Unene unapoteza umbo zuri la asili na pia nguo hazipendezi tena mwilini. Nguo zinakuvaa badala ya kuzivaa. Wanaume wengi wanashindwa kufikisha ujumbe huu kwa wake zao.
Uhakisia ni kuwa unene unafanya wanaume wengi kutafuta michepuko. Mke anabadilika ghafla kutoka kale ka binti ulikokatolea mahari na kukaoa sasa anakua meneja wa nyumba.
Mkuu ukijua kazi yake, utampa salary au posho?Huwa najiulizaga sky eclat unafanya kaz gan[emoji23][emoji23][emoji23]mana kila baada ya nusu saa lazma upandishe uzi
Tumeweka uzi ili tupate experience za watu na wengine wajifunzeThread inaendelea au ndio "uzi tayari"?
Title ya uzi imekaa kama vile humu ndani tutakutana na mapoint na mambinu ya kuwaambia mamsapu zetu vile wamekuwa wapana kama pazia la sinema
Tumeweka uzi ili tupate experience za watu na wengine wajifunze
Huwa najiulizaga sky eclat unafanya kaz gan[emoji23][emoji23][emoji23]mana kila baada ya nusu saa lazma upandishe uzi
Balance diet zinaliwa na bado paja paja, kiuno kiuno, wowow wowow n.k hiyo ni asili akiridhika kidogo anakuwa na mwili na kwangu sioni tatizo kabisa as long as kiafya yupo salama.Wote tukila balanced diet sawa na kufanya mazoezi au kazi zinazotumia nguvu hakuna anae beha mafuta ya ziada labda ile misambwanda ya Wazulu.
Paja paja zinaletwa na ugali nusu mboga robo na wengine wana top up ba bia.Balance diet zinaliwa na bado paja paja, kiuno kiuno, wowow wowow n.k hiyo ni asili akiridhika kidogo anakuwa na mwili na kwangu sioni tatizo kabisa as long as kiafya yupo salama.