King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nilitakaa sema si yule c.rnl
Chanzo mabaunsa walimdhalilisha jamaa
Jamaa akatoka nje kwenda kwenye gari akachkua bmb akawarudia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi fulani ila muda kidogo tulikuwa tumekaa pale uhr peak bar tunapiga maji!Yes Conrad na Mlay.
Ushamba mwingine ni mzigo. Kwa kuwa kwako ni gharama sana na shida kuwa na kitu fulani haimaanishi kuwa nacho ni ukichaa. Kule kwao unaenda dukani kununua aina ya bunduki unayo itaka. Kama ni basola unakuwa nazo 4 kutokana na matumizi yake na uwezo wa kuibeba.huyo ni mgonjwa wa akili.
ukiishaona mtu ana masilaha mawili mawili ujue kuna tatizo kichwani.
tayari aliishakuwa na dosari kichwani ndio sababu hata yeye kajiua.
ndio maana huwa nasema kwenye hili la silaha bado tumewaacha wazungu mbali kwenye kupanga,lazima mtu atazamwe mienendo yake kabla ya kuuzisa silaha.
bunduki 8 kwa matumizi tofauti!! [emoji23][emoji23], subiri aje kukugonga kichwa na smg ndio utajua zote kazi yake ilikuwa moja tu, kama alivyofanya huyo mgonjwa wa akili kwenye video.Ushamba mwingine ni mzigo. Kwa kuwa kwako ni gharama sana na shida kuwa na kitu fulani haimaanishi kuwa nacho ni ukichaa. Kule kwao unaenda dukani kununua aina ya bunduki unayo itaka. Kama ni basola unakuwa nazo 4 kutokana na matumizi yake na uwezo wa kuibeba.
Zipo ndogo tu za wanawake kubebea kwenye mikoba. Zipo za kiume za kubebea ndani ya suti.
Zipo bunduki za kudungulia, zipo za kuwindia. Rafiki yangu anazo 8 za aina tofauti. Nyiye ndio mnashangaa mtu kununua magari 4 tofauti kumbe kila moja lina kazi yake na wakati wake wa kulitumia.
Hapo kichaa ni yule mama kwani mumewe alimwambia tukimbie yeye kajiona kidume mbele ya risasi. Kuna kitu inaitwa"Provoking" ndiyo iliyotokea hapo. Jamaa alishindwa kuwavumilia
Soma taratibu maelezo yangu. Kila silaha imetengenezwa kwa matumizi fulani japo mlengwa n imwanadaaaaaamu. Hivi wajua.Kifaru kazi yakeni kumuua askari mwenda kwamiguu? Infantry??? Hivi wajua piandege ya vita kazi yakeni kumuua huyo huyo infantry??bunduki 8 kwa matumizi tofauti!! [emoji23][emoji23], subiri aje kukugonga kichwa na smg ndio utajua zote kazi yake ilikuwa moja tu, kama alivyofanya huyo mgonjwa wa akili kwenye video.
wewe ni miongoni mwa watanzania wachache wanaoamini silaha ni ufahari kuwa nayo,ona huyo mpuuzi kazifuga ndani anapigia picha kila siku, leo kaona azitumie kupigia mwanamke anayemchamba.
halafu sio kila mtu hana uwezo wa kununua silaha nyingi, za nini???
Kuna kipindi fulani ila muda kidogo tulikuwa tumekaa pale uhr peak bar tunapiga maji!
Kuna mida fulani alikuja mama mmoja akashuka
Kwenye gari akaja wangu wangu...pale
Alitoa Bomba alipiga nia yake ilikuwa ampige kidem fulani pale kalikuw kahudumu inasemekana alikuwa anachepuka na mme wake
Alimkosakosa risasi ya tako...yule mhudumu alitoka nduki alipotea na kupotea...
Disi wenyew pale kila mtu alikimbilia anapojua yeye...
Mambo ya silaha hayafai kabisa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
ndio sababu nikakwambia silaha sio sawa na yard ya magari, kwamba utanunua kila moja na kazi yake. huku sana mtu akiwa nazo ni mbili tu, usalama wake (pistol) na ya kuwindia shortgun nk.Soma taratibu maelezo yangu. Kila silaha imetengenezwa kwa matumizi fulani japo mlengwa n imwanadaaaaaamu. Hivi wajua.Kifaru kazi yakeni kumuua askari mwenda kwamiguu? Infantry??? Hivi wajua piandege ya vita kazi yakeni kumuua huyo huyo infantry??
Nimekuambia kuna bastola zinazobebwa na wanawake na kuna bastola za wanaume.Zote kuulia watu. Kazi ya bastola ni kuulia mtu sio kuwindia.
RIP kwa hawa couple. Inasikitisha sana japo pia marehemu nao walitakiwa watizame usalama wao.Unaona mtu kaja na silaha bado unazidi mjaza hasira na kumuambia jaribu.Wikiendi muswano?.
Kuna wadau kadhaa ambao wana nia njema ya kutaka kumiliki siraha za moto na wengine humu jukwaani wameomba tahariri njia gani na nini kinatakiwa ili wawe wamiliki, kama hawa 👇🏾.
Naomba kujuzwa sheria ya umiliki wa silaha
Wakuu Habari za muda huo wako unaposoma hii Ningependa kufahamishwa sheria na utaratibu wa kumiliki silaha kwa nchi ya Tanzania umekaeje kwa sasa ? Kwa mwenye uelewa wa hili, naomba maelezo mazuri tafadhaliwww.jamiiforums.com
Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania
Naimani mko poa wakuu. Jamani me nahitaji kumiliki bastola tu maana kuna people zina mazoea mabaya sana. Tunachukuliana poa poa huku mtaani, watu wakuda sana! Hasa me nataka nimiliki gun lengo sio niue mtu no! Nikipiga hata juu kumtisha inatosha. Ila wakuu kiukweli kuna some people wanazingua...www.jamiiforums.com
Inafahamika baadhi ya nchi za ulaya kama Marekani tena baadhi ya majimbo mwananchi kuwa na AK47 ndani ni jambo la kawaida sana, hiyo ni kutokana na sheria walizojiwekea.
Kuna baadhi hata hizo siraha zenyewe kutumia ni mantanange juu ya matatizo, mfano ni huyu jamaa kwenye hiki kipande cha sinema hapa chini, kwanza hana shabaha pili ametumia risasi zaidi ya kumi kuua watu waliosimama, tatu ametumia silaha aina mbili nzito na nyepesi.
Kwa tukio hili hapa chini, ukija kwetu hapa nani kati yetu anaweza kuwa na roho ya ustahimilivu kwa jirani yake anayemtupia matusi huku wewe ukiwa kimya au kupotezea?.
View attachment 1696435
Hao jamaa hapo juu siyo wanajeshi au askali kanzu labda ila ni raia wamebeba silaha nzito za kivita wakiwa kwenye viunga vya mitaa huko Marekani tena ni siku moja kabla ya kuapishwa ndg Joseph Biden.RIP kwa hawa couple. Inasikitisha sana japo pia marehemu nao walitakiwa watizame usalama wao.Unaona mtu kaja na silaha bado unazidi mjaza hasira na kumuambia jaribu.
Tukirudi kwenye umiliki wa silaha ,ndiyo maana kuna nchi kama Tanzania zinajitahidi katika kuhakikiasha wanaoomba kumiliki kweli wanastahili. Umiliki wa silaha kwanza ulazima wa muombaji ni upi, akili kichwani maana ukimpa kichaa kama huyu mzungu ni balaa. Pia silaha ndogo ambazo siyo nzito au za kivita (AK47). Silaha kama silaha haina madhara ,madhara ni mtumiaji wake. Shida ya silaha kwanza utunzaji wake maana usipokuwa makini hata wewe mwenuewe inaweza kukudhuru, utulivu wa kichwa chako hasa unapokuwa umechokozwa kutofikiria kuitumia au unapokuwa umelewa.Wenzetu Marekani sheria zao ndizo zinazowaletea shida mtu anamiliki AK47 ya nini! Tena unakuta unafanya maombi ndani ya saa tu unapewa mzigo wako na marisasi kibao.
Kwamimi usimtambueCold blooded killer! Nje ya mada, sasa hizi CCTV za aina hii zina msaada gani maanake huwezi kuzitumia kumtambua mhusika?
Kuruhusu watu kumiliki silaha kama vile ni kifaa cha kurekebisha vitu nyumbani eti kisa sheria zina ruhusu. Kwenye hili documentary bowling for columbine lilipigiwa kelele sana hilo suala.Ujinga upi mkuu?
Mambo ya kawaida,kwa sababu gari zinapata ajari na kuua,ndio tusinunue ndinga?!!!wewe ulisikia wapi?!Wikiendi muswano?.
Kuna wadau kadhaa ambao wana nia njema ya kutaka kumiliki siraha za moto na wengine humu jukwaani wameomba tahariri njia gani na nini kinatakiwa ili wawe wamiliki, kama hawa [emoji1484].
Naomba kujuzwa sheria ya umiliki wa silaha
Wakuu Habari za muda huo wako unaposoma hii Ningependa kufahamishwa sheria na utaratibu wa kumiliki silaha kwa nchi ya Tanzania umekaeje kwa sasa ? Kwa mwenye uelewa wa hili, naomba maelezo mazuri tafadhaliwww.jamiiforums.com
Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania
Naimani mko poa wakuu. Jamani me nahitaji kumiliki bastola tu maana kuna people zina mazoea mabaya sana. Tunachukuliana poa poa huku mtaani, watu wakuda sana! Hasa me nataka nimiliki gun lengo sio niue mtu no! Nikipiga hata juu kumtisha inatosha. Ila wakuu kiukweli kuna some people wanazingua...www.jamiiforums.com
Inafahamika baadhi ya nchi za ulaya kama Marekani tena baadhi ya majimbo mwananchi kuwa na AK47 ndani ni jambo la kawaida sana, hiyo ni kutokana na sheria walizojiwekea.
Kuna baadhi hata hizo siraha zenyewe kutumia ni mantanange juu ya matatizo, mfano ni huyu jamaa kwenye hiki kipande cha sinema hapa chini, kwanza hana shabaha pili ametumia risasi zaidi ya kumi kuua watu waliosimama, tatu ametumia silaha aina mbili nzito na nyepesi.
Kwa tukio hili hapa chini, ukija kwetu hapa nani kati yetu anaweza kuwa na roho ya ustahimilivu kwa jirani yake anayemtupia matusi huku wewe ukiwa kimya au kupotezea?.
View attachment 1696435
3 dead in murder-suicide over snow removal dispute, prosecutors say
Jeffrey Spaide shot and killed his neighbors in Plains Township, Pennsylvania, over a snow removal dispute, prosecutors said.
Feb. 3, 2021, 12:05 PM EST
Prosecutors said a man in Pennsylvania shot and killed a couple in a murder-suicide over a snow removal dispute on Monday, the same day a major winter storm dumped more than 30 inches of snow in parts of the Northeast.
Jeffrey Spaide fatally shot his neighbors, James Goy and his wife, Lisa Goy, before killing himself on Monday morning when officers were called to West Bergh Street in Plains Township, about 15 miles southwest of Scranton, according to the Luzerne County District Attorney’s Office.
Police work the scene of a murder-suicide following a shoveling dispute that left three dead in Plains Township, Pa., on Feb. 1, 2021.WBRE
District Attorney Stefanie Salavantis said Tuesday that the office determined no other suspects were involved and deemed the incident a murder-suicide. Salavantis said the office will close the case pending a report by the Luzerne County Coroner’s Office.
Shortly before 9 a.m. on Monday, officers responded to a report of shots fired when they found the bodies of the Goys on the street, prosecutors said. Law enforcement officials said they later heard a gun fire from Spaide’s house. Authorities later determined this to be his self-inflicted gunshot wound, according to prosecutors.
Surveillance video revealed that Spaide and the Goys were involved in disputes before the deadly encounter, prosecutors said.
The video shows that the Goys shoveled snow from their parking spots, pushed it across the street and threw it onto Spaide’s property. After Spaide asked the couple to stop throwing snow onto his property, the neighbors got into an argument where they appear to have exchanged obscene gestures and expletives.
Prosecutors said James Goy threatened Spaide and cocked his fist, prompting Spaide to retreat into his home and return outside with a pistol.
While the Goys acknowledged he had a gun, prosecutors said they continued to shout names at him from the middle of the street. Spaide opened fire and shot the Goys before returning to his home to get another gun to deal the killing blow, according to prosecutors.
After killing his neighbors, Spaide went back inside his home where he shot himself as police pulled up to the scene, prosecutors said.
The Luzerne County District Attorney’s Office, the Luzerne County Coroner, Plains Township Police, Plains Township Fire and Ambulance and Pennsylvania State Police Forensic Services Unit were all involved in the investigation.
These three deaths came in addition to four others in the wake of the deadly winter storm that suspended flights, cut electricity, and closed schools and Covid-19 vaccination sites across the Northeast.
In Allentown, Pennsylvania, a 67-year-old woman with Alzheimer’s disease died of hypothermia after wandering away from her home, NBC Philadelphia reported. Her body was found four blocks away on Monday morning.
Recommended
In Adamstown, Maryland, a 64-year-old man died after a recycling services truck he was riding on the back of overturned on an icy roadway around noon Monday, the Frederick County Sheriff’s Office said.
And two people — a 69-year-old woman and a 42-year-old woman — died in Pennsylvania in separate incidents on Sunday, state police said. The 42-year-old woman died in a crash during the snowstorm in Tioga County, and the other 69-year-old crashed in slick conditions during snow in Bucks County.
Mkuu watu wa mataifa makubwa hasa America wana stress sanaAisee jamaa wameuana kisa barafu. Acha tu aisee. Thanks for the video
Hata Tanzania stress ipo sana. Lakini watu watapigana ngumi, yataisha. Nchi ambayo unanunua chuma (bastola, bunduki kali) kama mtu unanunua pipi, mtu akiwa na hasira ni rahisi sana kuua mwingine.Mkuu watu wa mataifa makubwa hasa America wana stress sana
Aaah wapi usitudanganye.Kumpata ni rahisi, risasi zina Reg number. Hajakumbuka kutoa maganda. Ni Rahisi sana kumpata. Anastahili adhabu nzito sana huyu.