Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Yangu si ni ya ualimu?Yako hujaisikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangu si ni ya ualimu?Yako hujaisikia?
Unabishana na mwalimu?usinipangie😆
Hizo bado ni creases 😂Achana na hizi unazoletewa mezani....zile za maabara kbs unajitengenezea kinywaji chako murua unakua kama umelewa ila haujalewa kama siku tatu hv huelew elewi
nimetoa ada yangu, usinifokeeUnabishana na mwalimu?
Hata kama ndio useme creases badala ya increases?nimetoa ada yangu, usinifokee
Toka zako.Yangu si ni ya ualimu?
wewe unafundsha hadi break timeHata kama ndio useme creases badala ya increases?
Ndio hamtaki kufaulu?wewe unafundsha hadi break time
Tena wewe ndio unasikika zaidi. 😂Toka zako.
hakuna ufaulu ni kachoka tuNdio hamtaki kufaulu?
Itabidi uje na mzazihakuna ufaulu ni kachoka tu
sjawahi itishwa mzazi shule mimi ushindweItabidi uje na mzazi
Creases.Tena wewe ndio unasikika zaidi. [emoji23]
Hii video imenichekesha sana.
Hahaha tena mang'ombe mazeeCreases.
Sauti kama mang'ombe [emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaHata kama ndio useme creases badala ya increases?
Creases😂😂😂😂wamechoka
[emoji23]Watu wajinga sana sijui waliwaza nini.Hahaha tena mang'ombe mazee
Huyo mwenye lisauti kama mlevi ni mwashambwaCreases😂😂😂😂wamechoka
Unajicheka sio 😂Creases.
Sauti kama mang'ombe [emoji23][emoji23][emoji23]
Sauti za wababa hizo, mimi sio mbaba [emoji1787]Unajicheka sio [emoji23]
Sema izi sauti kama za mooo kweli