Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Miaka miwili asee bila kurusha wareno!? Hata kama ni jela unaweza ukajifanya maradona mkononi!
Kama haupendi maneno mingi tafuta mama ingine ufurahie uanaume wako
Mwanaume bila kudinya unaweza geuka upinde
 
Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex

Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa

Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?

Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife

Ushauri wenu tafadhali
Hahahahaha
Hakyamama.

Mwenzetu kabla hujaoa uliwahi kupata kuwafahamu wanawake?

Kiufupi anaogopa utambemenda mtoto kwa sababu siyo mwanao.

Kapime DNA kisha uje hapa kutupa matokeo
 
Usikute umeoa mwanasheria au li~feminist promax mkuu maana si kawaida,wenzako tunatindua mbunye tangu day one ya mimba hadi siku anajifungua na akipona tu ngoma inaendelea ili kuyarutubisha maziwa sasa kwako aidha mwanamke kakutawala au umeendekeza diplomasia na mambo ya honey,sweet mara beib matokeo yake ndo hayo!ukwl ni kwamba kuna jamaa anamtindua mkeo,full stop!
 
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife... Acha utoto.

Badilisha ratiba yako hasa ya kurudi nyumbani hakikisha unachelewa, ikitokea umewahi nyumbani ondoka mida mibaya na uchelewe kurudi. Usimuombe tendo. Zoezi hili fanya kwa mwezi mzima uone kama atajihisi tofauti.
 
Back
Top Bottom