Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

Mleta mada mi nakuunga mkono.

Jamii yetu haijazoea wanaume aliyejipata na bado awe “well reserved” ikitokea basi atahisiwa tofauti. Some men are very picky and privacy is their cup of coffee.

Dimpozi anatembea na KE na haujamkuta anabembeleza, He will drive in the middle of the night to pick up a chick… Beautiful one, ana ka mwili kadogo, mweupe, ana ka ushombe shombe plus usingida. (sio mimi msinishukie) Dimpozi kama uko humu bisha nikutajie jina 😀

Sababu sijathibitisha kama anatembea na ME na nimethibitisha anatembea na KE basi naendelea amini ni aina ya ME ambao hawajataka kuprove uanaume wao kwa kukimbizana na sketi (scandals) . Nadhani it has something to do with his circle of friends also.

Okay bye!
 
Mleta mada mi nakuunga mkono.

Jamii yetu haijazoea wanaume aliyejipata na bado awe “well reserved” ikitokea basi atahisiwa tofauti. Some men are very picky and privacy is their cup of coffee.

Dimpozi anatembea na KE na haujamkuta anabembeleza, He will drive in the middle of the night to pick up a chick… Beautiful one, ana ka mwili kadogo, mweupe, ana ka ushombe shombe plus usingida. (sio mimi msinishukie) Dimpozi kama uko humu bisha nikutajie jina 😀

Sababu sijathibitisha kama anatembea na ME na nimethibitisha anatembea na KE basi naendelea amini ni aina ya ME ambao hawajataka kuprove uanaume wao kwa kukimbizana na sketi (scandals) . Nadhani it has something to do with his circle of friends also.

Okay bye!
huku mtandaoni kumejaa vijana broke ambao wanafikiri kumchafua mtu aliewazidi kila kitu basi watapata faraja au kutawapunguzia ugumu wa maisha.
nmeandika short sana ili kuepuka kujulikana ila vijana wa kibongo wamejaa sana hila na chuki like walitaka wakute heading inasoma-

NILIKUTANA NA OMMY DIMPOZ HOTELINI KAPAKATWA NA MWANAUME MWENZIE, wtf.!!

huyo chick ulomwelezea apo ni tofauti kidogo na niliemwona nae Zanzibar, that one hakuwa na mwili mdogo, umbile lake ni kama la Zaylissa wa Haji [hata urefu] ila asili kama ya kinyarwanda.

low-key is the key.!!
 
Kumbe siyo mtu wa upinde!!!?? Maana nlikuwa nasikia ni chakula ya ji-es-em🤭
 
Ugonile..

Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye ratiba za Bi Tozo [Paje kwa Bibi yake na Zuchu]

Villa niliyokua nimebook ndo apoapo walokuwa wamebook Ommy Dimpoz, Majizzo na timu yao [bodyguards to be specific]

Luckily villa aliokua anakaa tulikua jirani sana kiasi ambacho mtu akiwa anatoka au anaingia upande wa pili ukiwa kwenye Balcony anaona kila kitu.

Siku anacheck-in alikua peke yake na mpenzi wake ndo baadae akina Majizzo wakafuatia, so nikiwa natoka kwenda excursion nilishangaa kumwona anatembea na huyo mpenzi wake wakiwa wameshikana viuno tukapeana tu hi pale kila mtu akaendelea na ratiba zake.

Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.

My Take: Privacy is power, endeleeni kumhisi ni upinde maana hamumpunguzii wala kumwongezea chochote kwenye maisha yake..!
na huyo mpenzi wake ndio wewe hapo!?
 
Ugonile..

Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye ratiba za Bi Tozo [Paje kwa Bibi yake na Zuchu]

Villa niliyokua nimebook ndo apoapo walokuwa wamebook Ommy Dimpoz, Majizzo na timu yao [bodyguards to be specific]

Luckily villa aliokua anakaa tulikua jirani sana kiasi ambacho mtu akiwa anatoka au anaingia upande wa pili ukiwa kwenye Balcony anaona kila kitu.

Siku anacheck-in alikua peke yake na mpenzi wake ndo baadae akina Majizzo wakafuatia, so nikiwa natoka kwenda excursion nilishangaa kumwona anatembea na huyo mpenzi wake wakiwa wameshikana viuno tukapeana tu hi pale kila mtu akaendelea na ratiba zake.

Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.

My Take: Privacy is power, endeleeni kumhisi ni upinde maana hamumpunguzii wala kumwongezea chochote kwenye maisha yake..!
Nyie wanawake mnajuana wenyewe. Hili unatuletea sisi wanaume unataka tuseme nini?
 
Back
Top Bottom