EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
umenkosea sana,, ujue hapo kuna sauti za kiume tu daaaah πNmesikia sauti ya Ms R na ya Mpaji Mungu kwa mbaaali π
π sauti za kusinzia baada ya lunch lazima ziwe nzito.umenkosea sana,, ujue hapo kuna sauti za kiume tu daaaah π
hapana,, haiwezi fikia hapo aseeee π ntake radhiπ sauti za kusinzia baada ya lunch lazima ziwe nzito.
Hapana tena wewe ndio huyo anaeongea na ulimi mzito πhapana,, haiwezi fikia hapo aseeee π ntake radhi
Hahaha nimemsikia mwashambwa
mi naiskilza kila mda apaπππππila unanionea ujueHapana tena wewe ndio huyo anaeongea na ulimi mzito π
Sitaki kuplay tena hii video naweza nkafa kwa kucheka π
Ina maana sauti yako huijui? Mimi sitak kuiplay tena, hapana ntakaukiwa.mi naiskilza kila mda apaπππππila unanionea ujue
Sio za bange kweliπ sauti za kusinzia baada ya lunch lazima ziwe nzito.
Hakosekani ndio huyo anaongea kama anabubujikwa na machozi "increadhezi" πHahaha nimemsikia mwashambwa
πhii kitu ipo siku nitalipa,,leo tufanye umeshinda ππΎIna maana sauti yako huijui? Mimi sitak kuiplay tena, hapana ntakaukiwa.
Bange hapana japo hawakosekaniSio za bange kweli
Hatushindani lakini ππhii kitu ipo siku nitalipa,,leo tufanye umeshinda ππΎ
mi nitalipa tuπ siwezi kubaliHatushindani lakini π
Utalipa kwa lipa namba aumi nitalipa tuπ siwezi kubali
au itapendezaUtalipa kwa lipa namba au
ππMbona mm nimekuskia ww unasema creases
Mimi ndio ticha konde mwenyeweππMbona mm nimekuskia ww unasema creases