ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
2017 mkuu mchele ulikuwa rahisi kuliko SembeDuh!!! Mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2017 mkuu mchele ulikuwa rahisi kuliko SembeDuh!!! Mwaka gani?
Mkuu niko vizuri 2017 hali ilikuwa mbaya sana kinondoni unga ulikuwa kati ya 2200 adi 2500Mwamba muongo wewe🙌🙌
Kumbukumbu zimekutoka bwashee niko sahihi kabisa rejea 2017 mwaka ulikuwa hatari sanaSiyo kweli
Huku kwetu 1800 ni bei ya mahindi tuNi huko kwako.
Hapa sembe ni 1800, kipande cha sabuni 800
Jana nimeenda stationary na 200 kuprint sikufanikiwa, naambiwa printing ni 300 per page.N kwel baadhi ya vtu vimeanzaa kushukaa bei ,mama anapambanaa bd halii ikawee sawà kwa kilaa mtz
Uongo na nusu.Umesahau kuwa kuwa unga ulipanda mpaka 2500 kwa kilo wakati huo huo wa JPM?
Kama hujui ni vyema kuuliza , wengi sio wafatiliajiUongo na nusu.
Nifustilie nini wakati nipo nchini hapa na nina familia sijawahi kununua unga kwa hiyo bei wakati wa JPM!Kama hujui ni vyema kuuliza , wengi sio wafatiliaji
Acha uwongo2017 mkuu mchele ulikuwa rahisi kuliko Sembe
Bashe tena au muda wa mavuno?Wiki mbili zilizopita nilinunua Unga wa sembe kilo 5 kwa tsh 8500 lakini jana katika duka lile lile nimeuziwa kwa tsh 8000.
Muuzaji akaniambia katika wiki mbili zijazo bei itashuka kufikia tsh 6500 Sawa na tsh 1300 kwa kilo.
Hongera waziri Bashe kwa ufuatiliaji.
Watu wanajifanyaga wanasahau.Umesahau kuwa kuwa unga ulipanda mpaka 2500 kwa kilo wakati huo huo wa JPM?
Kuprint ni 100Jana nimeenda stationary na 200 kuprint sikufanikiwa, naambiwa printing ni 300 per page.
Msisjifanye mmesahau.Siyo kweli
Unafananisha Petrol na Unga wa Ugali?Watu wanajifanyaga wanasahau.
Akija rais mwingine watasema wakati wa mama Samia petrol haikuwahi kupanda bei
Labda kama uliuza hivyo wewe dukani kwako2017
Kinondoni 2200 adi 2500
Mwenge 2400
Tandika 2200
Hapa hapa mjini Dar
Umesahau tuMwamba muongo wewe[emoji119][emoji119]
Mkuu acha ubishi , huu ni wakati wa teknolojia, pitia hiyo linkLabda kama uliuza hivyo wewe dukani kwako
Ndio nashangaa watu wanasahau mapema sana, hii link inaweza saidia upeleleziWatu wanajifanyaga wanasahau.
Akija rais mwingine watasema wakati wa mama Samia petrol haikuwahi kupanda bei
Shida ya nchi hii watu ni wavivu sana , haya soma hiyo link labda unaweza elewa ninacho semaNifustilie nini wakati nipo nchini hapa na nina familia sijawahi kununua unga kwa hiyo bei wakati wa JPM!
Tatizo uchawa umewazidi hata uongo mnataka ufananie na ukweli.