Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio kwa mara ya kwanza leosjawahi itishwa mzazi shule mimi ushindwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwa mara ya kwanza leosjawahi itishwa mzazi shule mimi ushindwe
Itafahamika tu ila yako ipoSauti za wababa hizo, mimi sio mbaba [emoji1787]
[emoji16][emoji16]Itafahamika tu ila yako ipo
uko poa?[emoji16][emoji16]
Creasesuko poa?
😂 dah utanivunja mbavuCreases
[emoji23][emoji23][emoji23] dah utanivunja mbavu
Ulale sasa[emoji23][emoji23]
Sitaki. Kuna baridi kitanda hakifai.Ulale sasa
Washa mkaaSitaki. Kuna baridi kitanda hakifai.
[emoji23] saa hizi jamani? Nalala kibishi hivyo hivyo.Washa mkaa
Washa mkaa muda bado.[emoji23] saa hizi jamani? Nalala kibishi hivyo hivyo.
Nimelala hivyo hivyo kibishi.Washa mkaa muda bado.
Usije ukawasha kweli [emoji23]
Pole sanaNimelala hivyo hivyo kibishi.
Nitatandikwa na uzee huuNdio kwa mara ya kwanza leo
Ndio vzuriNitatandikwa na uzee huu
ila we jamaa una chuki namimi wazi wazi sjui nilikukosea niniNdio vzuri
Kwanza sinaga chuki kwahiyo uo ni uongoila we jamaa una chuki namimi wazi wazi sjui nilikukosea nini
we bwan mwandiko wako unajionesha tu khaahKwanza sinaga chuki kwahiyo uo ni uongo
Sasa nikuchukie nakujua? Na kwa sababu gani, hayo ni matumizi mabaya ya chuki. No place 4 hate kwahiyo unajuaga nakuchukia?we bwan mwandiko wako unajionesha tu khaah