Unayoyajua na usiyoyajua kuhusu wanyama wa kufugwa

Unayoyajua na usiyoyajua kuhusu wanyama wa kufugwa

umeeleza vyema sana mkuu.
nimependa chapisho lako.

kwa upande wa mbwa naweza kumpa nafasi ya kwanza kwa kumbukumbu na ukaribu na mwanadamu.

Mbwa akishatumika kuwinda wanyama pori huwa anapenda sana na huwa anaacha baadhi ya tabia zale za kiulinzi mfano kubweka na kufanya doria za usiku

pili anapoteza zile mbinu za kiulinzi mfano sehemu za kulala usiku na kubweka ama kutishia wapita njia

Mbwa akishatumika kuwinda huwa anapenda sana siku akipelekwa kuwinda na pindi akikuona umeshika zana za uwindaji anajua nn kinafuata.

Mbwa vile unamfundisha ndivyo huwa. pia kunambwa ambao kubweka kwao n kwa nadra sana na hubweka kwenye matukio serious tuu.

kunambwa wasiopenda michezo au kushikwa na pindi ukijaribu kumshika anaweza kukudhuru.

kunambwa wanapenda sana michezo na hao ni wazuri sana kutumika katika unusaji na kugundua vitu mbali mbali mfano milipuko na vitu vingne atakavyo fundishwa.
Mbwa akiashaanza kula tu nyama mbichi basi sio wako huyo tena
 
nadhani hapo kaongeza tu ila kiuhalisia paka ana mifumo miwoli ya kucha na hii ni kwa wanyama wote wanaotumia kucha.
paka akiwa kwenye matembezi kawaida huwa anarudisha kucha ndani ili kumsaidia kutembea vizuri.

pindi paka ama chui akunjuapo kucha zake ni pale tu anapokuwa anapambana ama anapoona hali ya hatari.
simba vivyo hivyo
 
Okay🤣🤣🤣 nilipouona huu uzi niliudharau lakini leo nikasema ngoja nione kilichoandikwa kumbe ni thread moja nzuri sana oky lets me share baadhi ya vitu juu ya hawa wanyama .

PAkA.

Huyu ana akili sana japo ni mbinafsi . Mara nyingi anapomkamata panya anapenda amchezee sanaaa na ndipo mwishowe aweze kumlaa . Mara nyingi huwafanya hivi kwa lengo la kumvunja panya mifupa yotee. Hivyo kila anapomchezea panya na kumuacha huwa anamuangalia je ni sehemu gani ya mwili bado inafanya kazi ili aendelee na zoezi la kumvunja .

- Paka jike Mara nyingi huwa na dume moja tu . Na hili dume mara nyingi huwa ni lile lilombikiri , sisemi madume wangine hawawezi kula mzigo . Ili dume jingine lile mzigo moja inabidi liwe na nguvu na mwanzoni lazima liangushe kipigo kikali sana kwa huyu jike. Na hapa ndiyo utakapo sikia mapaka usiku yanalia nyaaaaaau nyaaaaauu yakipigana lakini pia halii hutokea hata kwa lile dume la kwanza lilombikiri kwani kuna wakati kwasababu azijuazo jike mwenyewe kama vile kuchoka au kutotamani tendo kwani mara nyingi maani(mbegu) za paka dume huwa ni za moto sanaa na hupelekea paka jike kuungua pindi zinapomuingia wakati wa tendo ( ndiyo maana mara nyingi paka dume baada ya tendo ikishamuachia paka jike utamuona paka jike anagaragara chini ni kwasababu zile mbegu zinapokuwa zinaingia ndani zaidi ya paka jike hupelekea paka jike kuungua ) na kupelekea paka jike kuwa mkali na mwenye hasira sanaa ambayo hutaka kumjerui paka dume kwa kucha lakini mara nyingi hushindwa kwani paka dume kabla ya kumuingia huhakikisha kamdhibiti vyema kwa kumshikilia sehemu ya shingo na ndyo maana dume hupaswa kuwa na nguvu nje na hapo hawezi kula mzigo . Kwa wale mliowahi kukaa mabibo hostel hasa kule kwenye zile block za watu wa masters basi hili swala la paka kulana mzigo mbele za watu nadhani mtakuwa mmeliona sana na kuwa mashahidi juu ya hichi nacho kiandika hapa na hata wale ambao hawajawahi kuona paka wakifanya mapenzi nawashauri waende mabibo hostel wakajionee utaliii wa bure kabisaa .

hivyo paka jike kuna wakati hujikuta tu hataki kutoa mzigo kwasababu ya kuchoshwa na kuungua hivyo halii hupelekea dume kukasirika sana nakuangisha kipigo huku akimvizia paka jike azubae tu ili akamate shingo na kujilia zake mzogo . Maana paka mara nyingi ushikapo shingoni huwa anakuwa hana ujanja .

kuku
huyu mengi yameshazungumzia na wadau huko juu . Ila lakuongezea tu ni kuwa huyu usiku mdomo wake huwa na sumuu hivyo inabidi kuchukua tahadhari sanaa wakati wa usiku asije kukudonoa . Maana anaweza kukuachia sumu ambayo inaweza kukudhuru kiafya hapo baadae .

Jogoo na tetea .
Lakini bado tukiwa hapa kwenye kuku . Huku nikuulize shwari je umeshawahi kujiuliza kwanini ukiambiwa umkamate tetea inaweza kuchukua nusu saa pengine hata saa nzima kuweza kufanikiwa kumkamata au wakati mwingine ukashindwa kumkamata kabisa ? . Lakini jogoo anapo mfukuzia tetea huchukua dakika 5 au mbaka 10 kumkamata tetea ?..

Jibu .

Mara nyingi jogoo anapomfukuzia tetea . Pale kuna mchakato wa kibiolojia unaofanyika kama ilivyokwetu tu binadamu . Pindi ukutanapo na mwanamke huwezi tu kumvua nguo mwanamke na kuchomeka ni lazima umuandae basi sasa turudi kwenye mada yetu . Basi hata jogoo pindi anapomfukuzia tetea zile dk 5 au 10 za kumfukuzia tetea husaidia kumuandaa tetea kiakili na kimwili ili jogoo anapokuja kumuingia asiweze kumuumiza na kumchubua 🤣🤣 ina chekesha lakini ndyo hivyo .

Mbwa .
Mengi yaliyosemwa juu ya mbwa na wadau yapo sahihi kabisa . Lakini cha kuongezea ni kwamba . Umfugapo mbwa nyumbani kwako basi na yeye huwa anatabia ya kuweka mipaka ya kiutawala tena hii hufanywa mara nyingi na mbwa dume ( kama ni wale wasiofugiwa bandani ) . Mbwa dume huweka mipaka ya kiutawala kwa kunya mavi au kukojoa kaskazini , kusini mashariki na magharibi ili kutoa ishara kwa mbwa wengine wageni na yeyete atakaye ikililia mipaka yake basi hapo kipigo kitamuhusu labda awe mbwa jike hapo msamaha utahusika kama mjuavyo tena

Njiwa wa nyumbani .

Jamani wengine naona tumezungumzia mbwa , ng'ombe punda lakin tumemsahau njiwa. Hawa nao wana tabia zao za kushanga sana .
1) mara nyingi njiwa hutaga mayai mawili tuuu . Na katika mayai haya moja huwa njiwa dume na jingine huwa njia jike .
2) njiwa hawa wawili hukuwa pamoja na kuwa wapenzi . Na pindi njiwa jike atakapo taga mayai swala la kuatamia na mayai ni shwala la wote . Na maanisha nini ? . Mayai yatahatamia na njiwa dume huku njiwa jike akiwa kaenda kitafuta chakula na kuna muda mayai utahatamiwa na njiwa jike huku njiwa dume akiwa kaenda kutafuta chakula hukuna kutegea na dume akileta tu utegezi kwenye kuatamia hushushiwa kipigo na njiwa jike vizuri tu na hii huendelea hata pindi wapatapo makinda shwara la kuwalisha ni swala la woteee ( hapa wanatufundisha mgawanyo wa kazi katika malezi )

3) hapo juu tumeona njiwa huwa wanakuwa wawili wawili toka utotoni mbaka katika maisha yao ya ukubwani . Sasa nini hutokea pindi njiwa dume anaondokewa na njia jike ??. Kimsingi kama aliekufa au aliyepotea ni njiwa jike basi inashauriwa ni bora ukamchinja huyu dume maana hali ya upweke ambayo hubaki nayo huweza kupelekea njiwa huyu dume hata kufa . Kwani humchukua muda mrefu sana kumpata mwenza mwingine . Lakini kama ni jike wala huwa hamnashida sana kwani hueeza kupata dume jingine mapema sanaa.

4) kama utafuga njiwa inashauriwa kila asubuhi ni bora ukawa unawarushia kiasi fulani cha nafaka kama vile mchele huku ukiwaambia mawili matatu . Hii itakusaidia pindi ukutwapo na majanga kama msiba kwani ukipata msiba unaweza kutumia ile fursa ya asubuhi kuwa wapa taarifa kuwa umepata msiba hivyo wakiona watu wengi na makele ya vilio wasistuke . Kwani usipofanya hivyo hupelekea njiwa kuhama na kuamia kwa mfugaji mwingine .

Nguruwe .

Wengi wamemzungumzia huyu . Lakini ningependa kuongezea kuwa kama utataka kumfuga huyu basi ni bora ukamjengea banda la juu kwa kutumia mabanzi au mbao . Kwani kama utatumia matofari ya kuchoma au ya cement basi inaweza kuwa hasara maana nguruwe akiwa na njaa huyageuza matofari kama chakula na kuyala .

- pua ya nguluwe ni ngumu kuliko hats uionavyo . Hutumia kufukulia hasa kwa yale mabanda ya chini yaliyosakafiwa na hata kusafisha banda lake pindi lijaapo kinyesi .

- wafugaji hawashauriwi kumzoesha kumpa mabaki ya nyama ya ng'ombe nguruwe kwani hii huleta shida sana pindi awapo na watoto wadogo . Kwani pindi atakapochelewesha chakula au akawa na njaa ya ghafla hupelekea kula kitoto chake mwenyewe .

- Samaki ni moja ya kitoweo kikubwa sana wakitumiacho wezi kumuiba nguruwe . Wezi huvamia banda la nguruwe na kutengeneza uwazi utakaomuwezesha nguruwe kupenya

. Baada ya hapo huchukua samaki aliyochwa na kumfunga kamba na kumuweka nje ya banda la nguruwe waliyedhamiria kumuiba . Pindi nguruwe aipatapo harufu ya samaki huyo basi huwafuata wezi hawa mwenyewe kimya kimya mbaka machichioni . Na kubaki wakikushangaza mfugaji imewezakana vipi kumbeba nguruwe mkubwa kiasi kile bila ya nguruwe kupiga kelele ???.

- miwa ni miongoni mwa chakula kingine akipendacho nguruwe . Hivyo usije kulima shamba la miwa karibu na wafugaji wa nguruwe utawalaumu bureee tu.

Nimeona niongee haya machache lakini pia ntafurahi kuona na wengine wakiongezea mengine na kuufanya uzi huu kuwa uzi bora kabisa mwaka 2024.
Hapo kwa njiwa umenigusa sana mkuu
Sikuwahi kuwajua namna hii sababu niliwahi kuwafuga wakaishia kuhama tu sikujua sababu ni nini? Kumbe ni kama hizi?

Kuhusu paka Mimi nilichoka ile speed ya jike kuzaa, nilipochunguza nikaja kugundua kelele zile za usiku ni madume yakigombania demu wao (jike langu) yaanj ikawa kelele nje mtindo mmoja jike yule alikuwa na majeraha mengi sana sana masikioni alikuwa akipigwa labda na madume sijajua hapo je majeraha yalitokana na nini?
 
Okay🤣🤣🤣 nilipouona huu uzi niliudharau lakini leo nikasema ngoja nione kilichoandikwa kumbe ni thread moja nzuri sana oky lets me share baadhi ya vitu juu ya hawa wanyama .

PAkA.

Huyu ana akili sana japo ni mbinafsi . Mara nyingi anapomkamata panya anapenda amchezee sanaaa na ndipo mwishowe aweze kumlaa . Mara nyingi huwafanya hivi kwa lengo la kumvunja panya mifupa yotee. Hivyo kila anapomchezea panya na kumuacha huwa anamuangalia je ni sehemu gani ya mwili bado inafanya kazi ili aendelee na zoezi la kumvunja .

- Paka jike Mara nyingi huwa na dume moja tu . Na hili dume mara nyingi huwa ni lile lilombikiri , sisemi madume wangine hawawezi kula mzigo . Ili dume jingine lile mzigo moja inabidi liwe na nguvu na mwanzoni lazima liangushe kipigo kikali sana kwa huyu jike. Na hapa ndiyo utakapo sikia mapaka usiku yanalia nyaaaaaau nyaaaaauu yakipigana lakini pia halii hutokea hata kwa lile dume la kwanza lilombikiri kwani kuna wakati kwasababu azijuazo jike mwenyewe kama vile kuchoka au kutotamani tendo kwani mara nyingi maani(mbegu) za paka dume huwa ni za moto sanaa na hupelekea paka jike kuungua pindi zinapomuingia wakati wa tendo ( ndiyo maana mara nyingi paka dume baada ya tendo ikishamuachia paka jike utamuona paka jike anagaragara chini ni kwasababu zile mbegu zinapokuwa zinaingia ndani zaidi ya paka jike hupelekea paka jike kuungua ) na kupelekea paka jike kuwa mkali na mwenye hasira sanaa ambayo hutaka kumjerui paka dume kwa kucha lakini mara nyingi hushindwa kwani paka dume kabla ya kumuingia huhakikisha kamdhibiti vyema kwa kumshikilia sehemu ya shingo na ndyo maana dume hupaswa kuwa na nguvu nje na hapo hawezi kula mzigo . Kwa wale mliowahi kukaa mabibo hostel hasa kule kwenye zile block za watu wa masters basi hili swala la paka kulana mzigo mbele za watu nadhani mtakuwa mmeliona sana na kuwa mashahidi juu ya hichi nacho kiandika hapa na hata wale ambao hawajawahi kuona paka wakifanya mapenzi nawashauri waende mabibo hostel wakajionee utaliii wa bure kabisaa .

hivyo paka jike kuna wakati hujikuta tu hataki kutoa mzigo kwasababu ya kuchoshwa na kuungua hivyo halii hupelekea dume kukasirika sana nakuangisha kipigo huku akimvizia paka jike azubae tu ili akamate shingo na kujilia zake mzogo . Maana paka mara nyingi ushikapo shingoni huwa anakuwa hana ujanja .

kuku
huyu mengi yameshazungumzia na wadau huko juu . Ila lakuongezea tu ni kuwa huyu usiku mdomo wake huwa na sumuu hivyo inabidi kuchukua tahadhari sanaa wakati wa usiku asije kukudonoa . Maana anaweza kukuachia sumu ambayo inaweza kukudhuru kiafya hapo baadae .

Jogoo na tetea .
Lakini bado tukiwa hapa kwenye kuku . Huku nikuulize shwari je umeshawahi kujiuliza kwanini ukiambiwa umkamate tetea inaweza kuchukua nusu saa pengine hata saa nzima kuweza kufanikiwa kumkamata au wakati mwingine ukashindwa kumkamata kabisa ? . Lakini jogoo anapo mfukuzia tetea huchukua dakika 5 au mbaka 10 kumkamata tetea ?..

Jibu .

Mara nyingi jogoo anapomfukuzia tetea . Pale kuna mchakato wa kibiolojia unaofanyika kama ilivyokwetu tu binadamu . Pindi ukutanapo na mwanamke huwezi tu kumvua nguo mwanamke na kuchomeka ni lazima umuandae basi sasa turudi kwenye mada yetu . Basi hata jogoo pindi anapomfukuzia tetea zile dk 5 au 10 za kumfukuzia tetea husaidia kumuandaa tetea kiakili na kimwili ili jogoo anapokuja kumuingia asiweze kumuumiza na kumchubua 🤣🤣 ina chekesha lakini ndyo hivyo .

Mbwa .
Mengi yaliyosemwa juu ya mbwa na wadau yapo sahihi kabisa . Lakini cha kuongezea ni kwamba . Umfugapo mbwa nyumbani kwako basi na yeye huwa anatabia ya kuweka mipaka ya kiutawala tena hii hufanywa mara nyingi na mbwa dume ( kama ni wale wasiofugiwa bandani ) . Mbwa dume huweka mipaka ya kiutawala kwa kunya mavi au kukojoa kaskazini , kusini mashariki na magharibi ili kutoa ishara kwa mbwa wengine wageni na yeyete atakaye ikililia mipaka yake basi hapo kipigo kitamuhusu labda awe mbwa jike hapo msamaha utahusika kama mjuavyo tena

Njiwa wa nyumbani .

Jamani wengine naona tumezungumzia mbwa , ng'ombe punda lakin tumemsahau njiwa. Hawa nao wana tabia zao za kushanga sana .
1) mara nyingi njiwa hutaga mayai mawili tuuu . Na katika mayai haya moja huwa njiwa dume na jingine huwa njia jike .
2) njiwa hawa wawili hukuwa pamoja na kuwa wapenzi . Na pindi njiwa jike atakapo taga mayai swala la kuatamia na mayai ni shwala la wote . Na maanisha nini ? . Mayai yatahatamia na njiwa dume huku njiwa jike akiwa kaenda kitafuta chakula na kuna muda mayai utahatamiwa na njiwa jike huku njiwa dume akiwa kaenda kutafuta chakula hukuna kutegea na dume akileta tu utegezi kwenye kuatamia hushushiwa kipigo na njiwa jike vizuri tu na hii huendelea hata pindi wapatapo makinda shwara la kuwalisha ni swala la woteee ( hapa wanatufundisha mgawanyo wa kazi katika malezi )

3) hapo juu tumeona njiwa huwa wanakuwa wawili wawili toka utotoni mbaka katika maisha yao ya ukubwani . Sasa nini hutokea pindi njiwa dume anaondokewa na njia jike ??. Kimsingi kama aliekufa au aliyepotea ni njiwa jike basi inashauriwa ni bora ukamchinja huyu dume maana hali ya upweke ambayo hubaki nayo huweza kupelekea njiwa huyu dume hata kufa . Kwani humchukua muda mrefu sana kumpata mwenza mwingine . Lakini kama ni jike wala huwa hamnashida sana kwani hueeza kupata dume jingine mapema sanaa.

4) kama utafuga njiwa inashauriwa kila asubuhi ni bora ukawa unawarushia kiasi fulani cha nafaka kama vile mchele huku ukiwaambia mawili matatu . Hii itakusaidia pindi ukutwapo na majanga kama msiba kwani ukipata msiba unaweza kutumia ile fursa ya asubuhi kuwa wapa taarifa kuwa umepata msiba hivyo wakiona watu wengi na makele ya vilio wasistuke . Kwani usipofanya hivyo hupelekea njiwa kuhama na kuamia kwa mfugaji mwingine .

Nguruwe .

Wengi wamemzungumzia huyu . Lakini ningependa kuongezea kuwa kama utataka kumfuga huyu basi ni bora ukamjengea banda la juu kwa kutumia mabanzi au mbao . Kwani kama utatumia matofari ya kuchoma au ya cement basi inaweza kuwa hasara maana nguruwe akiwa na njaa huyageuza matofari kama chakula na kuyala .

- pua ya nguluwe ni ngumu kuliko hats uionavyo . Hutumia kufukulia hasa kwa yale mabanda ya chini yaliyosakafiwa na hata kusafisha banda lake pindi lijaapo kinyesi .

- wafugaji hawashauriwi kumzoesha kumpa mabaki ya nyama ya ng'ombe nguruwe kwani hii huleta shida sana pindi awapo na watoto wadogo . Kwani pindi atakapochelewesha chakula au akawa na njaa ya ghafla hupelekea kula kitoto chake mwenyewe .

- Samaki ni moja ya kitoweo kikubwa sana wakitumiacho wezi kumuiba nguruwe . Wezi huvamia banda la nguruwe na kutengeneza uwazi utakaomuwezesha nguruwe kupenya

. Baada ya hapo huchukua samaki aliyochwa na kumfunga kamba na kumuweka nje ya banda la nguruwe waliyedhamiria kumuiba . Pindi nguruwe aipatapo harufu ya samaki huyo basi huwafuata wezi hawa mwenyewe kimya kimya mbaka machichioni . Na kubaki wakikushangaza mfugaji imewezakana vipi kumbeba nguruwe mkubwa kiasi kile bila ya nguruwe kupiga kelele ???.

- miwa ni miongoni mwa chakula kingine akipendacho nguruwe . Hivyo usije kulima shamba la miwa karibu na wafugaji wa nguruwe utawalaumu bureee tu.

Nimeona niongee haya machache lakini pia ntafurahi kuona na wengine wakiongezea mengine na kuufanya uzi huu kuwa uzi bora kabisa mwaka 2024.
ningependa kuongezea hapa kwenye

Nguruwe
Nguruwe huwa hali kinyesi chake kama vile wengi wadhanivyo ila hutafuta chakula kwenye kinyesi chake mfano wadudu walojificha humo ama kuzaliwa humo baada ya kinyesi kuwa bandan kwa mufa mrefu

Nguruwe anaustaarabu wake wa kujisaidia sehemu moja tuu na huwa kwenye kona moja ya banda lale.

Nguruwe hapendi uchafu labisa.

Nguruwe ukimzoesha muda wa kula ama wa kumwekea chakula yan ukifika ule muda tuuu utaanza kusikia kelele na kuhangaika kwake. pindi usikiapo hvyo jua muda wake wq chakula umewadia.
 
Nguruwe
Hawa ni wasafi sana, Bandani huchagua upande wa kujisaidia. Muda wote watajisaidia kona hiyo tu hata usafisha na kufanya msbadiliko gani bandani, kwao hapo ndio choo. Sijaona kitu hii kwa wanyama wengine
labda kwa mnyama pori flan anatabia ya kunya sehemu moja tuu yan hata awe wapi atakimbia had kwenye choo chale ndo atajisaidia hapo.
Mungu huyu dah
 
Ndio iko wazi nao wana hisia sana sanaaa
Mnyama kukurudishia uovu ni mara chache ukimtendea wema nao wana hisia
Ila wanyama pori mkuu hawaaminiki hata iweje.
maranyingi huwa na kubadilika badilika mfano Mambo.
yan we mfuge tuu ila huwez mwamin maana anaweza kukufanya kitoweo hata wewe.

simba. chui nao hawazoeleki maana hawawez poteza ile asili yao. kwahiyo wagugaji weng wamedhurika sana na hawa wanyama pindi walipotaka kuonesha wamezoeana nao

pia Mbwa jamii ya buldog hajawqh kuwa mnyama wa kuaminika.
yule anapaswa kuishi na mtu miaka mitano baada ya hapo aende kwa mfugaji mwingine mgeni la sivyo anaweza kukuua.

mbwa huyu ameua wamiliki wake weng kurokana na changamoto yake hii
 
Alafu punda anasifa moja;

Ukim'bebesha mwanae mzigo haendi, utapiga viboko umuue, m'bebeshe yeye mizigo yote mwanae atembee free.

Nimewaona sana kule Usafwani(Mbeya) wakibebeshwa mahindi,mkaa na viazi.

Punda akifika lami ni mjinga sana, gari inakuja wala hakimbii anaficha tu kichwa anaacha mwili wote anagongwa.

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kuhusu hilo la mwanae ni ukweli nimewahi kushuhudia live
Fanye yote lakini sio mwanae, mtakosana

That's why unakuta punda mbele ana mzigo au nyuma mbele mtoto yuko free anapiga misele .
Binafsi niliwahi kujaribu kumletea masihara mwanae kabla sijapewa kovu kwenye paji la uso karibu na upara kwa teke zito kabisa


Usimjaribu mtoto wake ..!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] pole sana mkuu
 
Ila wanyama pori mkuu hawaaminiki hata iweje.
maranyingi huwa na kubadilika badilika mfano Mambo.
yan we mfuge tuu ila huwez mwamin maana anaweza kukufanya kitoweo hata wewe.

simba. chui nao hawazoeleki maana hawawez poteza ile asili yao. kwahiyo wagugaji weng wamedhurika sana na hawa wanyama pindi walipotaka kuonesha wamezoeana nao

pia Mbwa jamii ya buldog hajawqh kuwa mnyama wa kuaminika.
yule anapaswa kuishi na mtu miaka mitano baada ya hapo aende kwa mfugaji mwingine mgeni la sivyo anaweza kukuua.

mbwa huyu ameua wamiliki wake weng kurokana na changamoto yake hii
Majibwa yenyewe ndio kama hili? Kuna watu wamechoka kuishi na sasa wanatafuta namna ya kurudisha namba kwa muumba kwa kweli, linaweza kukuchenjia anytime bora kufuga MBUZI utakula mchuzi
FB_IMG_17041913579249501.jpg
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] pole sana mkuu
Mimi nakushauri usijaribu kwa mustakabali wa afya yako mimi nilikuwa mdogo kwahiyo teke lilitua direct kwenye komwe..!

Sasa kama ukiwa mrefu mrefu obviously teke linaweza kutua kwenye pumbu au kifuani take care
 
Ila wanyama pori mkuu hawaaminiki hata iweje.
maranyingi huwa na kubadilika badilika mfano Mambo.
yan we mfuge tuu ila huwez mwamin maana anaweza kukufanya kitoweo hata wewe.

simba. chui nao hawazoeleki maana hawawez poteza ile asili yao. kwahiyo wagugaji weng wamedhurika sana na hawa wanyama pindi walipotaka kuonesha wamezoeana nao

pia Mbwa jamii ya buldog hajawqh kuwa mnyama wa kuaminika.
yule anapaswa kuishi na mtu miaka mitano baada ya hapo aende kwa mfugaji mwingine mgeni la sivyo anaweza kukuua.

mbwa huyu ameua wamiliki wake weng kurokana na changamoto yake hii
Mkuu wanyama wa porini hawatabiriki na ndio maana wanaishi porini
Hata kwenye ma zoo haya wachungaji wale wanaotunza simba nao wamekuwa wakiliwa pia au kudhuriwa licha ya kuwatunza kwa muda mrefu .

Sometimes unakuta simba kwenye cage yupo depressed huwezi jua wewe unaenda kuleta masihara yako unaenda na maji.

Hata iweje mnyama wa porini kuna wakati ataikumbuka asili yake kwamba yeye sio wa kukaa kwenye cage tu Bali kuishi mwituni na kuwinda mwenyewe ..

Msifuge wanyama wa porini hana dhamana unakuta mtu anafuga fisi kweli? Si mpaka watoto wako wataliwa?
 
Moja ya ufafanuzi mzuri, wazungu wanalijua hili na huwezi kuona mzungu anawanyanyasa wanayama hata wala wanyama hatarishi, tumeona hata nyoka wanakamata wanawarudisha polini ili waendelee kuishi.
Sababu hata nyoka naye pia hakosi kumbukumbu kama ulimtendea unyama siku labda mtakutana hata porini atakugonga

Kwanza nyoka huwa havamii mtu kumgonga Bali wewe ndio unavamia njia yake ndipo ana attack
 
Ni ujinga tu! Kwani umelazimishwa kula hapo?andaa chakula chako nyumban gari ikisimama kwenye hivo vituo toa chako kula shida ipo wap?

Alafu kitu kingine upo safari safarini unakula kula ili iweje? Si unywe hata soda na biskuti ukifika unapokwenda utakula vizuri. Watu mnajiendekeza kula mataka taka ya njiani .

Binafsi ninapo safiri huwa nanua tende,maji na soda Basi mpka nafika silagi kitu kingine.

Nanunua tende kavu robo nakula mdogo mdogo na huwa sihisi njaa nikila tende nashushia soda tu na maji mpaka nafika.
 
Napenda sana ufugaji mkuu, na ninapenda sana urafiki na mifugo unakuta wakati mwingine napiga nao story kama wananielewa vile. Sasa hivi nina mbwa na kuku na ninajua tabia zao vizuri sana.

Hapa nawaza je nitaweza siku kuwachinja kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]nimewazoea
Wanyama ni marafiki wazuri mno haswa mbwa, kuna wangu mmoja alikufa mpka nikatoa machozi.
 
Back
Top Bottom