Unayoyajua na usiyoyajua kuhusu wanyama wa kufugwa

Katika vitu sipendi kuona kwenye maisha yangu ni mtu anaempiga mnyama. Nikiona naumwa kabisa aisee. Cpend cpend cpend. Hii dunia sio yetu tu aisee tumepewa na wanyama pia tusiwatesa.
 
Kuku wanakariri sura za wawafugao...ilikuwa ikifika saa 12 ,inatokea ndio unarejea home na umewakuta wapo hata umbali wa mita Mia toka home,wanaanza kukufuata wale walio wako tu mpaka getini ili waingie.

Ila majogoo ya sikuhizi yanawika hata saa 8.
 
Wakuu kwema?
Well
After a while.nilipata ka likizo kidogo nikaenda zangu kijijini kwetu kuisalimu mifugo ya mzee wangu na yangu pia.it was good and a learning trip. Maana wanyama huwa wana tabia mpya kila kukicha..

Mpaka sasa nina mbuzi 150 na kondoo 100, in such a way binafsi naona fahari kwangu na wananitosha, zaidi wanaongezeka.i love that man.

Tuanze na huyu hapa.
KONDOO..
Huyu mnyama bhana unaweza kudhani mzembe sana na kiburi , noo hayuko hivyo kabisa

Nilipofika mzee akaniambia "kijana kuna kondoo mzuri dume healthy, strong anauzwa na mzee mwenzangu amepata emergency kidogo, kamnunue uongeze mifugo yako"

Nikaona powa bhana twende tukamuone .
Eeh bhana eeh kondoo ameshiba kweli kweli , yaanj dume la mbegu, nikaona huyu atafaa kuzalisha majike yangu.

Mzee akaniuzia kwa laki 1 nikaona sio issue bado poa tu, tukambeba mpaka zizini kwetu, ilikuwa jioni, halafu tulipomnunua ni mbali sana..

Asubuhi mmoja wa ndugu zangu ambaye alikuwa na zamu ya kuchunga akawafungulia kwanza ng'ombe huku akiwahesabu na wengine wakikamuliwa maziwa .

Yule kondoo akachomoka zake.

Baadaye jioni naenda kukagua zizi na mzee , KONDOO HATUKUMKUTA.

guess what? Mzee akasema tukaangalie kule tulipomnunua, japo ilikuwa mbali hao tukaenda ,
Japo nilimbishia mzee kuwa kondoo huyu kurudi hawezi ni mbali sana hapajui..


Kufika bhana TUNAMKUTA KONDOO KATULIA TULI ZIZINI HANA HABARI, MEANS ALIKARIRI NJIA YA KURUDI MPAKA HUKO KWAO KWA ZAMANI ANAPAJUA VIZURI SANA...!

WAKUU HILI NALO LILINISHANGAZA SANA UMBALI WOTE ULE ANAJUAJE???

Tuwapende wanyama wetu, nao watakupenda ,
DO THE RIGHT AND SHAME THE DEVIL..

wife Hannah yeye anapenda kuku wake tu basi
 
Kuku wanakariri sura za wawafugao...ilikuwa ikifika saa 12 ,inatokea ndio unarejea home na umewakuta wapo hata umbali wa mita Mia toka home,wanaanza kukufuata wale walio wako tu mpaka getini ili waingie.

Ila majogoo ya sikuhizi yanawika hata saa 8.
Kuku wana akili sana wanakariri sana hili nimeshuhudia sana wife Hannah anawafuga ni shahidi pia
 
Katika vitu sipendi kuona kwenye maisha yangu ni mtu anaempiga mnyama. Nikiona naumwa kabisa aisee. Cpend cpend cpend. Hii dunia sio yetu tu aisee tumepewa na wanyama pia tusiwatesa.
Mkuu
Wanyama wetu huwa tunajisahau kuwa ni asset kubwa kwetu sana
Matokeo yake tunawatendea unyama sana na wao wana hisia sana

Mfano leo hii mimi na kamshahara kangu mambo yakiwa hovyo nauza ng'ombe wangu mmoja kwa 1 million tu challenge solved..

Do the right and shame the devil
 
Kwa mara ya kwanza nimesoma uzi ulionimotivate kuwa na mifugo na me niexperience hii bond na wanyama
Why not now mkuu?
Anza sasa hutajutia kabisa

Mifugo ni asset zaidi ni comfort zone yako.

Hakuna kitu kinafurahisha kama kuiona mifugo yako ikiwa na afya tele na nguvu hakika hawatakutupa utakapokwama
 
Hao Germany Shepherd nasikia wanang'ata watu. Nataka nifuge wa kitanzania nimpe malezi
Sisi tunafuga hao hao kina Bobby ila mlishe vizuri tangu akiwa mdogo
Chanjo ya anti rubbies

Halafu awe na banda lake asiwe anazurura kujitafutia majalalani ,huyo sio mbwa tena atakuwa jibwa koko.

Mzoeze tangu akiwa mdogo
Muda wa kula labda asubuhi na jioni,
Muda wa kusafisha banda
Asijisaidie bandani na akifanya hivyo mtandike huku ukimnyooshea uozo wake.(usimtandike kama unaua noo yaani kafimbo kadogo dogo kama unamfokea hivi)

Atakuwa a good dog
 
Nimepata kitu hata hivyo
 
Pia kuhusu NG'OMBE
Nimegundua mengine mengi

Hawa jamaa wakiwa zizinj hawalali wote pamoja never!

Yaani tuseme usiku zizini walale wote chini hakuna!

NG'OMBE huwa wanawekeana zamu kulinda hivyo hawawezi kulala wote pamoja
Wawili au watatu watabaki kusimama wakilinda na zamu wanapangiana inategemea kwa muda gani let's say siku 2 zamu.

Wengine watalala then wengine watalinda! Nimeshashuhudia sana hili tangu udogoni na wazee waliniambia hili sana .

Ushirikiano wao ni kama wa binadamu pia hivyo wanalindana...
 
Mimi kuku wamama nilikua nikihisi wataka kutotoa nachukua yi nalipasua natoa kifaranga kamakipohai nakirudisha kwamamake nalipasua lingine kama kimekufa natupa ndionajua kua bado mudawake haujafika nasubiri kwanza
 
Mimi kuku wamama nilikua nikihisi wataka kutotoa nachukua yi nalipasua natoa kifaranga kamakipohai nakirudisha kwamamake nalipasua lingine kama kimekufa natupa ndionajua kua bado mudawake haujafika nasubiri kwanza
Duh mkuu why doing that? Nadhani mayai yanapasuka yenyewe tu

Au ngoja tumuulize wife Hannah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…