Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kumlaribisha rais jimboni kwake kwa kugalagala kama mtoto mdogo kisa uwaziri😀😀Waziri asiyejua kutofautisha R na L.
Ila yule mheshimiwa atakua na sangoma konki
Mkuu nahisi unaweza usiwe sahihi sana.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Kinaruhusiwa ila sijui kwa nini huwa wanalazimisha kuongea KingerezaLugha, labda wangeruhusu kiswahili.
Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za Samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya. Anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek.
Baadae nikaenda ya Ruto. Jamaa ile ku-adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
View attachment 3110275
View attachment 3110276
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79
Wote ni walimu wa Grade AMwalimu Majaliwa naye ni kama ule mwenzake wa Afya
😂😂😂😂😂 ni kweli.Ruto ni msanii…. He can freestyle for hour bila kumaanisha chochote alichoongea
Hakuna kituRuto tokea wale vijana wampe akili yuko very serous na kazi yake.
UWT OnlineWaTz wengi huwa hamnaga akili! Tofautisha motivational speaker na hard working leader! Huyo ruto anaongeaongea tu kufurahisha watu nnjoo utendaji kaz wake ni sifuri! JPM mwenyewe mambo ya hotuba yalimpita kushoto ila alikuwa kiongoz mahiri kwel kwel!
By the way ukisoma speech nzur hapo! Unaongeza chakula na ajira kwenye nchi yako? Mleta mada huna akili.
Huna akili ww! Mjinga mmoja leta hoja acha story! Ruto mlikuwa mnamkashifu juzi leo mnamsifia kwa kukariri kihotuba cha dakika 20!! Na kama sikosei alitumia teleprompter.UWT Online
Acha kutwambia mambo ya JPm muuaji yule.WaTz wengi huwa hamnaga akili! Tofautisha motivational speaker na hard working leader! Huyo ruto anaongeaongea tu kufurahisha watu nnjoo utendaji kaz wake ni sifuri! JPM mwenyewe mambo ya hotuba yalimpita kushoto ila alikuwa kiongoz mahiri kwel kwel!
By the way ukisoma speech nzur hapo! Unaongeza chakula na ajira kwenye nchi yako? Mleta mada huna akili.
ChawaKuna screen zenye maandishi pande mbili mbele yake, anachofanya ni kusoma, jitahidi usifatilie mambo ya PDiddy tu