Unawezaje kujisaidia haja kubwa na kujisafisha bila sabuni?

Unawezaje kujisaidia haja kubwa na kujisafisha bila sabuni?

Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.

Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.
Tumia tishu
 
Vitu vingine ni vya kijinga sana.Sijui mnapata wap guts za kuja na nyuz kama hiz.unamchambia nani na sabuni sasa au huwa unapekenyuliwa ili usikutwa na mavi huko kwenye tundu?

Pumbavu kabisaa
 
Sehemu za siri hazishauriwi kuoshwa kwa sabuni kiafya!

Unachotakiwa ukimaliza kujisafisha kwa maji safi kisha nawa mikono yako kwa sabuni na maji tiririka.

Lakini wakati wa kuoga unaweza pitisha sabuni kwa juu juu kimtindo
 
Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.

Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.

Tatizo wewe huwa unakunya mavi, wenzio tunakunya makimba, kuna tofauti ya kimba na mavi. Ukinya kimba unaweza kutoka chooni hata bila kunawa, ukinya mavi hata toilet paper haitoshi kutawaza hadi uwe na maji mengi, kula vizuri ili unye makimba, kula vibaya unye mavi.
 
Aliyekuumba alishafanya kazi ya kutosha ndio maan husikii harufu ya vilivyomo ndani ya mwili mpaka pale utakapovitoa mwilini....sasa ni kipi cha mno unachotaka kufanya wewe?.

Ndio maana hata ukivunja upepo hali inakuwa si hali kuashiria ya kwamba vilivyopo ndani ya mwili vimedhibitiwa...wala usijichoshe bure.
 
Tatizo wewe huwa unakunya mavi, wenzio tunakunya makimba, kuna tofauti ya kimba na mavi. Ukinya kimba unaweza kutoka chooni hata bila kunawa, ukinya mavi hata toilet paper haitoshi kutawaza hadi uwe na maji mengi, kula vizuri ili unye makimba, kula vibaya unye mavi.
Aiseee🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom