- Thread starter
- #61
God forbid!Eti "mume wetu"[emoji1787][emoji1787]
Sikiliza moyo wako nini unataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
God forbid!Eti "mume wetu"[emoji1787][emoji1787]
Sikiliza moyo wako nini unataka
Evidence zinatosha kabisa nyingine sijazisema tu na mbaya zaidi siku nimefika tu huyo mwanamke siku kama ya 3 alikuja Akanikuta nje ya nyumba napika huku nimevaa shati la bwanaetu niseme . Aliponiona alishtuka sana kaniangaliaaaaa hajasema kitu akaondoka .
Asante!WANGEKUA WA UMUHIMU ANGEWAO WAO, WEWE NDIYO MKE WENGINE TAMAA TU MAMA. LEA NDOA YAKO
Kabisa yani!Alipokesea ni hapo kwenye kukiri na kuomba msamaha. Bora angekataa tuu. Wanawake tunapenda kudanganywa
Kama hujawahi kukosea Toka uwe na mmeo usimsamehe ila kama nawe ni binadamu unajua mtu akitubu basi asameheweYani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Ila nakuelewa dear mume ni mume wako huyo msamehe tuu. Ukimsamehe atakupenda zaidi.Kabisa yani!
Ndoivo Naomba mungu anisaidie tu hiki kipindi kipite nisahau kabisa nirudi kuwa kawaida!Ila nakuelewa dear mume ni mume wako huyo msamehe tuu. Ukimsamehe atakupenda zaidi.
Kwa hiyo na wewe unakubali kuwa inatakiwa muwe mnadanganywa?Kabisa yani!
Jamani!!!Kwa hiyo na wewe unakubali kuwa inatakiwa muwe mnadanganywa?
Mungu atakusaidia japo its not easyNdoivo Naomba mungu anisaidie tu hiki kipindi kipite nisahau kabisa nirudi kuwa kawaida!
Mwanamke ni aliewekwa ndani hao wengine ni takataka tu mrudishie upendo.Asante!
Hilo sasa ni pepo lililoingia kwako kupitia mlango wa uzinzi aliofanya mumeo! Lengo la hilo pepo ni kuharibu urafiki wako na Yesu! Urafiki wenu ukishaharibika hapo kila kitu kitakuwa kimekwisha! Utapoteza furaha,utapoteza amani, utapoteza upendo, utapoteza mali na zaidi ya yote utapoteza ufalme wa Mungu! Muombe Mungu akusaidie kusamehe na kusahau!Yani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Polee sanaa mama natambua inauma [emoji26] ila nakushauri umsamehe muendelee na ndoa yenu madam amekiri kuwa ametenda na amelitambua kosa na kuomba msamaha ,,,,, tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu tuna genetic material ya Mungu na Mungu usamehee wetu usamehee na kusahau iweje ww usisamehe na kuachilia lipiteHabari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
View attachment 2024934
Sina hakika kama uyo jamaa ni mwanaume.Kuna baadhi yetu wanaume ni wapumbavu sana,unapeleka malaya nyumbani?kabisa unakoishi na mke na watoto unaokota mwanamke unaenda kulala nae humo?na anadhihirisha upumbavu wake wa kukiri kufanya hayo!
Ni pombe au kitu gani!!!
Shida sio kumsamehe, Atamsamehe vizuri.Polee sanaa mama natambua inauma [emoji26] ila nakushauri umsamehe muendelee na ndoa yenu madam amekiri kuwa ametenda na amelitambua kosa na kuomba msamaha ,,,,, tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu tuna genetic material ya Mungu na Mungu usamehee wetu usamehee na kusahau iweje ww usisamehe na kuachilia lipite
Nami naenza kushindwa hivo watabaki7Pole sana, msamehe endelea na maisha kupata mwanamme ambayebm hacheat ni ngumu sana sasa hivi, tumebaki 9 hapa Tz lakin namie naenda kushindwa sio muda hivyo watabaki 8[emoji25]