Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 5 ya Magufuli Unga haujawahi kuzidi tsh 1200Umesahau tu
Tumewahi kula wali zaidi kuliko ugali.
Mchele bei ilikuwa afadhali kuliko unga.
Watu wakawa wananunua mchele zaidi
Ni sawa na Utabiri wa hali ya hewa usiamini hiyo nenda sokoni physicallyShida ya nchi hii watu ni wavivu sana , haya soma hiyo link labda unaweza elewa ninacho sema
Bei ya unga yafika mara 12 ya saruji
WAKATI bei ya unga wa sembe ikipanda mpaka kufikia kuuzwa kati ya Sh. 2,200 na Sh. 2,500 kwa kilo, ile ya mfuko wa saruji wenye uzito wa kilo 50 imeshuka hadi sh. 9,000, sawa na Sh. 180 kwa kilo.www.ippmedia.com
Kaka hata mimi nilinunua unga mpaka 2500, ndio maana watu wakaamua kula mchele tu maana unga ulikuwa ghali sasa nashangaa 2017 leo mmesahau , ndio maana nikakupa hata watu walio andika hizo record pia unakataa , huyo sio Shigongo ni IPP ya mzee Mengi kama hutaki basi tena hakuna msaada mwengineMiaka 5 ya Magufuli Unga haujawahi kuzidi tsh 1200
Ni sawa na Utabiri wa hali ya hewa usiamini hiyo nenda sokoni physically
This is Tanzania bwashee!
Kweli kabisa wasijifanye wamesahau kiroba cha kg 5 kiliuzwa 9000-10,000 riverside ubungo2017
Kinondoni 2200 adi 2500
Mwenge 2400
Tandika 2200
Hapa hapa mjini Dar
Miaka 5 ya Magufuli Unga haujawahi kuzidi tsh 1200
Ni sawa na Utabiri wa hali ya hewa usiamini hiyo nenda sokoni physically
This is Tanzania bwashee!
Acha uongo bwana 2017 bei ya Unga, mafuta na sukari vilikuwa juu, unga tulinunua mpaka 2500 Kwa kilo, sukari ilifika 3500-4000, tuwe tunakumbuka vizurii na tuseme ukweli uongo hausaidiiMiaka 5 ya Magufuli Unga haujawahi kuzidi tsh 1200
Ni sawa na Utabiri wa hali ya hewa usiamini hiyo nenda sokoni physically
This is Tanzania bwashee!
Wapi Unga uliuzwa 2500?Acha
Acha uongo bwana 2017 bei ya Unga, mafuta na sukari vilikuwa juu, unga tulinunua mpaka 2500 Kwa kilo, sukari ilifika 3500-4000, tuwe tunakumbuka vizurii na tuseme ukweli uongo hausaidii
Ubungo hapoWapi Unga uliuzwa 2500?
Labda unazungumzia ule wa kunusa!Ubungo hapo
Na wewe kumbe unakula ugali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni huko kwako.
Hapa sembe ni 1800, kipande cha sabuni 800
SellingNa wewe kumbe unakula ugali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unakula sembe[emoji23]Ni huko kwako.
Hapa sembe ni 1800, kipande cha sabuni 800
...Anapambana? Ndio analeta Mvua? Punguzeni Fagio....!N kwel baadhi ya vtu vimeanzaa kushukaa bei, mama anapambanaa bado halii ikawee sawà kwa kilaa mtz
Inaonesha kujitemea umeanza juziWapi huko?? Pluto au?
Basi huko uliko kuna unafuuKuprint ni 100
huko masaki Bei haiwezi kufanana na huku tandale kwa tumbo bibieNi huko kwako.
Hapa sembe ni 1800, kipande cha sabuni 800