Under value food crops ambazo zinaweza kuwa ni biashara kubwa sana

Under value food crops ambazo zinaweza kuwa ni biashara kubwa sana

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Watanzania wengi still na still tunalima au kufanya vitu kwa kuigana tu. Hii hupelekea mazao menhine kuwa na wakulima.wachache sana.

Nani mfano analima mazao haya comercialy?

1. Viazi vitamu
2.Magimbi
3.Maboga

Mazao tajwa hapo juu yana demandi kubwa sana na inalekea productions yake ni ile traditional ya kujilimia kijisehemu tu. Ila ukweli ni kwamba hayo mazao yanaweza limwa kibiashara na.yakafanya vyema kabisa.

Magimbi yana bei kubwa sana na pamoja na kuwa na bei kubwa.ila bado production yake iko chini sana.watu tunalima Magimbi traditional. Kuna mdada mmoja yuko Songea nazani kuna.siku alinipigia simu akasema anataka kulima hekari 10 za Magimbi kwa kuanzia ila target yake ni hekari 50.Magimbi bado ni chakula cha wenye vipato kiasi make kwa sisi choka mbaya hatuwezani na bei yake, sasa kwa nini tusiongeze supply?

Nitamtafuta nijue kafikia wapi now make ni kitambo.

Viazi the same, wanai chonswa na mikate, vitumbua na mandazi ni wengi kwa sasa na na hawa wanataka vitu kama viazi na magimbi.

Maboga yana demand sana na yana soko pia zuri kwa foregners, Super Market kubwa hazina watu wa kuwa supplier Maboga through the year. Maboga nayo ni yanalimwa traditionaly sana.

Hayo mazao tajwa hapo yanaweza fanywa kibiashara na ikibidi kufanya umwagiliaji wa kuweza kuvuna mwaka mzima.
 
Watanzania wengi still na still tunalima au kufanya vitu kwa kuigana tu. Hii hupelekea mazao menhine kuwa na wakulima.wachache sana.

Nani mfano analima mazao haya comercialy?

1. Viazi vitamu
2. Magimbi
3. Maboga

Mazao tajwa hapo juu yana demandi kubwa sana na inalekea productions yake ni ile traditional ya kujilimia kijisehemu tu. Ila ukweli ni kwamba hayo mazao yanaweza limwa kibiashara na.yakafanya vyema kabisa.

Magimbi yana bei kubwa sana na pamoja na kuwa na bei kubwa.ila bado production yake iko chini sana watu tunalima Magimbi traditional.

Kuna mdada mmoja yuko Songea nazani kuna siku alinipigia simu akasema anataka kulima hekari 10 za Magimbi kwa kuanzia ila target yake ni hekari 50.

Magimbi bado ni chakula cha wenye vipato kiasi make kwa sisi choka mbaya hatuwezani na bei yake, sasa kwa nini tusiongeze supply?

Nitamtafuta nijue kafikia wapi now make ni kitambo.

Viazi the same, wanai chonswa na mikate, vitumbua na mandazi ni wengi kwa sasa na na hawa wanataka vitu kama viazi na magimbi.

Maboga yana demand sana na yana soko pia zuri kwa foregners, Super Market kubwa hazina watu wa kuwa supplier Maboga through the year. Maboga nayo ni yanalimwa traditionaly sana.

Hayo mazao tajwa hapo yanaweza fanywa kibiashara na ikibidi kufanya umwagiliaji wa kuweza kuvuna mwaka mzima.
 
Nani mfano analima mazao haya comercialy?

1. Viazi vitamu
2.Magimbi
3.Maboga
Hapo kwenye viazi vitamu labda uwe na soko la uhakika ama sivyo havikawii kuoza. Au kutafuta namna ya kuviongezea thamani kama vile kusindika, kutengeneza unga lishe nk.

Tatizo kubwa la wakulima wengi sio wabunifu. Na wengi wao wanategemea kilimo cha msimu na matokeo yake bidhaa inakosa thamani kutokana na kuwa nyingi sokoni kwa wakati mmoja!
 
Hapo kwenye viazi vitamu labda uwe na soko la uhakika ama sivyo havikawii kuoza. Au kutafuta namna ya kuviongezea thamani kama vile kusindika, kutengeneza unga lishe nk.

Tatizo kubwa la wakulima wengi sio wabunifu. Na wengi wao wanategemea kilimo cha msimu na matokeo yake bidhaa inakosa thamani kutokana na kuwa nyingi sokoni kwa wakati mmoja!
Umesema vizuri. Kumekuwa na mwamko kuhusu utumiaji wa viazi lishe. Kama unalima eneo kubwa. Vile vikubwa utauza vidogo unaweza kutengeneza bidhaa mbali mbali
 
Hapo kwenye viazi vitamu labda uwe na soko la uhakika ama sivyo havikawii kuoza. Au kutafuta namna ya kuviongezea thamani kama vile kusindika, kutengeneza unga lishe nk.

Tatizo kubwa la wakulima wengi sio wabunifu. Na wengi wao wanategemea kilimo cha msimu na matokeo yake bidhaa inakosa thamani kutokana na kuwa nyingi sokoni kwa wakati mmoja!
Nimewahi andika maoni humu kwenye maboga.
Tunaweza kutumia mazao yasio ya gharama kama viazi vitamu kulisha mifugo. Kwa hio pesa utaipata kwa kuuza mifugo si zao lenyewe .

Maboga kwa sasa ni dili hasa mbegu zake.
Nyama ya boga lisha mfugo ile mbegu
sindika kauze au kamua mafuta.
Wataalamu watusaidie aina ya maboga yanayotoa mbegu nyingi na mafuta mengi.
 
Nimewahi andika maoni humu kwenye maboga.
Tunaweza kutumia mazao yasio ya gharama kama viazi vitamu kulisha mifugo. Kwa hio pesa utaipata kwa kuuza mifugo si zao lenyewe .

Maboga kwa sasa ni dili hasa mbegu zake.
Nyama ya boga lisha mfugo ile mbegu
sindika kauze au kamua mafuta.
Wataalamu watusaidie aina ya maboga yanayotoa mbegu nyingi na mafuta mengi.
Kabisa
 
wachana na mihemko kuna mzee aliwahi kuitwa mchaichai kisa hii mihemko ya kijinga kacheki sokoni mchaichae bei juu akaenda kulima heka la mchaichai uliza kilichomkuta sasa
Nashukuru kwa maoni ni kweli unayoyasema mkuu , Kwa mimi sio kwamba ndo naanza kuingia kwenye kilimo ni mzoefu ! Ni idea tu nilitamani tu kuifanyia kazi kwa sababu uendeshaji wake na gharama ni wa kawaida sana ! Maana mashamba ni ya kwangu sikodishi na yako karibu na mito kwa hiyo ishu ya kumwagilia sio tatizo !! Ndo maana nikaonelea niifanye pia Rossela zinatunzika zikishakauka vizuri haina shida !! Hata kama itatokea bei ziko chini sio shida!!

Kupata hasara inawezekana na faida inawezekana ! Hata huyo aliyelima mchai chai alikosa lakini angejiongeza mchai chai unauzwa kwa design nyingi kukaushwa na kusagwa inawezekana ! Na pia mchai chai ni wa muda wote mradi upate maji ya kutosha labda kama huyo jamaa kama hakujipanga kipindi cha kiangazi sio kama karoti au vitunguu kwamba ukichuma ndo mkataba umeisha !!
 
Nashukuru kwa maoni ni kweli unayoyasema mkuu , Kwa mimi sio kwamba ndo naanza kuingia kwenye kilimo ni mzoefu ! Ni idea tu nilitamani tu kuifanyia kazi kwa sababu uendeshaji wake na gharama ni wa kawaida sana ! Maana mashamba ni ya kwangu sikodishi na yako karibu na mito kwa hiyo ishu ya kumwagilia sio tatizo !! Ndo maana nikaonelea niifanye pia Rossela zinatunzika zikishakauka vizuri haina shida !! Hata kama itatokea bei ziko chini sio shida!!

Kupata hasara inawezekana na faida inawezekana ! Hata huyo aliyelima mchai chai alikosa lakini angejiongeza mchai chai unauzwa kwa design nyingi kukaushwa na kusagwa inawezekana ! Na pia mchai chai ni wa muda wote mradi upate maji ya kutosha labda kama huyo jamaa kama hakujipanga kipindi cha kiangazi sio kama karoti au vitunguu kwamba ukichuma ndo mkataba umeisha !!
sawa unalima mkoa gani ndugu
 
wachana na mihemko kuna mzee aliwahi kuitwa mchaichai kisa hii mihemko ya kijinga kacheki sokoni mchaichae bei juu akaenda kulima heka la mchaichai uliza kilichomkuta sasa
Hakuna cha Mihemuko, kinacho paswa kuangaliwa kwenye Kilimo sio Markrt price bali cost of Production, Mchai chai mfabi ukiotesha mara 1 ndio kazi kwisha wewe ni kuvuna miaka na miaka, kuna shida gani hata ukikuta bei iko chini sana?
 
Nashukuru kwa maoni ni kweli unayoyasema mkuu , Kwa mimi sio kwamba ndo naanza kuingia kwenye kilimo ni mzoefu ! Ni idea tu nilitamani tu kuifanyia kazi kwa sababu uendeshaji wake na gharama ni wa kawaida sana ! Maana mashamba ni ya kwangu sikodishi na yako karibu na mito kwa hiyo ishu ya kumwagilia sio tatizo !! Ndo maana nikaonelea niifanye pia Rossela zinatunzika zikishakauka vizuri haina shida !! Hata kama itatokea bei ziko chini sio shida!!

Kupata hasara inawezekana na faida inawezekana ! Hata huyo aliyelima mchai chai alikosa lakini angejiongeza mchai chai unauzwa kwa design nyingi kukaushwa na kusagwa inawezekana ! Na pia mchai chai ni wa muda wote mradi upate maji ya kutosha labda kama huyo jamaa kama hakujipanga kipindi cha kiangazi sio kama karoti au vitunguu kwamba ukichuma ndo mkataba umeisha !!
Moja ya shida ya Watanzania na kwa ninu wanapigwa ni kwa sababu hawataki kufanya kulima kilimo endelevu, Wanavutwa na price ikishuka wanakimbia, Ila zao kama Mchai chai bado sioni sjida yake kwa sababu hata gharama za kutunza mchaichia nazani ziko chini sana na ukiotesha mara moja ndio kazi kwisha wewe ni kuvuna tu, so sioni Tatizo,
 
Nimewahi andika maoni humu kwenye maboga.
Tunaweza kutumia mazao yasio ya gharama kama viazi vitamu kulisha mifugo. Kwa hio pesa utaipata kwa kuuza mifugo si zao lenyewe .

Maboga kwa sasa ni dili hasa mbegu zake.
Nyama ya boga lisha mfugo ile mbegu
sindika kauze au kamua mafuta.
Wataalamu watusaidie aina ya maboga yanayotoa mbegu nyingi na mafuta mengi.
Maboga ni vile watu hawajashutuka, yale maeneo yote yanayo pata mvua kidogo watu wangejuw wanalima.maboga yangewasaidia sana kwenye swala la njaaa, Maboga ni chakula pia kinacho weza okoa binadamu na.mifugo wakati wa njaaa na uhaba wa chakula. Shida watu wamekomaa na traditional crops tupu ambazo zinawapiga chini kila mwaka,
 
Back
Top Bottom