Unga wa sembe umeshuka bei kufikia tsh 1600 kwa kilo

Unga wa sembe umeshuka bei kufikia tsh 1600 kwa kilo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wiki mbili zilizopita nilinunua Unga wa sembe kilo 5 kwa tsh 8500 lakini jana katika duka lile lile nimeuziwa kwa tsh 8000.

Muuzaji akaniambia katika wiki mbili zijazo bei itashuka kufikia tsh 6500 Sawa na tsh 1300 kwa kilo.

Hongera waziri Bashe kwa ufuatiliaji.
 
Wale wanaosema Serikali ifunge mipaka wako wapi?
Wiki mbili zilizopita nilinunua Unga wa sembe kilo 5 kwa tsh 8500 lakini jana katika duka lile lile nimeuziwa kwa tsh 8000.

Muuzaji akaniambia katika wiki mbili zijazo bei itashuka kufikia tsh 6500 Sawa na tsh 1300 kwa kilo.

Hongera waziri Bashe kwa ufuatiliaji.
 
Back
Top Bottom