Academic yake ipo chini sana mkuu , Nimekusoma mkuuWatu wote hatuwezi kufanana, kila mtu ana interest zake sasa unapotaka huyo awe kama wewe hapo ndipo unapofeli blaza.
Seems like hujui unachokitaka kwa huyo mwanamke, au una wanawake wengine nje so ukifanya comparison unaona kama huyo ni mshamba but jua ndoa ni zaidi ya hizo exposure unazoforce huyo mtu wako awe nazo.
Jamaa unakomaa na academic academicπππAcademic yake ipo chini sana mkuu , Nimekusoma mkuu
Mwanamke akiwa na Sharp thinking as you umekwisha.Sawa mkuu , ile sharp mind huwezi kuiinstall kwa mtu aliyekomaa akawa Sharp in thinking ?
Hapana mkuu , ni Engineer wa UDSM
Mkuu hapo UDSM kuna maprofesa wameoa watu wenye academic exposure ndogo na wamedumu nao...academia is not amongst the pillars of a healthy marriage !Aisee nachotaka awe na exposure ya vitu vya msingi , I mean uwezo wa kuwaza uchangamke
Mwambie mdogo wetu chugaaMkuu hapo UDSM kuna maprofesa wameoa watu wenye academic exposure ndogo na wamedumu nao...academia is not amongst the pillars of a healthy marriage !
Nimekuelewa sana mkuu .πMwanamke akiwa na Sharp thinking as you umekwisha.
Kwanza mzee unabahati ila hujui kama umeipata.
Mwanamke akiwa anafikiria logical kama wewe means mkeka wako umechanika madume mawili under the same roof.
Acha awe passive kimtindo ila isiwe saaana, ili uweze kudominate territory vizuri.
Muue !Achana nae njoo kwetu wadada wa mjini tuliochangamka na wewe tunakuchangamsha zaidi ya hapo....
Hafi, anachangamshwa tu....
Hiyo pttuuuuuh ..imekaa kikike sana, kaza ..chuga hatuko hvyoKwa hiyo Exposure unayejua ni kuliwa tigo? Aiseeee pttuuuuuh ...Guys naongea Academic exposure
Jibu mrua kabisaSiku akipata hayo ma exposure utajua hujui.....
usimwamshe aliyelala..
OA mpiga jembe huyo achana na wasokota kucha
Mkuu unaoa vyeti au mwanamke?Academic yake ipo chini sana mkuu , Nimekusoma mkuu
Sharp in thinking kwenye mambo gani? Au umemfungulia kampuni ameshindwa kuirun?Sawa mkuu , ile sharp mind huwezi kuiinstall kwa mtu aliyekomaa akawa Sharp in thinking ?
Njoo umalizie kwetu wadada wa mjini degree, exposure, na zaidi ya hayo utapata....sisi ni full package unapatikana wapi hapa mjini?Huko nishapita mkuu , sasa nataka wa kumalizana naye maisha ππ€£