CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Watanzania wengi still na still tunalima au kufanya vitu kwa kuigana tu. Hii hupelekea mazao menhine kuwa na wakulima.wachache sana.
Nani mfano analima mazao haya comercialy?
1. Viazi vitamu
2.Magimbi
3.Maboga
Mazao tajwa hapo juu yana demandi kubwa sana na inalekea productions yake ni ile traditional ya kujilimia kijisehemu tu. Ila ukweli ni kwamba hayo mazao yanaweza limwa kibiashara na.yakafanya vyema kabisa.
Magimbi yana bei kubwa sana na pamoja na kuwa na bei kubwa.ila bado production yake iko chini sana.watu tunalima Magimbi traditional. Kuna mdada mmoja yuko Songea nazani kuna.siku alinipigia simu akasema anataka kulima hekari 10 za Magimbi kwa kuanzia ila target yake ni hekari 50.Magimbi bado ni chakula cha wenye vipato kiasi make kwa sisi choka mbaya hatuwezani na bei yake, sasa kwa nini tusiongeze supply?
Nitamtafuta nijue kafikia wapi now make ni kitambo.
Viazi the same, wanai chonswa na mikate, vitumbua na mandazi ni wengi kwa sasa na na hawa wanataka vitu kama viazi na magimbi.
Maboga yana demand sana na yana soko pia zuri kwa foregners, Super Market kubwa hazina watu wa kuwa supplier Maboga through the year. Maboga nayo ni yanalimwa traditionaly sana.
Hayo mazao tajwa hapo yanaweza fanywa kibiashara na ikibidi kufanya umwagiliaji wa kuweza kuvuna mwaka mzima.
Nani mfano analima mazao haya comercialy?
1. Viazi vitamu
2.Magimbi
3.Maboga
Mazao tajwa hapo juu yana demandi kubwa sana na inalekea productions yake ni ile traditional ya kujilimia kijisehemu tu. Ila ukweli ni kwamba hayo mazao yanaweza limwa kibiashara na.yakafanya vyema kabisa.
Magimbi yana bei kubwa sana na pamoja na kuwa na bei kubwa.ila bado production yake iko chini sana.watu tunalima Magimbi traditional. Kuna mdada mmoja yuko Songea nazani kuna.siku alinipigia simu akasema anataka kulima hekari 10 za Magimbi kwa kuanzia ila target yake ni hekari 50.Magimbi bado ni chakula cha wenye vipato kiasi make kwa sisi choka mbaya hatuwezani na bei yake, sasa kwa nini tusiongeze supply?
Nitamtafuta nijue kafikia wapi now make ni kitambo.
Viazi the same, wanai chonswa na mikate, vitumbua na mandazi ni wengi kwa sasa na na hawa wanataka vitu kama viazi na magimbi.
Maboga yana demand sana na yana soko pia zuri kwa foregners, Super Market kubwa hazina watu wa kuwa supplier Maboga through the year. Maboga nayo ni yanalimwa traditionaly sana.
Hayo mazao tajwa hapo yanaweza fanywa kibiashara na ikibidi kufanya umwagiliaji wa kuweza kuvuna mwaka mzima.