Unayependa kumiliki silaha angalia hili tukio kisha jiulize unaweza kuwa mvumilivu?

Unayependa kumiliki silaha angalia hili tukio kisha jiulize unaweza kuwa mvumilivu?

Kwa Marekani FBI wana the most sophisticated forensic laboratory, zinakua enhanced kila mtu anajulikana.
Marekani kuna bunduki zaidi ya milioni 30, unataka kusema hao FBI wanatambua risasi za bunduki tofauti milioni 30. Kwamba kila anayetengeneza risasi anaifanya tofauti na ni lazima ununue risasi aina ileile na sehemu ileile siku zote ili FBI wakujue. Hauko serious
 
Aisee! Maganda yatasaidia kujua ni bunduki aina gani imetumika na sio rahisi kujua ya nani kwasababu zinauzwa nyinyi kwa watu tofauti. Wapo wanaonunua kihalali wapo wanaonunua kimagendo. Kumpata huyo mtu si rahisi kisa umepata maganda ya risasi ingekuwa hivyo wauaji wengi sana wangepatikana.
Huyo mtu ukisoma news alijiua na yeye baada ya kuwaua hao watu wengine.
 
Marekani kuna bunduki zaidi ya milioni 30, unataka kusema hao FBI wanatambua risasi za bunduki tofauti milioni 30. Kwamba kila anayetengeneza risasi anaifanya tofauti na ni lazima ununue risasi aina ileile na sehemu ileile siku zote ili FBI wakujue. Hauko serious
Huwezi kuelewa. Jielimishe zaidi ukija hapa unapata nyongeza ya elimu.
 
A US man shot dead a couple living next to him before turning the gun on himself after an argument over the shovelling of show, according to an NBC report.

The double murder and suicide happened in Pennsylvania on Monday morning.

It started when the married couple, James and Lisa Goy, shovelled snow from their parking spots and dumped the snow into Jeffrey Spaide's yard, sparking an argument that escalated into the deadly shooting.

CCTV footage shows Spaide going inside his home after the couple hurled insanities at him. He returned with a handgun, shot both the Goys, then went back into his house and emerged with a rifle to continue the shooting.

Daily Mail reported that Spaide told Lisa Goy, as he pulled the final trigger: "You should have kept your mouth shut."
NBC News reported Spaide shot himself in his home shortly afterwards and prosecutors are ruling the triple shooting as a murder-suicide.
 
Maneno ya mwisho ya yule mwanaume alieuawa yalikuwa ni "call cops"!
 
Huwezi kuelewa. Jielimishe zaidi ukija hapa unapata nyongeza ya elimu.
Bunduki milioni 30 ndani ya US zinamiliki mamilioni ya risasi, yani hapo si chini ya walau risasi milioni 250. Kwamba kila risasi moja iliyotengenezwa Alkansas, ikauzwa Minneapolis na ikatumika Nashville itajulikana nani aliitumia. Watajua aina ya risasi ila sio kujua mtumiaji kupitia kwenye batch ya risasi
 
Kwa akili yao walidhani hawezi washoot, kapiga kawakosa hata hawajakimbia, Kuna watu wanamatatzo vichwani, muda MWINGNE ni vizuri kuepuka maugomvi ya kawaida
 
Aisee! Maganda yatasaidia kujua ni bunduki aina gani imetumika na sio rahisi kujua ya nani kwasababu zinauzwa nyinyi kwa watu tofauti. Wapo wanaonunua kihalali wapo wanaonunua kimagendo. Kumpata huyo mtu si rahisi kisa umepata maganda ya risasi ingekuwa hivyo wauaji wengi sana wangepatikana.
Huyu kama ni Marekani hachukui dk kukamatwa wanaenda kucheza na fingerprint tu....
 
Kwa akili yao alizan hawez washoot,kapga kawakosa hata hawajakimbia,Kuna watu wanamatatzo vichwan,muda MWINGNE n vizur kuepuka maugomvi ya kawaida
Ukiangalia vizuri huyo dada naye alitoa silaha sasa sijajua ni woga wa kushoot au haikuwa loaded. Ila mwisho wa siku jamaa naye alijiua kwa kujipiga risasi
 
Bunduki milioni 30 ndani ya US zinamiliki mamilioni ya risasi, yani hapo si chini ya walau risasi milioni 250. Kwamba kila risasi moja iliyotengenezwa Alkansas, ikauzwa Minneapolis na ikatumika Nashville itajulikana nani aliitumia. Watajua aina ya risasi ila sio kujua mtumiaji kupitia kwenye batch ya risasi
Utakamatwa tu yaani huchukui hata siku dk kumi watakuwa wamesha kutambua..
 
Kwa akili yao alizan hawez washoot,kapga kawakosa hata hawajakimbia,Kuna watu wanamatatzo vichwan,muda MWINGNE n vizur kuepuka maugomvi ya kawaida
Una reasoning ndogo sana kuna scenario mbili
1)moja unachokiona kwenye CCTV sio clear kama reality sauti inaweza kuwai ndio ukaona reaction/action ila in reality vilienda sambamba
2)Tukio limetokea Quickly time inayochukua kua aware kabla wajawa aware shooter kashawapiga risasi nyingi na kuwapata.
 
Huku kwetu kwa sisi mwenye hasira Kumiliki silaha siyo sifa, niliwahi kumiliki na badae nikairudisha hukohuko polisi maana kumiliki silaha ni kujiweka karibu na gereza, silaha ni yako ila hata ukiipoteza unaweza kushtakiwa inatakiwa uilinde wewe, Kumiliki silaha inatakiwa uwe mvumilivu ukiwa siyo mvumilivu kila siku utajikuta mahakamani maana kumuelekezea tu mtu bastola na ukamuacha utashtakiwa kwa (k/F 89 (2) sura 16 K.A) kutishia kuuwa kwa silaha na pengine ukasota jela
 
Back
Top Bottom