thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Anapambana vp sasa ?N kweli baadhi ya vtu vimeanzaa kushukaa bei, mama anapambanaa bado halii ikawee sawà kwa kilaa mtz
Uchawa ndo huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapambana vp sasa ?N kweli baadhi ya vtu vimeanzaa kushukaa bei, mama anapambanaa bado halii ikawee sawà kwa kilaa mtz
Usiwe mbishi njaa wewe. Kipindi hicho sado ya kilo nne ya mahindi iliuzwa hadi 6000 to 7000.Labda kama uliuza hivyo wewe dukani kwako
Ukinitajia Sumbawanga roho yangu inaniuma sana, mwaka juz nilinunua mahind gunia 45000 nikaja kuuza kwa 20000Mikoa ya MBEYA Songea na Sumbawanga wamevuna mahindi, yanasaidia Sana kushusha Bei ya Mahindi, kumbuka Mikoa ya Tanga na Pwani walikosa Mvua za kutisha.
Labda kama uliuza hivo shambani kwakoUsiwe mbishi njaa wewe. Kipindi hicho sado ya kilo nne ya mahindi iliuzwa hadi 6000 to 7000.
Daraja la mkapaDaraja gani?
Wakati wa nyerere unga kg senti 50wakati wa kikwete unga kg 250 tu...