Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Au sioau itapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sioau itapendeza
😁Hv mziki wa Chemia utaumudu?Mimi ndio ticha konde mwenyewe
usiku mwema bwan wewAu sio
Aisee usikubalì kwanini akuusishe kwenye darasa la mazombimi nitalipa tu😂 siwezi kubali
😂😂😂😁😁Mbona mm nimekuskia ww unasema creases
Uache kulala class 😅usiku mwema bwan wew
Naumudu sana mkuu mimi ni mkemia, huwa nachanganya k vant na energy.😁Hv mziki wa Chemia utaumudu?
Mama misosi vp
Achana na hizi unazoletewa mezani....zile za maabara kbs unajitengenezea kinywaji chako murua unakua kama umelewa ila haujalewa kama siku tatu hv huelew elewiNaumudu sana mkuu mimi ni mkemia, huwa nachanganya k vant na energy.
Alivuta au kunywa nini kabla hajaingia class
Poa mambo vipMama misosi vp
Wakili wangu sheikh Kosugi amepata safari ya kikazi huko Abu Dhabi akirudi tu nimoPoa mambo vip
Mbona haukuja Sasa 😀
usinipangie😆Uache kulala class 😅
siwezi kubali kamwe,, ingawa ingekuepo sauti ya kike ingekua yanguAisee usikubalì kwanini akuusishe kwenye darasa la mazombi
Huu Mwaka halilali jambo😁Ooh sawa akirudi nijulishe
Yako hujaisikia?