Unga wa mkunazi, kibiriti na mafuta ya mzeituni dawa nyingine kwa wenye gundu

Unga wa mkunazi, kibiriti na mafuta ya mzeituni dawa nyingine kwa wenye gundu

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
huwa napenda kufanya uchunguzi hasa wa tiba za asili, miaka ya nyuma brother Mshana Jr alinipa funzo katika matumizi ya chumvi ya mawe niliitumia tiba hii kwa muda wa mwaka mzima japo kidogo nilikuwa nikikosea kwenye matumizi.

Ili kujitakasa kwa kutumia chumvi inatakiwa uogee sehemu isiyokuwa chafu kama chooni au sehemu yenye uchafu kama kinyesi au mikojo, sehemu salama ni kuogea nje tena ikiwezekana usiku wa manane hii inakuwa ngumu , mchanganyiko wa unga wa mkunazi ,kibiriti upele na mafuta ya mzeituni ni tiba nyingine kwa wapambanaji
 
Mkuu, Hivi vitu vyote sijui vinapatikana wapi.

Kwanza kabisa huu unga wa Mkunazi ndio nini na unapatikana wapi? Na kiberiti upele ndio kitu gani?

Pia hujaelezea namna ya Matumizi yake. Vinatumikaje!
 
Back
Top Bottom