Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Akili finyu kabisa za kijamaa hizi.Ningetoa elimu bure kutoka awali hadi elimu ya juu,matibabu bure na kuwasaidia wasiojiweza
means ugewipia wote ada..si ndio?Ningetoa elimu bure kutoka awali hadi elimu ya juu,matibabu bure na kuwasaidia wasiojiweza
Unakereka na nini???Huo ni mtazamo wangu na wewe weka wakoAkili finyu kabisa za kijamaa hizi.
Unadhani ukiwa unazigawa hizo fedha asubuhi hadi jioni kesho yake utakuwa Bill Gates yule yule?
okayNisingefanya chochote maana Mimi sio billigate na siwezi kuwa
Hapo ni kujenga shule na vyuo sio adameans ugewipia wote ada..si ndio?
labda kama ungejenga shule na vyuo vyako wasome bure.
lakini ni vya wengine unacovee ada waaikose kusoma..
kumfurahisha magufuli ?Mara paaaap mi ndo gates mwenyewe,,,
Ningefufua viwanda vidogovidogo kama MWATEX n.k ili kuongeza nafasi za ajira kwa Watz
Vlevle kuendana na kauli mbiu ya mkulu
HahahahaahNisingefanya chochote maana Mimi sio billigate na siwezi kuwa
ipo cool mkuu.Ningejenga hospital nyingi za wazazi.
ningehakikisha kila mkoa una hospital kubwa kwa ajili ya wazazi masuala ya kulala chini, watoto watatu kulala kitanda kimoja yasingekuwepo.
Sio kumfurahisha magu, la hasha!kumfurahisha magufuli ?
so hakutakuwa na mkulima maskini tz..zana za kisasa..mazao ya uhakika soko la uhakika hadi nje eh?Pia ningeshawish wakulima wajiunge kwny vikundi vidogovidogo ili niwakopeshe rasilimali fedha na zana za kisasa za kilimo waachane na kilimo cha jembe la mkono na kutegemea mvua. ..hii yote ni kwasabab kwa Tz kilimo ndo uti wa mgongo
kilimo bora kinachangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi yetu! !
[emoji38] [emoji38] [emoji38]NINGEINUNUA MAGOGONI
gujaelewa kituNingekua kama billgate alivyo