Unganeni kukikataa kikundi hiki kabla hakijakomaa zaidi ya hapa na kuwa kikundi cha hatari zaidi

Unganeni kukikataa kikundi hiki kabla hakijakomaa zaidi ya hapa na kuwa kikundi cha hatari zaidi

Huu sasa ndio muelekeo kwenye Taifa moja katika Bara fulani ambako kuna chama fulani cha siasa sasa kimebaki chama siasa jina tu, ila kiuhalisia chama hicho kimegeuka kikundi cha watu wachache kilichokamata serikali (dola) katika nchi hiyo, na kinaweza fanya lolote pasipo hofu utadhani nchi hiyo haina sheria wala katiba.

Hivi sasa katika nchi hiyo, kikundi hiki cha watu wachache, kinaweza kufanya uhalifu wowote dhidi ya binadamu na bado kikapata utetezi mkubwa tu kutoka kwa watu mbalimbali na kinatumia "njaa" za watu katika Taifa hilo kama mtaji wa kupata ungwaji mkono/utetezi.

Kikundi hiki kinachojificha kupitia jina la chama cha siasa, kinaonekana kimeajiri vijana mitandaoni wenye kazi kubwa ya kutetea na ku-justify kila uovu unaofanywa na kikundi hiki dhidi ya binadamu wengine.

Kibaya zaidi, kikundi hiki kinatumia watu maarufu na wenye kuheshimika katika Jamii kama vile viongozi wa dini kutetea na kufunika maovu yao.

Kikundi hiki kimeweka mbele chama chao kuliko nchi, kimeweka mbele unyama kuliko utu, kimeweka mbele madaraka kuliko uongozi, kimeweka mbele fedha kuliko utu, kimeweka mbele dhuluma kuliko haki, kimeweka mbele ubinafsi kuliko utu, kimeweka mbele chuki kuliko upendo, kimeweka mbele amani kuliko haki, kimeweka mbele uongo na propaganda kuliko ukweli na uhalisia, kimeweka mbele kiburi kuliko unyenyekevu, n.k.

Kwa watu wa Taifa hilo, ni wakati sasa wa kuunganisha nguvu kukabiliana na kikundi hicho na wasitoe mwanya kikajimarisha zaidi kwani itafika hatua watakosa hata fursa ya kuelimishana kukipinga kwani hata access ya mitandao inaweza kuwa ni mtihani.

Samaki mkunje angali mbichi-Waswahili.
Hahahaha chandimu bwana! Ccm iliasisiwa tangu mwaka 1935 Yanga inazaliwa! Sasa nyie mmeanzishwa juzi tu 92 mnataka mshike dola! Jijengeni kwanza mtushawishi, sio kila siku makelele mitandaoni wapiga kura hawako humu social media! Anzisheni chadema ni msingi, chipukizi, vijana had I wazazi
 
CCM kwanin msianzishe bank na nyie kama mnaona. Biashara ni rahisi!! Mnaiba pesa za uma kwa ajili ya chama!! Mma viwanja na majengo kila mkoa anzisheni 🏦 Bank tuone mfano kwani Basi.
Alaf mnaita wazungu mashetani wakati mnakopa na kuomba misaada kwao? Wakati mnapewa misaaada hamuulizi kama pesa za mashoga mnazibeba tu
 
"sisi" ndio wakina nani?
Wewe kura yako inaweza kuwa "wingi" na kuifanya iwe "sisi" badala ya wewe!?
Sisi ni jumuisho kwa tayari matokeo ya kura zilizopigwa yalishatangazwa na mamlaka yenye dhamana - kwa ushindi huo neno sisi linapata uzito kupita wewe
 
Huu sasa ndio muelekeo kwenye Taifa moja katika Bara fulani ambako kuna chama fulani cha siasa sasa kimebaki chama siasa jina tu, ila kiuhalisia chama hicho kimegeuka kikundi cha watu wachache kilichokamata serikali (dola) katika nchi hiyo, na kinaweza fanya lolote pasipo hofu utadhani nchi hiyo haina sheria wala katiba.

Hivi sasa katika nchi hiyo, kikundi hiki cha watu wachache, kinaweza kufanya uhalifu wowote dhidi ya binadamu na bado kikapata utetezi mkubwa tu kutoka kwa watu mbalimbali na kinatumia "njaa" za watu katika Taifa hilo kama mtaji wa kupata ungwaji mkono/utetezi.

Kikundi hiki kinachojificha kupitia jina la chama cha siasa, kinaonekana kimeajiri vijana mitandaoni wenye kazi kubwa ya kutetea na ku-justify kila uovu unaofanywa na kikundi hiki dhidi ya binadamu wengine.

Kibaya zaidi, kikundi hiki kinatumia watu maarufu na wenye kuheshimika katika Jamii kama vile viongozi wa dini kutetea na kufunika maovu yao.

Kikundi hiki kimeweka mbele chama chao kuliko nchi, kimeweka mbele unyama kuliko utu, kimeweka mbele madaraka kuliko uongozi, kimeweka mbele fedha kuliko utu, kimeweka mbele dhuluma kuliko haki, kimeweka mbele ubinafsi kuliko utu, kimeweka mbele chuki kuliko upendo, kimeweka mbele amani kuliko haki, kimeweka mbele uongo na propaganda kuliko ukweli na uhalisia, kimeweka mbele kiburi kuliko unyenyekevu, n.k.

Kwa watu wa Taifa hilo, ni wakati sasa wa kuunganisha nguvu kukabiliana na kikundi hicho na wasitoe mwanya kikajimarisha zaidi kwani itafika hatua watakosa hata fursa ya kuelimishana kukipinga kwani hata access ya mitandao inaweza kuwa ni mtihani.

Samaki mkunje angali mbichi-Waswahili.
Unapoteza sana muda wako na siku zinasonga mbele hazigandi! Nakushauri jaribu kutumia muda wako kujijengea future yako kwa plan B maana hii ya kisiasa imebuma.
Anza na hii

 
Back
Top Bottom