rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Kwamba anasafishaa kitu na sabunii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa msafi bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba anasafishaa kitu na sabunii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa msafi bana
Tumia tishuHivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.
Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.
Nahisi ana minyoo ndo mana choo yake inatoa harufu sanaMKUU inaonekana ukikata GOGO linatoa harufu mbaya sana huwa una kula nini??? au viporo
Nimecheka sana hii responce yako.Licha ya kwamba haina caption ila inajieleza vya kutosha.
Hivi unaanzaje kujisaidia haja kubwa alafu unatawaza bila sabuni,?
Hakika huwezi kata harufu kama utatumia maji na toilet paper tu.
Nimejizoesha kujisaidia haja kubwa kipindi ninapooga ila kuepukana na adha ya harufu mbaya.
Aiseee🤣🤣🤣🤣Tatizo wewe huwa unakunya mavi, wenzio tunakunya makimba, kuna tofauti ya kimba na mavi. Ukinya kimba unaweza kutoka chooni hata bila kunawa, ukinya mavi hata toilet paper haitoshi kutawaza hadi uwe na maji mengi, kula vizuri ili unye makimba, kula vibaya unye mavi.
😂😂😂Labda alishaanza kitamboUkifikia stage ya kupaka Mkoonduw vaseline kila baada ya kutawaza uje uandikie na uzi wake!
We si msafi bana.