Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?


"Aliponiona alishtuka!"

Kuna uwezekano mumeo kashampiga chini, otherwise asingekuja wakati upo...

Kuna uwezekano pia, alishakuwa huru sana na mumeo na sasa ametaka kuwa huru na hapo kwenu...

Pia kuna uwezekano kwa akili zenu wadada/wanawake, alikuja makusudi ili tu umuone, ujue huyo ndio bi mdogo 😥

Again, tafuta kujua kwa nini mumeo ameleta mbususu ya kando home kwenu...
 
Yani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Hilo sasa ni pepo lililoingia kwako kupitia mlango wa uzinzi aliofanya mumeo! Lengo la hilo pepo ni kuharibu urafiki wako na Yesu! Urafiki wenu ukishaharibika hapo kila kitu kitakuwa kimekwisha! Utapoteza furaha,utapoteza amani, utapoteza upendo, utapoteza mali na zaidi ya yote utapoteza ufalme wa Mungu! Muombe Mungu akusaidie kusamehe na kusahau!
 
Polee sanaa mama natambua inauma [emoji26] ila nakushauri umsamehe muendelee na ndoa yenu madam amekiri kuwa ametenda na amelitambua kosa na kuomba msamaha ,,,,, tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu tuna genetic material ya Mungu na Mungu usamehee wetu usamehee na kusahau iweje ww usisamehe na kuachilia lipite
 
Kuna baadhi yetu wanaume ni wapumbavu sana,unapeleka malaya nyumbani?kabisa unakoishi na mke na watoto unaokota mwanamke unaenda kulala nae humo?na anadhihirisha upumbavu wake wa kukiri kufanya hayo!

Ni pombe au kitu gani!!!
Sina hakika kama uyo jamaa ni mwanaume.

Mwanaume wa kweli hawezi kufanya alichofanya jamaa, Hawezi kuokota malaya akampeleka kulala kitanda anacholala mkewe.

Mwanaume wa kweli hawezi kukiri ukweli Hata kama anajua mkewe ameshagundua, kihisia unapokiri ukweli mbele ya Mwanamke wako Kule kukiri kwako kutamtesa Sana, hisia zake juu Yako zitapungua Sana.

Jamaa alikosea Sana kukiri kuchepuka makosa kama haya hufanywa na vijana sio mwanaume aliyekamilika.
 
Shida sio kumsamehe, Atamsamehe vizuri.

Tatizo hana hisia nae tena, afanye nini hisia zirudi juu ya mumewe? Hilo ni Tatizo zaidi.

A nahitaji kusaidiwa Kwa hili.
 
Pole sana, msamehe endelea na maisha kupata mwanamme ambayebm hacheat ni ngumu sana sasa hivi, tumebaki 9 hapa Tz lakin namie naenda kushindwa sio muda hivyo watabaki 8[emoji25]
Nami naenza kushindwa hivo watabaki7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…