Wakudadisi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 626
- 528
Nawapeleka shule kama uliyosoma ww ?Kwa hiyo wanao umewapeleka shule za kanumba..si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapeleka shule kama uliyosoma ww ?Kwa hiyo wanao umewapeleka shule za kanumba..si ndio?
DuhNawapeleka shule kama uliyosoma ww ?
😆😆😆😆Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
😅😅tafsiri ya jina lako tafadhaliIli ujue Tanzania ni nchi yenye watu wa ajabu nikwamba eti kiongozi akitoa hotuba mbovu wanalaumu walioandika hotuba na aliyeongea kwa mdomo wake anaachwa. Unafikiri aliyeongea amekua kitabu kumbe ni mtu.
Hivi ww ulivyokalili na kwa akili zako kujua kuongea english na kusoma english ndo umekua msomi sana?Duh
Sio St.Kayumba ili wajue kiswahili?
Kilikuja na MELI.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Haitakuja kutokea nchi ikafanya mapinduzi ya kimaendeleo kwa kufundishia lugha ya kigeni na kuacha lugha yake mama.Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
Sorry mkuuHivi ww ulivyokalili na kwa akili zako kujua kuongea english na kusoma english ndo umekua msomi sana?
Najua lugha nne lakini siwezi kujivunia, kama ni faida maishani, ningekua nafahamu kutengeneza ndege na kuunda chombo cha ardhini na angani za kutafiti, na kuleta mali na faida za binadamu ningejivua.Sorry mkuu
Kwa hiyo wewe unajua swahili tu?? 😀
Hakuna siku pombe na bange viliwahi Acha mtu salamaUkweli ni kwamba, Ruto kichwani huwezi kumlinganisha na
1. Secretary
2. Yule majaliwa
3. Mhagama
4. Doto hewa
5. Nape hewa
6. Aweso hewa
The only machinery tulionao ni
1. Dr mpango ila secretary hampi nafasi
2. Kabudi, ila siasa imemharibu
3. Jerry silaa
4. Makamba jr ila usambaa umemharibu
5. Nchemba tatizo siasa imemharibu
6. Kairuki Mrs, ila anapigwa vita na mfumo
7. Tax , ulinzi ila anagicha wizara ambazo hatajulikana anafanya nini
8. Dr Nchimbi, ila ataondolelewa soon huko aliko.
9. Mkenda, japo Huwa Kuna wakati anajisahau.
Aibu kubwa mnooooo tena mnoooo ila hapo wape uwanja wa pambio uone mtu yanavyomtokaJapokuwa umelielezea suala hili kama vile utani lakini kuna Ukweli mchungu kuhusiana na watawala wetu.
Nani kakudanganya?ndio utetezi wenu wa kipuuzi mkishakosaga hoja hiyo nyanya na Unga wa ugali hapa bongo tunagawiwa bure????tumia akili sio unakurupuka tuLakini kuipata nyanya au unga wa ugali Kenya ni patashika boksa kuchanika.
Najua lugha nne lakini siwezi kujivunia, kama ni faida maishani, ningekua nafahamu kutengeneza ndege na kuunda chombo cha ardhini na angani za kutafiti, na kuleta mali na faida za binadamu ningejivua.
Sisi tunaishi kwa maelekezo toka juuNikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Haujui ulichondika au labda Hauna taharifa sahii.... Pointless... Kwani zile nchi zinazozalisha mafuta Kwa kiasi kikubwa kama Iran na Saudia, Huwa wanagawa Bure mafuta Kwa wananchi..... Bado haujatahiriwa katika nyanja ya arguments.Nani kakudanganya?ndio utetezi wenu wa kipuuzi mkishakosaga hoja hiyo nyanya na Unga wa ugali hapa bongo tunagawiwa bure????tumia akili sio unakurupuka tu