Unawezaje kutumia VPN kwenye simu ya Android? Nini faida zake?

Unawezaje kutumia VPN kwenye simu ya Android? Nini faida zake?

Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.

Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .

IP address -
Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201

VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.

Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.

Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
nimeziona nyingi hapo ipi ni the best...nipatie nembo yake..
 
mkuu nimeshainstall VPN MASTER, kwahyo nikishaifungua ndio tayari inafanya kazi automatiki au???

maana nimeopen nikaweka sever ya France, so naweza fungua whatsapp au operamini kupitia hyo VPN master??


swali; Kama Tcra wamezima internet yaan aaccess vip sasa au nikishaifungua tu na server ikiwa France tayari inanipa internet??
Yeah we anza kula maisha, si funguo iemonekana opposite na upande wa saa hapo kwenye simu?
 
nimeweka mbili na server nchi tofauti...kuna ubaya? kwa hiyo hata niki.....m..tukna.. baba yao kama yule jamaa wa a.town siwezi kamatwa?
 
nimeweka mbili na server nchi tofauti...kuna ubaya? kwa hiyo hata niki.....m..tukna.. baba yao kama yule jamaa wa a.town siwezi kamatwa?
Kabla huja fanya unachotaka kwanza tumia Id nyingine.
 
mkuu nimeshainstall VPN MASTER, kwahyo nikishaifungua ndio tayari inafanya kazi automatiki au???

maana nimeopen nikaweka sever ya France, so naweza fungua whatsapp au operamini kupitia hyo VPN master??


swali; Kama Tcra wamezima internet yaan aaccess vip sasa au nikishaifungua tu na server ikiwa France tayari inanipa internet??
Aisee nilikuwa nmepumzika mkuu, kuhusu swala la ku access internet ni lazma upewe access na Internet Service Provider (ISP) wako. ISP wetu ndio hawa Vodacom Tz, MIC Tanzania Ltd (Tigo na Zantel), Viettel Tz(Halotel), Airtel Tz.
So moja kati ya hao lazma uwe na bando lake na internet access, VPN client atakuwezesha kukupa IP address feki tu na sio internet ya bure
 
Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.

Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .

IP address -
Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201

VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.

Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.

Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
Kwahiyo ukishaweka vpn inabidi ufungue na account nyingine za mitandao? Je vpn inaweza inafanya kazi kwenye browser tu au hata app kama hii ya jf? Vipi kuhusu free VPN nzuri na ubora wake, na unawezaje kuwa na uhakika kwamba uko safe baada ya kuinstall VPN?
Cc: CHIEF MKWAWA, Mwl. Rct, Njunwa wa mavoko.
 
Back
Top Bottom