Unawezaje kujisaidia haja kubwa na kujisafisha bila sabuni?

Unawezaje kujisaidia haja kubwa na kujisafisha bila sabuni?

Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.

Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.

Kwa utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hii ndo sababu kubwa ya wadada wenye chura kutoa harufu pindi ukiwapa style ya mbuzi kagoma
MKUU inaonekana ukikata GOGO linatoa harufu mbaya sana huwa una kula nini??? au viporo
 
Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.

Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.

Kwa utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hii ndo sababu kubwa ya wadada wenye chura kutoa harufu pindi ukiwapa style ya mbuzi kagoma
Ni salama zaidi kutumia karatasi ya tishu kisha unamaliza na kuosha na maji salama bila sabuni then ndo unanawa mikono yako na sabuni kwa maji ya kutiririka.

Kuosha kinyeo na sabuni ni hatari kwani sabuni zina kemiko ambazo zinaweza kusababisha madhara makubwa.
 
Hiyo sabuni inakaa chooni au unatembea nayo mfukoni?kama inakaa chooni basi unahamasisha uchafu na uambukizwaji wa magonjwa kwa urahisi sana.Fikiria upya.
 
Jamani mkienda kwa watu muwe makini na sabuni...hebu fikiria mtu qnaipitisha sabuni mknduni kila siku halaf ww unaichukua unanawa mikono
[emoji23]dadeq hata baadhi ya nyumba wanaweka sabuni ya kipande chooni .kila mtu anaitumia kunawa
 
Nadhani wengi huwa hamjijui. Mavi ni msosi ulioingilia juu na kutafuta njia ya kutokea huko chini. Kama hutaki kunya basi usile. Ni utoto kuogopa kwenda kunya ati kuna watu pale karibu na choo. Hivi, najiulizaga, hiyo nyumba ni ya kufanyia mazungumzo au kukatia gogo??

Naenda tena taratibu na kuwapasha habari hao waliokaa karibu kuwa; Mkisikia kama vitu vinatikisa sio tetemeko bali ni magogo hayo yanapukutika. Au mkisikia sauti ya tarumbeta, hakuna sherehe humo ndani bali ni shughuli imefanyika kabla gogo halijakomaa.

Siwezi kichukia hicho kinitokacho ila sitakikumbatia. Mavi ukichamba hayaachi harufu. Na si kila mkono hutumika kuchambia. Waenda kunusanusa vyura vya watu we beberu?? Acheni kuzama chumvini kuna saratani za koo nyiye. Ohooo! Msijesema hatujawaonya.
 
Kwa wewe mtoto wa kike ni halali upitishe soap.
Ila kidume kujichezea huko na ma sabuni ni ku hatarisha usalama wa "rinda"
Ila baadhi wanaume mnapenda sana kuhalalisha uchafu kwa sababu zisizo na mashiko
Sasa ukinawa na sabuni unatoaje marinda, aunajichezeaje? Labda kama umedhamiria kujichezea na kujitoa hayo marinda.

Mnapenda uchafu sasa mtu uwe na minywele, umepupu hujasafisha na sabuni boxa urudie ptyuuuuuuuuu kinyaa
 
Yaani, katika harufu rahisi,/ uchafu rahisi kutoka namba moja ni mavi, yaani mavi yangekuwa na harufu kama tumbaku vile inhekuwa kazi sana
 
Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.

Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.

Kwa utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hii ndo sababu kubwa ya wadada wenye chura kutoa harufu pindi ukiwapa style ya mbuzi kagoma

Unanitawaza ukiwa bafuni?
Mabaki ya mavi unayaacha yametapakaa
 
Back
Top Bottom