Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Uzi mzuri sana, big up mkuu Its Pancho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changia ujualo na wewe mkuu
Duh sijawahi sikia hili mkuu 🤣🤣Nguruwe
Hawa ni wasafi sana, Bandani huchagua upande wa kujisaidia. Muda wote watajisaidia kona hiyo tu hata usafisha na kufanya msbadiliko gani bandani, kwao hapo ndio choo. Sijaona kitu hii kwa wanyama wengine
Pamoja sana mkuu unaruhusiwa kuchangia pia unalojuaUzi mzuri sana, big up mkuu Its Pancho
Mbwa akiona chatu anafunguka mbio hatariUkienda kuwinda na mbwa porini na hilo eneo kukawa na chatu basi jua upo kwenye hatari ya kuliwa.
Chatu anapokua anawinda anatoa harufu ya kuvutia ambayo inamvutia mbwa, mbwa atasogea lakini akigundua kwamba ni chatu basi hukimbilia kwako na hapo ndo cha moto utakiona
Uzi mzuri umenikumbusha mengi, Wanyama nao wanaupendo kwa Binadamu, hutambua mtu mwema na mbaya.
Mkuu mm nafuga kuku wa kienyeji natamani kujua hzo ishara na hyo milio unayoizungumziaMie experience yangu labda kwa kuku tu na mbwa ndo nimewafuga kwa muda mrefu sana.
Hivi kuna mnyama wa kufugwa anapenda ngono kama mbwa dume?
Kuku wanatofautiana tabia kama binadamu, pia kuku wanamtambua binadamu mbaya, wanatoa ishara kwa namna tofauti ya milio yao.
Mbwa ni mnyama mzalendo zaidi anaweza kuwa rafiki kuliko hata binadamu, Unavyomfundisha ndivyo anavyokuwa.
Na mbaya zaidi watoto wa Paka hawauziki 😁Bora dume jike hasara tupu kwa kweli atazaa mpaka ushangae niligawa vitoto mpaka nikachoka
Paka mnoko alafu anamdharau sana Mbwa 🤣🤣🤣🤣🤣Paka ni kweli kabisa utadhani mtoto wa mwenye nyumba
Yaani paka ni mnyama flani self-centered sana. Anahisi dunia inatakiwa izunguke kukidhi furaha zake.Paka mnoko alafu anamdharau sana Mbwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Paka na mmbwa huwa hawapotei kabisa wakisafirishwa hata umbali gani ilimradi uwe mji huo huo..Hasa Mbwa ni mwepes kumtambua mtu mzuri na mbaya
na pia Mbwa anapokutizama sana machoni ana uwezo wakutambua ikiwa humpendi au unampenda
Ukiona Mbwa anakutizama sana machoni ujue anakusoma hvyo
Ila pia paka ni kiumbe kivumilivu sana kwa njaa na huwa kigumu sana kukiua. Wahenga husema ana roho saba ingawa siamini lakini kwa shughuli tulizokuwa tukifanya utotoni kuua paka shume mitaani hakika si kitu rahisi kuwaua.Yaani paka ni mnyama flani self-centered sana. Anahisi dunia inatakiwa izunguke kukidhi furaha zake.
Utakuta analala sehemu soft zaidi ndani,
anataka kula anachokula binadamu na akikamata panya anamchezea sana kabla ya kumla.
Hii ya paka usijifungie naye ndani ni stori tupu haina ukweli.Paka na mmbwa huwa hawapotei kabisa wakisafirishwa hata umbali gani ilimradi uwe mji huo huo..
1990s tulishawahi kuweka paka mmoja kwenye boksi kisha tukamsafirisha mbali sana kama km 70 alitupwa bwawani maana alikuwa anadokoa mno mboga jikoni na kunya hovyo hovyo, baada ya siku 4 tulipofungua mlango asubuhi 06:00 hrs alikutwa akiwa amelala nnje ya mlango mkuu wa nyumba.
Mmbwa, Poppy mbegu ya kizungu aliyotoka nayo Mzee Brazil na kuifuga Morogoro, alikuwa mkali sana na alisababisha majeraha kwa wanafunzi na baadhi ya Watu. Alikuwa anakodishwa kuwinda wanyama porini ila bado alileta balaa. Mshua aliamua kumuuzia Rafiki yake kuepuka balaa aliyekuwa akiishi umbali kama km 52 ila baada ya wiki 1 mmbwa alitoroka na kurudi home.
Paka anafundishika tabia njema ila usijichanganye kumfungia ndani ukiwa pekeyako eti umpige, atakuua na usijesema sikukuambia tukikutana paradiso.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kitu namisi ni kuona zile battle za madume ya mafahali.
Tukiwa machalii wadogo tulikuwa tunachonganisha mafahali halafu tunakaa kuangalia battle.
Wale mafahali wanafikia hatua ya kuwa na bifu na unakuta wako busy kunoa pembe zao kwenye vichuguu.
[Alafu kenge mmoja anasema wanaume msiwe na wivu]
Hakuna vifaa vya kumnyonyea mpaka nitumie mdomo wangu?Unamnyonya pua ndama mkuu vyote vilivyopo usoni punde ndama anapotoka otherwise anakufa
Yani kashenzi sana kanalala ile sehemu ambayo wewe unalala wewe.Anaona kama unamhgasi kwenye nyumba yake..
Tulikua na paka na mbwa kipindi nakua,walipendana sana,muda wote wanacheza pamoja,hata kulala hulala pamoja na mara kadhaa unamkuta paka kalala juu ya mbwa.Paka mnoko alafu anamdharau sana Mbwa 🤣🤣🤣🤣🤣