Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

huku mtandaoni kumejaa vijana broke ambao wanafikiri kumchafua mtu aliewazidi kila kitu basi watapata faraja au kutawapunguzia ugumu wa maisha.
nmeandika short sana ili kuepuka kujulikana ila vijana wa kibongo wamejaa sana hila na chuki like walitaka wakute heading inasoma-

NILIKUTANA NA OMMY DIMPOZ HOTELINI KAPAKATWA NA MWANAUME MWENZIE, wtf.!!

huyo chick ulomwelezea apo ni tofauti kidogo na niliemwona nae Zanzibar, that one hakuwa na mwili mdogo, umbile lake ni kama la Zaylissa wa Haji [hata urefu] ila asili kama ya kinyarwanda.

low-key is the key.!!
Na hii ina sum up kuwa he is into women! Mpaka itakapothibitishwa otherwise.

Tusipende kumpaka mtu kwa kitu ambacho hatujawahi kumuona nacho.
 
Na hii ina sum up kuwa he is into women! Mpaka itakapothibitishwa otherwise.

Tusipende kumpaka mtu kwa kitu ambacho hatujawahi kumuona nacho.
Lakini jamaa anavyojiweka inasababisha watu kufikiri mambo mengine
 
Mleta mada mi nakuunga mkono.

Jamii yetu haijazoea wanaume aliyejipata na bado awe “well reserved” ikitokea basi atahisiwa tofauti. Some men are very picky and privacy is their cup of coffee.

Dimpozi anatembea na KE na haujamkuta anabembeleza, He will drive in the middle of the night to pick up a chick… Beautiful one, ana ka mwili kadogo, mweupe, ana ka ushombe shombe plus usingida. (sio mimi msinishukie) Dimpozi kama uko humu bisha nikutajie jina 😀

Sababu sijathibitisha kama anatembea na ME na nimethibitisha anatembea na KE basi naendelea amini ni aina ya ME ambao hawajataka kuprove uanaume wao kwa kukimbizana na sketi (scandals) . Nadhani it has something to do with his circle of friends also.

Okay bye!
Vipi kama ni bisexual au pansexual?

Watu wengi wanaficha tabia zao ili kuepuka maneno ya watu

Kuna mbunge ulaya alikua akikosoa sana mashoga ila akakamatwa kwenye club ya mashoga, akajiuzuru

Mimi nadhani sexuality za watu tuachane nazo tu, na tusishangae kugundua maajabu, ni suala binafsi mno.
 
Vipi kama ni bisexual au pansexual?

Watu wengi wanaficha tabia zao ili kuepuka maneno ya watu

Kuna mbunge ulaya alikua akikosoa sana mashoga ila akakamatwa kwenye club ya mashoga, akajiuzuru

Mimi nadhani sexuality za watu tuachane nazo tu, na tusishangae kugundua maajabu, ni suala binafsi mno.
Tunajaribu kuthibitisha tulichoona kwa macho.. Ofcoz kwa dunia ya sasa it’s complicated kujua sexuality ya mtu.. Maana watu wanaamka tu wanadecide kuwa identified as…… mara kesho as …… .

Binafsi sina tatizo na yeyote, Huyu mwamba amesemwa ni gay mara nyingi… Na kuna sisi tulioshuhudia vinginevyo, Sum of us we will defend even our worst enemy! Siwezi kumsemea uongo for the sake of it.
 
Bila picha ya huyo mwanamke vwa Ommy basi huu Uzi ni batili na ingependeza zaidi Kama mamods wangeufutilia mbali
 
Kama Magu stori za aliowafumua zilivuja sidhani kama Dimpoz ni smart kiasi kwamba zaidi ya miaka 10 ya umaarufu wake wasijulikane hata mademu wawili alotoka nao! Hasa hawa mademu wa kizazi cha tik tok ambao hamna namna atalala na celeb na taarifa isiende duniani

Napata ugumu sana kumtetea Dimpoz ikiwa hata Nay ashawahi andika mistari tata kuhusu jamaa
 
Tunajaribu kuthibitisha tulichoona kwa macho.. Ofcoz kwa dunia ya sasa it’s complicated kujua sexuality ya mtu.. Maana watu wanaamka tu wanadecide kuwa identified as…… mara kesho as …… .

Binafsi sina tatizo na yeyote, Huyu mwamba amesemwa ni gay mara nyingi… Na kuna sisi tulioshuhudia vinginevyo, Sum of us we will defend even our worst enemy! Siwezi kumsemea uongo for the sake of it.
Kuna watu kuropokwa au kujisemesha na kujiandikisha vitu vya oungo au uzushi wameifanya kama kitu cha kawaida ndio maana hizi habari zinasambaa na nina uhakika baadhi ya wanaotolea ushuhuda kuwa ni gay hawajawahi hata kumuona wanafata mkumbo tuu.
 
Mambo ya kujadili vitu hewani ni nonsense. Weka picha sisi hatuwajui hao huku ngerengere tunakomaza nuckles na commando course pharse 2
 
Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.
Uzuri wa pisi ni subjective, ndiyo sababu wakasema "beauty is in the eye of the beholder".
Wewe unaweza kumuona mkali sana kuliko pisi wate, mwingine akaona wa kawaida tu.

Ungetupia kapicha ingependeza broo
 
Ugonile..

Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye ratiba za Bi Tozo [Paje kwa Bibi yake na Zuchu]

Villa niliyokua nimebook ndo apoapo walokuwa wamebook Ommy Dimpoz, Majizzo na timu yao [bodyguards to be specific]

Luckily villa aliokua anakaa tulikua jirani sana kiasi ambacho mtu akiwa anatoka au anaingia upande wa pili ukiwa kwenye Balcony anaona kila kitu.

Siku anacheck-in alikua peke yake na mpenzi wake ndo baadae akina Majizzo wakafuatia, so nikiwa natoka kwenda excursion nilishangaa kumwona anatembea na huyo mpenzi wake wakiwa wameshikana viuno tukapeana tu hi pale kila mtu akaendelea na ratiba zake.

Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.

My Take: Privacy is power, endeleeni kumhisi ni upinde maana hamumpunguzii wala kumwongezea chochote kwenye maisha yake..!
Mwanamke mrembo sana ni tatizo ndugu yangu wengi wanajiuza
 
Kuna watu kuropokwa au kujisemesha na kujiandikisha vitu vya oungo au uzushi wameifanya kama kitu cha kawaida ndio maana hizi habari zinasambaa na nina uhakika baadhi ya wanaotolea ushuhuda kuwa ni gay hawajawahi hata kumuona wanafata mkumbo tuu.
Si ndiooo!!!!
 
Back
Top Bottom