Unga wa sembe umeshuka bei kufikia tsh 1600 kwa kilo

Unga wa sembe umeshuka bei kufikia tsh 1600 kwa kilo

Wiki mbili zilizopita nilinunua Unga wa sembe kilo 5 kwa tsh 8500 lakini jana katika duka lile lile nimeuziwa kwa tsh 8000.

Muuzaji akaniambia katika wiki mbili zijazo bei itashuka kufikia tsh 6500 Sawa na tsh 1300 kwa kilo.

Hongera waziri Bashe kwa ufuatiliaji.
Bashe tena au muda wa mavuno?
 
Labda kama uliuza hivyo wewe dukani kwako
Mkuu acha ubishi , huu ni wakati wa teknolojia, pitia hiyo link

Kama link haifunguki nakusaidia tena[/URL]
 

Attachments

  • C269E641-0324-475A-B32F-FFE44B82BBA3.jpeg
    C269E641-0324-475A-B32F-FFE44B82BBA3.jpeg
    129.8 KB · Views: 4
Watu wanajifanyaga wanasahau.

Akija rais mwingine watasema wakati wa mama Samia petrol haikuwahi kupanda bei
Ndio nashangaa watu wanasahau mapema sana, hii link inaweza saidia upelelezi
 
Nifustilie nini wakati nipo nchini hapa na nina familia sijawahi kununua unga kwa hiyo bei wakati wa JPM!
Tatizo uchawa umewazidi hata uongo mnataka ufananie na ukweli.
Shida ya nchi hii watu ni wavivu sana , haya soma hiyo link labda unaweza elewa ninacho sema
 
Back
Top Bottom