Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Hi guys,
Mnawe kwa maji tiririka, mvae barakoa, mkunywe maji ya tangawizi na limao na mjifukize, narudia tena mpige nyungu..! (Msopenda thread ndefu sitotaka malalamiko, tafadhali beba tu huu ushauri na uende)
Enwei, kuna mpendwa wangu mmoja alikuwa ana date this gentleman for so long, lakini unluckily hakuwahi kujua kama this guy tayari alishapata mtoto na binti mwingine way back na mtoto yupo nyumbani kwao kijana.!
Kuna kipindi huyu kaka akawa anaforce huyu binti aende nyumbani kwao, (siyo ile official lakini) anataka aende tu kusalimia, binti akawa anagoma anahisi ni mapema sana lakini this guy akatumia ushawishi mpaka akamu win over,
Binti akafika kwa wazazi akatambulishwa kama rafiki, sababu ilikuwa ni mapema mno kwao wote wawili kusema tofauti, lakini binti alishangaa baada ya kukuta kuna this beautiful baby boy kafanana kweli na mpenzi wake, alikuwa anafanya home work, bad enough akampelekea the guy lile daftari huku akimuita 'Baba'.!!
This girl alikuwa startled, akamuuliza jamaa yake, na the guy akakubali kuwa he is my son, and issa only reason nilitaka uje nyumbani ufahamu hili nilishindwa kukuambia moja kwa moja, usingenielewa! to cut a long story short, binti alimaindi ila akaja kuelewa, and life goes on..!
Kama vile ambavyo hakuna aijuaye kesho, after a while this guy akapata mchongo ambao ulimlazimu awe nje ya nchi for like two years, every thing sorted out and the girl promised to wait..!!
The guy kweli akafanikiwa kusepa, after few months yakatokea ya kutokea wakapotezana hewani,(I think the guy did it purposely), hivyo kila mmoja akawa anaishi bila taarifa za mwenzie, Binti akaja akapata this very caring man (kwanini wanaume ambao huwa ni vifaa vya watu wanajua kujali hivyo eti.?), wakaanza safari ya mahusiano, 'asiyekuwepo machoni na moyoni sijui nini' naskia walisemaga waswahili.!!
Hapa kweli nikaamini shetani yupo na anatenda kazi yake kwa weledi, this girl got preggy, na baba yake mzazi ni mkali hiyo wanayoita pilipili kichaa irudi shule ikasome, kumuambia this man akasema 'I am sorry that I didn't tell you, I got a family, I've already married few years back, nipo tayari nitalea ila I don't have any other future plans with you honestly'..!
Hii maumivu yake ni maradufu kuliko ile ya kujigonga ukucha na pembe ya kitanda (I'm just saying najua vile inauma), maybe issa karma who knows, this man akaenda kwa kina binti akasema ukweli, Mzee akawaka mwisho wa siku akakubali matokeo kuwa haya maji hayazoleki, wacha tu yakauke.!
Binti akajifungua nyumbani kwao, mtoto kakua kua kamuacha kwa wazazi wake karudi zake huko duniani kuendeleza hustling, kila kitu kilifanyika kwao hivyo asipokuambia ana mtoto ni miaka 100 hutojua, labda kwa wale 'eksipati' wasiyoshindwa na jambo, ni alijua kumficha hasa..!
Maisha mengine kabisa yakaendelea, miaka aliyoahidiwa imepita haoni hata dalili ya that guy kurudi, lakini tayari ako negative kuhusu wanaume,
Siku isiyo na jina ikafika, akapigiwa simu na that guy he is back, na atakuja mkoa aliopo kumuona na kumuelezea what real happened, and shits he had been through.! Lady akafurahi but with a mixed feelings.!!
Hivyo wakaonana wakaongea yote, ila binti hakujaribu hata kwa bahati mbaya kusema yeye tayari ni Mama kwa kidume flani hivii.! Na ukizingatia everything is fine, the guy amerudi kumfuta machozi na kaamua anataka kufanya this thing ikuwe official.!!
Ladies; ungekuwepo kwa hiyo position ungeendelea kuficha siri mpaka uingie ndani ya ndoa ama utasema mapema achague moja?
Gents; ungekuwa kwenye nafasi hiyo ungemuelewa mpenzi wako ukaendelea na mipango ama ndiyo itakuwa mwisho wa mahusiano yenu.?
Mnawe kwa maji tiririka, mvae barakoa, mkunywe maji ya tangawizi na limao na mjifukize, narudia tena mpige nyungu..! (Msopenda thread ndefu sitotaka malalamiko, tafadhali beba tu huu ushauri na uende)
Enwei, kuna mpendwa wangu mmoja alikuwa ana date this gentleman for so long, lakini unluckily hakuwahi kujua kama this guy tayari alishapata mtoto na binti mwingine way back na mtoto yupo nyumbani kwao kijana.!
Kuna kipindi huyu kaka akawa anaforce huyu binti aende nyumbani kwao, (siyo ile official lakini) anataka aende tu kusalimia, binti akawa anagoma anahisi ni mapema sana lakini this guy akatumia ushawishi mpaka akamu win over,
Binti akafika kwa wazazi akatambulishwa kama rafiki, sababu ilikuwa ni mapema mno kwao wote wawili kusema tofauti, lakini binti alishangaa baada ya kukuta kuna this beautiful baby boy kafanana kweli na mpenzi wake, alikuwa anafanya home work, bad enough akampelekea the guy lile daftari huku akimuita 'Baba'.!!
This girl alikuwa startled, akamuuliza jamaa yake, na the guy akakubali kuwa he is my son, and issa only reason nilitaka uje nyumbani ufahamu hili nilishindwa kukuambia moja kwa moja, usingenielewa! to cut a long story short, binti alimaindi ila akaja kuelewa, and life goes on..!
Kama vile ambavyo hakuna aijuaye kesho, after a while this guy akapata mchongo ambao ulimlazimu awe nje ya nchi for like two years, every thing sorted out and the girl promised to wait..!!
The guy kweli akafanikiwa kusepa, after few months yakatokea ya kutokea wakapotezana hewani,(I think the guy did it purposely), hivyo kila mmoja akawa anaishi bila taarifa za mwenzie, Binti akaja akapata this very caring man (kwanini wanaume ambao huwa ni vifaa vya watu wanajua kujali hivyo eti.?), wakaanza safari ya mahusiano, 'asiyekuwepo machoni na moyoni sijui nini' naskia walisemaga waswahili.!!
Hapa kweli nikaamini shetani yupo na anatenda kazi yake kwa weledi, this girl got preggy, na baba yake mzazi ni mkali hiyo wanayoita pilipili kichaa irudi shule ikasome, kumuambia this man akasema 'I am sorry that I didn't tell you, I got a family, I've already married few years back, nipo tayari nitalea ila I don't have any other future plans with you honestly'..!
Hii maumivu yake ni maradufu kuliko ile ya kujigonga ukucha na pembe ya kitanda (I'm just saying najua vile inauma), maybe issa karma who knows, this man akaenda kwa kina binti akasema ukweli, Mzee akawaka mwisho wa siku akakubali matokeo kuwa haya maji hayazoleki, wacha tu yakauke.!
Binti akajifungua nyumbani kwao, mtoto kakua kua kamuacha kwa wazazi wake karudi zake huko duniani kuendeleza hustling, kila kitu kilifanyika kwao hivyo asipokuambia ana mtoto ni miaka 100 hutojua, labda kwa wale 'eksipati' wasiyoshindwa na jambo, ni alijua kumficha hasa..!
Maisha mengine kabisa yakaendelea, miaka aliyoahidiwa imepita haoni hata dalili ya that guy kurudi, lakini tayari ako negative kuhusu wanaume,
Siku isiyo na jina ikafika, akapigiwa simu na that guy he is back, na atakuja mkoa aliopo kumuona na kumuelezea what real happened, and shits he had been through.! Lady akafurahi but with a mixed feelings.!!
Hivyo wakaonana wakaongea yote, ila binti hakujaribu hata kwa bahati mbaya kusema yeye tayari ni Mama kwa kidume flani hivii.! Na ukizingatia everything is fine, the guy amerudi kumfuta machozi na kaamua anataka kufanya this thing ikuwe official.!!
Ladies; ungekuwepo kwa hiyo position ungeendelea kuficha siri mpaka uingie ndani ya ndoa ama utasema mapema achague moja?
Gents; ungekuwa kwenye nafasi hiyo ungemuelewa mpenzi wako ukaendelea na mipango ama ndiyo itakuwa mwisho wa mahusiano yenu.?