka mama zetu na bibi zetu wanatuambia nenda chooni hata kama hujisikii jilazimishe na kweli baada ya hapo hali inakuwa shwari.

Tatizo watu wanaona ni sawa kupitiliza siku hajaenda haja kubwa halafu anategemea ushuzi usinuke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Umri wako ni mdogo sana kuyaelewa haya mambo. Ndo maana unajianika hadharani kuwa hujui haya mambo yapoje.

Kikubwa, mkeo anakupenda sana sana na anatamani ujue jambo flani hivi nyeti na wewe ujanitia ujuha
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hd

Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Dah liambie liache hiyo tabia kaka
 
Inaweza kuwa tatizo la kuzaliwa au malezi.

Kuna watu wanakuwa hivyo na kuna wengine wanakuwa hivyo kulingana na vyakula wanavyoula. Wengine ni malezi niliishi kwa muda mfupi mkoa fulani ilikuwa ni kawaida kwa mtu mzima kwenye watu wengi au kwenye gari kujamba na watu wakaa kimya
Jenhiyo tabia ameanza muda KABLa hamjaoana au baada ya kuoana?
ni malezi maana wengine kujamba ni aibu kubwa,atajizuia sana au ataenda kujambia chooni,na iwapo utamtoka ghafla,ataomba radhi sana,mimi nakumbuka nilipata mdada ana umri wa miaka 33 hii ni miaka 30 iliyopita,tulianza mapenzi kwa kupendana na kuheshimiana sana,siku moja ushuzi ulimtoka ghafla aliniomba sana radhi,nikamwambia usijali,ni ubinadamu huwezi kujizuia
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Uwe unamuachia hela ya nyama. Siyo kila siku unamlisha mtoto wa watu ugali na maharage tu, halafu unakuja kutulalamikia humu jukwaani.
 
Minyoo akapime... Au pia angalia upande wa pili isije kua bearing na gaskets zimeisha tayari sabu ya......
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
 
Jamani mtoto wa kike yuko na mmewe hata kujamba aombe kibali hebu wanaume tuwe wavumilivu mwanamke kua uhuru flan akiupata hua anajisikia sifa kua na ww.
 
Back
Top Bottom