Duhhh hii kali msameheeeππ€π€Inaonekanakana we ni msafi mpaka taulo hufui.
doh!!Mavi yako sio sumu!
ππππaiseeKuna watu humu jf mie nachekagaaa tu! Wengine hutaka kuonekana wao ni exceptional! Lkn hola !
Nani alikuambia kujisaidia lazima usafishe na sabuni! ? Unless hunywi maji wala hupati matunda ya kutosha mwilimi mwako ikiwa nipamoja na mbogamboga za majani!
Pata hvyo vitu hakika mavi utakayokunya hayatakuwa na harufu hyo ya kuosha kila wakati kinyeo kwa sabuni.
Kuna watu wanakunya n'nya inanuka haswaaa,,,na ww nimoja wao ndo maana unaweza bana mavi hadi muda wa kuoga hujui unajitafutia magonjwa yaliyo na gharama kubwa katika kuyatibu.
Nyaaa maliza ,jitawaze narudia jitawaze kwa maji safi na mengi ya kutosha. Kisha jifute vzuri kwa kitu kisafi na kikavu.
Kamwe hutosikia harufu ya namna hyo.
Anza sasa, anza leo kisha leta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh[emoji23]Chief mkwidu haujawahi kuwa msafi hata ungetawazia Jiki. Niamini mimi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri acha huo mchezo mkuu. Unaharibu normal flora. Utapata fangasi sugu na warts zisizoisha. We unadhani usafi na kwmaba tutakusifia kumbe unaharibu. Dont try this againHivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.
Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.
Kwa utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hii ndo sababu kubwa ya wadada wenye chura kutoa harufu pindi ukiwapa style ya mbuzi kagoma