Iammoshyn
Senior Member
- Nov 2, 2019
- 157
- 224
Unaweza si hiyo Nyumba hapo alipotokea muhusikaCold blooded killer! Nje ya mada, sasa hizi CCTV za aina hii zina msaada gani maanake huwezi kuzitumia kumtambua mhusika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza si hiyo Nyumba hapo alipotokea muhusikaCold blooded killer! Nje ya mada, sasa hizi CCTV za aina hii zina msaada gani maanake huwezi kuzitumia kumtambua mhusika?
Wapuz sana wamekufa kwa kujitakiaIla hao waliopigwa risasi ni washenzi sana, kweli mtu anatoka na mashine halafu badala ya kukimbia mnaendelea kusimama na kujibizana nae, hizi ni akili za kawaida kweli?!
Kuna wakati fulani kuna majirani walitandikana kwa kutumia chepe [emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo. Huu mgogoro umekuwa unaojirudia rudia kipindi cha winter wakati theluji inapoanguka. Ndiyo maana siku zote wanasema hata kama ni mke wako, ukiona kila siku mnatunishiana misuli na hakuna anayetaka kuwa mdogo ni bora muachane kabla hayatokea mabaya.
Hii habari imeenea sana kwenye vyombo vya habari. Ni mgogoro wa kuondoa theluji. Anadai walikuwa wanaiweka kwenye eneo lake. Na inasemekana huu ugomvi umekuwepo mara kwa mara kipindi cha winter. Anyways wanasema siku zote mtu jaribu ku-avoid confrotation hata kama umeudhiwa. Kuna watu wakikasirika akili zote zinawatoka.
Hata bongo wenye kumiliki silaha ungomvi tu wa dem mtu anakutolea cha moto anakuambia unaiona hii...ntakumwaga MV[emoji23][emoji23][emoji23]When I walk away from a confrontation I ain't scared of you I'm scared of me ,I got a gun, you don't. -Camron
View attachment 1696847
Hata bongo wenye kumiliki silaha ungomvi tu wa dem mtu anakutolea cha moto anakuambia unaiona hii...ntakumwaga MV[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mmh jamani barafu imeleta majanga hivyo? DuhChanzo huyo mme na mke walikuwa wanatoa barafu wanamrushia kwake
Ila hao majirani inaelekea kitambo walikuwa hawana maelewano mazuri
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Umewasikia hao wafu walivyokuwa wanamtukana? Tena hicho kimama kinamtukana na kumwambia awaue?? Sasa kama kapeleka maombi mwenyewe ulitaka jamaa amnyime?Kumpata ni rahisi, risasi zina Reg number. Hajakumbuka kutoa maganda. Ni Rahisi sana kumpata. Anastahili adhabu nzito sana huyu.
huyo ni mgonjwa wa akili.Umewasikia hao wafu walivyokuwa wanamtukana? Tena hicho kimama kinamtukana na kumwambia awaue?? Sasa kama kapeleka maombi mwenyewe ulitaka jamaa amnyime?
Jamaa hana hata wasiwasi amerudi home kwake awangoje polisi
Nilitakaa sema si yule c.rnlKweli kabisa unakumbuka maeneo ya Mbezi Chini ,kuna jamaa alimfumua mwenzake ubongo kwenye club Ambrosia.
Hata kama ni bunduki 50mil ,kwa marekani, kama imenunuliwa kwa kufuata taratibu ,risasi moja iliyolipuliwa toka kwenye silaha halali ni traceable, watajua ni silaha gani iliyotumika, mmiliki utahitajika kuthibitisha sio wewe ulieitumia wakati inalipuliwa, nayo ni shughuli pevu, technology iko juu sana kuleBunduki milioni 30 ndani ya US zinamiliki mamilioni ya risasi, yani hapo si chini ya walau risasi milioni 250. Kwamba kila risasi moja iliyotengenezwa Alkansas, ikauzwa Minneapolis na ikatumika Nashville itajulikana nani aliitumia. Watajua aina ya risasi ila sio kujua mtumiaji kupitia kwenye batch ya risasi
jamaa kajiua na yeye.walau ungekua hai apate maumivu na mateso![]()
3 dead in murder-suicide over snow removal dispute, prosecutors say
Jeffrey Spaide shot and killed his neighbors in Plains Township, Pennsylvania, over a snow removal dispute, prosecutors said.www.nbcnews.com
Si kila mtu, wengine tunazo miaka zaidi ya 30 na hatujawahi kuua ntu.huyo ni mgonjwa wa akili.
ukiishaona mtu ana masilaha mawili mawili ujue kuna tatizo kichwani.
tayari aliishakuwa na dosari kichwani ndio sababu hata yeye kajiua.
ndio maana huwa nasema kwenye hili la silaha bado tumewaacha wazungu mbali kwenye kupanga,lazima mtu atazamwe mienendo yake kabla ya kuuzisa silaha.
ni kwa sababu mmepewa kwa kufuata kanuni zote.Si kila mtu, wengine tunazo miaka zaidi ya 30 na hatujawahi kuua ntu.
Kumiliki silaha na za moto na kuua ni vitu viwili tofauti,wengine huku wameuana kwa mapanga,marungu na visu,bado kumiliki silaha haiwi sababu ya kufanya mauaji.
Yeah jamaa walikuway wanatupia barafu kwenye compound yake.......Chanzo cha matusi unakijua kiini cha tatizo.
Yap. Maamuzi mengi mtu ukishafanya ndio unajutia. Alikuwa na hasira na urahisi wa kuwaua na silaha zake ndio ukaleta hayo. Pia jamaa kichwa yake ni mental case. Ila angeishi angkuja juta sanajamaa kajiua na yeye.walau ungekua hai apate maumivu na mateso
Waswahili wanaorusha maji machafu barabarani kwa wapita njia, wenye vyeo na kutishia unajua mimi ni nani. Hawa ukiwapa silaha wote tutakuwa Kandahar au Kunduz.Jamaa hajazungumzia mambo ya maganda ya risasi hapo ndipo shida ilipo.
Hebu twende kwenye mada; hivi hivi waswahili tukiwa na haya mavitu uvumilivu kwa majirani zetu nk, utakuwepo wa kutosha?.