THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
majaaliwa ni mweupe kichwani kama bosi wake.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Sijui ni like au niache? Naomba kaushaurimajaaliwa ni mweupe kichwani kama bosi wake.
Japokuwa umelielezea suala hili kama vile utani lakini kuna Ukweli mchungu kuhusiana na watawala wetu.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Lakini si huwa siku zote anapaka black?majaaliwa ni mweupe kichwani kama bosi wake.
Ile ya kiume zaidi, ingawa walijifanya kuondoka ukumbini wasiisikilize cha ajabu baadaye wakaanza kuijibu, kumbe walienda kusikilizia vyumbani mwao.Ngoja nitafute ya Benjamin
Huwezi kulaumu robot bali aliyeandika algorithmIli ujue Tanzania ni nchi yenye watu wa ajabu nikwamba eti kiongozi akitoa hotuba mbovu wanalaumu walioandika hotuba na aliyeongea kwa mdomo wake anaachwa
Unafikiri aliyeongea amekua kitabu kumbe ni mtu
Umeandika kwa dharau sana aisee.Tutajirekebisha na ikishindikana tutajirekebua.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Mwasibu😂😂😂Awamu ya 6 hakuna kiongozi wa juu mwenye sifa hata mmoja
Na iwe hivoUmeandika kwa dharau sana aisee.Tutajirekebisha na ikishindikana tutajirekebua.
Daaah Watz watakutupia Majini😂😂Jenista mhagama alisoma speech yote alikuwa anakosea kila herufu,eti ndio pisi ya Taifa,yaani ukija upepo karatasi ikipepea ni kilio.
Wa TZ ni bongolala
,njooni mnikamate niko Kibera,Nairobi
PoleeWakenya mna mahangaiko sana jirani zetu
Serious!Japokuwa umelielezea suala hili kama vile utani lakini kuna Ukweli mchungu kuhusiana na watawala wetu.