UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

WaTz wengi huwa hamnaga akili! Tofautisha motivational speaker na hard working leader! Huyo ruto anaongeaongea tu kufurahisha watu nnjoo utendaji kaz wake ni sifuri! JPM mwenyewe mambo ya hotuba yalimpita kushoto ila alikuwa kiongoz mahiri kwel kwel!
By the way ukisoma speech nzur hapo! Unaongeza chakula na ajira kwenye nchi yako? Mleta mada huna akili.
Kama wewe.
 
Angeipitia walau kidogo kabla ya kuingia hapo ili mda wote macho yasiwe kwenye karatasi.
 
Nchi imekabidhiwa kwa vilaza bosi wake alikuwa karani huyu katelephone mwalimu wa .mwalimu wa michezo .
Alikuwa kilaza sana huyu waziri mkuu hamna kitu kabisa eti ndio waziri mkuu
 
Jamaa alianzia division four diploma in education.
Ruto ni moto kichwani mkuu.
Ndio maana alikuwa mwalimu wa.michezo.
Hamna kitu kabisa kwenye ubongo wake.
Huyu ndiye waziri.mkuu kilaza kulipo mawaziri wakuu wote waliopata kutokea tanzania .
Ameachwa kwa mbali na yule aliyekuwa mtaalamu wa agro mechanics
 
Tutakua watumwa hadi lini? kwanini tusijikombowe kutoka mfumo huu, wa kimagharibi, kwanini elimu yetu? Tizameni mataifa kama china, japan, na korea yameendelea bila wao.
Adui yako mweke karibu zaidi.
Jitahidi ujue english mkuu
 
Ilikua ni sawa tu kiswahili kua lugha kuu ya kufundishia kwenye shule za upili mpaka chuo, ni faida kubwa sana kuliko kiingereza, ambacho sio lugha mama ya nchi, hata yale mataifa, yaliomepiga hatua kubwa sana, kwenye elimu, na teknolojia, yameanza na lugha mama kuu ya taifa.
Wewe una mawazo ya kizamani sana.

Ajira hapa hakuna.Watoto wanamaliza vyuo ata miaka 8 inapita hawajaliwa.

Tunataka wahitimu wetu waweze kujinadi katika fursa zilizo nje ya nchi.
Ukikomaa na kishwahili utaishia Mbagala
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nje ya mada, mi naomba ile clip ya yule Raisi wa wapi sijui anakunywa maji kwa kutumia jug katikati ya speech🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe una mawazo ya kizamani sana.

Ajira hapa hakuna.Watoto wanamaliza vyuo ata miaka 8 inapita hawajaliwa.

Tunataka wahitimu wetu waweze kujinadi katika fursa zilizo nje ya nchi.
Ukikomaa na kishwahili utaishia Mbagala
Wewe utakua na mawazo ya kuendelea kutawaliwa nani kakwambia ukijua english ndo utaajiliwa huko ulaya tunasoma ili kupata maarifa, hatusomi ili kuwa wakalimani, wa lugha za kikoloni. Mwanafuz anatumia mda mrefu kujua lugha kuliko somo tarajiwa.
 
Kwanza kabisa nampongeza mkuu wangu wa idara hapa kazini, nikimuona anavyowamendea wanawake walio chini yake nabubujikwa na machozi. Lakini pia nimpongeze mhasibu wetu kwa kutupa mishahara yetu juzi.
Kwa kweli sijawahi kumuona Nyerere akihutubia kwa kusoma karatasi, Wala sijawahi kumuona Kawawa akihutubia huku Kuna mtu nyuma yake.
Au RPC wa enzi zile akilindwa na polisi anapoongea na waandishi wa habari ambao silaha Yao Ni kalamu tu.
Nadhani mondi ndio kaleta huu utamaduni wa wabodigadi na machawa. Ashindwe ....
 
  • Kicheko
Reactions: Cyb
Jenista mhagama alisoma speech yote alikuwa anakosea kila herufu,eti ndio pisi ya Taifa,yaani ukija upepo karatasi ikipepea ni kilio.
Wa TZ ni bongolala
,njooni mnikamate niko Kibera,Nairobi
Acha uoga mkuu
 
Wewe utakua na mawazo ya kuendelea kutawaliwa nani kakwambia ukijua english ndo utaajiliwa huko ulaya tunasoma ili kupata maarifa, hatusomi ili kuwa wakalimani, wa lugha za kikoloni. Mwanafuz anatumia mda mrefu kujua lugha kuliko somo tarajiwa.
Kwa hiyo wanao umewapeleka shule za kanumba..si ndio?
 
Back
Top Bottom