Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mukenya/Mkenya?🤷Ww n mukenyaa wa meru au Nakuru mkuu..weka video ya ruto
Dah nimeicheki jamaa kaongea kwa ueledi sana ni kama kusema kapiga bunker buster ndani ya in headquartersIle ya kiume zaidi, ingawa walijifanya kuondoka ukumbini wasiisikilize cha ajabu baadaye wakaanza kuijibu, kumbe walienda kusikilizia vyumbani mwao.
Labda wamemkimbiza kwenda kumficha either Urusi au Uturuki🤣🤣Dah nimeicheki jamaa kaongea kwa ueledi sana ni kama kusema kapiga bunker buster ndani ya in headquarters
Kamwambia Iran hakuna sehem nchini kwako siwezi kukupiga hapo hapo Irani wamemkimbiza khamein sijui kwenda wapi!!
Usikute alipo yupo kwa myahudi
Mrusi hawezi kabisa vita na Israel na haitaki maana FSB na kremlini wamejaa wayahudi tupuLabda wamemkimbiza kwenda kumficha either Urusi au Uturuki🤣🤣
Au wameshamstukia kuwa ni MOSSAD agent hivyo wanajifanya kumficha kumbe wanaenda kumuweka mahala kuhakikisha wanamminya hadi anauyaja mtandao wote🤣🤣🤣
In baba kayayii voicePolee
Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jenista mhagama alisoma speech yote alikuwa anakosea kila herufu,eti ndio pisi ya Taifa,yaani ukija upepo karatasi ikipepea ni kilio.
Wa TZ ni bongolala
,njooni mnikamate niko Kibera,Nairobi
Nipo ninaisakama awamu ya 6Mwasibu😂😂😂
NI mkalenjinWw n mukenyaa wa meru au Nakuru mkuu..weka video ya ruto
Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
im tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku mutdress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Kuwa Mzalendo acha ujinga usome utoe kichwani sawa tu shida ipo wapi ndio ujinga mnafanya mnaleta madhara yasio na sababu... Mbona Netanyahu mwenye very high iq amesoma speech yake?Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Hili ni neno.Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
Lugha, labda wangeruhusu kiswahili.Kabla ya kuingia Misa hapa nikasema tulia niendelee kupitia Speech za Huko UNGA 79th session Jana nilikua na ya Anko Benjamin hadi network ikakata.
Nikaanza na ya MP wetu anapeleka salam tu za samia yani hadi salam anasoma kwenye Karatas nikasema aya...anavyoa address utasema form 4 nikaitoa dadeek
Baadae nikaenda ya Ruto Jamaa ile ku adress tu inakuvuta attention usikilize jamaa video ipo pale chanel ya UN kaongea dakika 29 na sekunde kazaa hajatoa kwa karatas.
#Goodmorning🇵🇹
Hapana Mkuu.Unawafahamu UWT?