machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
😂 muwape wenzenuEnna bhabha
Tusupport basi na KATAA NDOA😂Wanaume wanatia huruma humo kwenye ndoa balaa
Vipi mkuu we miwili huwezi?Hajaamua zipo njia za asili wala hazina madhara ila nikupe kongole miaka 2, Unapepo yako Kama ni kweli.
4 days tu ya 5 nikamwambia aende tu kupika, kufua n.k nnajua😂🤣🤣🤣🤣🤒
Sijui kwann mm naona kama ni Coffee😂Ujauzito uliharibika miezi 5 aliomba muache kusex na akajifungua?
HahahahahaNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
Kama yuko mbali na weza ila sio twaonana kila siku twalala kitanda kimoja hapo siweziVipi mkuu we miwili huwezi?
Atakuwa Kaolewa Vijana Wa Sasa Kupenda MteremkoUna umri Gani? Anayehudumia familia ni wewe au mkeo?
Yaani wali na kisamvu cha nazi wee huliKisamvu hapana sitaki
Ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba .......Ujauzito uliharibika miezi 5 aliomba muache kusex na akajifungua?
🤣🤣🤣🤣 hatare4 days tu ya 5 nikamwambia aende tu kupika, kufua n.k nnajua😂
Ndoa ni kifo cha kujitakiaTusupport basi na KATAA NDOA😂
👊Kama yuko mbali na weza ila sio twaonana kila siku twalala kitanda kimoja hapo siwezi