INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Muoe huyo ndo anafaaa ...Swa mkuu , well noted .
Huwa nikichangia mada huwa narudia kuiangalia kama ipo sahihi au la ,nimeona haifai nikafuta [emoji1787].Sawa mkuu . Nimekuelewa vyema.
Mbona ukafuta tena ulichoandika? LOL
ππππSaa ya kuimba parapanda wenye exposure watajua wazi kilichomuua marehemu ni michangamsho na siyo ulozi.
So wanaume ndio hawapo intelligent naturally?! Hivi wewe ni mzima wewe, unajua historical details and information juu ya civilization ?! Hebu muwe mnasoma vitabu kabla ya kuropoka ropoka hayo maneno ya kuudhi ili kuwafurahisha nafsi wanawake na mnajua kuwa mnawachota akili.Never ever take a woman for granted.......their naturally so bright and intelligent, wewe ndo mshamba pamoja na ka degree kako, huwajui hao viumbe
Kwan ulikuwa unataka kufungua shule mkeo aisimamie?! Kuchokonoa mchokonoe pweza binadamu hautamuweza. Naona unaanza mtafuta ubaya wake kwasababu tu amekuonyesha mazuri.Ile sharp mind ya kawaida ,yaani huyu hata ukikaa nayeukidiscuss hoja shuleini kasahau kila kitu
Unajua unapotaka kitu ni lazima ujiulize unatafuta matokeo gani. Hadi sasa nimeshindwa kuestablish unachotafuta kwa huyo mwanamke yaani unataka aweje ili iweje?!Poleee sana dada yangu , Huyu mwenzako nampenda ila ni mvivu wa kujifunza vitu . Hata vipindi vya TV yeye ni muziki na movie tu , Hataki hata kuangalia vipindi akajifunza kitu.
Kwahiyo unataka kuendelea na huyo aliepoa??? Ujue mahusiano yako yatakua kama chai isio na sukari wala viungo.Mkuu mimi mtoto wa mjini haswaa . Hao wa dada wa mjini hwanistui hawanishtui ππ
Sasa mkuu mnadiskasi mambo ya shule nyie wanafunzi?! Embu muoe mwanamke mwenzetu usimtafutie sababu bwana wee..Ile sharp mind ya kawaida ,yaani huyu hata ukikaa nayeukidiscuss hoja shuleini kasahau kila kitu
Nataka mwanamke anayeweza kuja kushape watoto , I mean watoto wanaweza kuja kuathirika na hii low thinking yakeUnajua unapotaka kitu ni lazima ujiulize unatafuta matokeo gani. Hadi sasa nimeshindwa kuestablish unachotafuta kwa huyo mwanamke yaani unataka aweje ili iweje?!
Kwani kubet kuna shida gani hebuuuu hukoooooNipe huyo nikupe hili la kwangu mkuu....
Mimi wangu mpaka anabeti na anamkubali Twaha kiduku aisee yani najutaaa basi tu..
Nipe namba yake
Fuata ushauri huu, kama huwezi Futa huu uzi. Mama wa watoto wako hastahili hayo ma exposure.Siku akipata hayo ma exposure utajua hujui.....
usimwamshe aliyelala..
OA mpiga jembe huyo achana na wasokota kucha