Unawezaje kumwambia mke wako sasa hivi umenenepa bila kuanzisha Vita ya Tatu ya Dunia nyumbani?

Unawezaje kumwambia mke wako sasa hivi umenenepa bila kuanzisha Vita ya Tatu ya Dunia nyumbani?

Unene unapoteza umbo zuri la asili na pia nguo hazipendezi tena mwilini. Nguo zinakuvaa badala ya kuzivaa. Wanaume wengi wanashindwa kufikisha ujumbe huu kwa wake zao.

Uhakisia ni kuwa unene unafanya wanaume wengi kutafuta michepuko. Mke anabadilika ghafla kutoka kale ka binti ulikokatolea mahari na kukaoa sasa anakua meneja wa nyumba.
Mke wangu unapndeza zaidi ukiwa mwembamba au unaweza mshauri muanze fanya mazoezi bila kutoa sababu. Au sema umeona sehemu kufanya mazoezi na mwenza wako inamotivate nk... kama yy n mtu wa mazoezi muambie mama nanilii... napendaga sana kukuona umeloa jasho... inanpaga motisha nk...
 
Mke wangu unapndeza zaidi ukiwa mwembamba au unaweza mshauri muanze fanya mazoezi bila kutoa sababu. Au sema umeona sehemu kufanya mazoezi na mwenza wako inamotivate nk... kama yy n mtu wa mazoezi muambie mama nanilii... napendaga sana kukuona umeloa jasho... inanpaga motisha nk...
Mke wangu unene unakuja na magonjwa mengi, kama tuna nia ya kuishi na kuona wajukuu ni kheri tufanye mazoezi pia tuangalie vyakula tunavyokula.
 
Kuna wengine sio wa kuambiwa kwa maneno ni mwendo wa kumpigisha shoti(stress) mpaka mwenyewe anarudi kwenye mstari mnyoofu.
 
Mda mwingine unakuta shingo inapanuka tu
 
Back
Top Bottom