Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hao labda waende ccm ingawa nako hawatakubalika kiasi cha kurudi Bungeni.Wakirudi chadema chama kitachafuka na kupoteza credibility yake .Vyama vingine ama kuunda kipya wanaweza ila ndo walishachafuka.Nawashauri pesa zao walizokusanya na mafao yao watakayopata wazielekeze kwenye miradi binafsi.Narudia Kwenye miradi binafsi.Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Sidhani kama msamaha wa Mbowe utasaidia kitu. Wanahitaji msamaha rasmi wa chama.Wakampigie magoti Mbowe awasamehe
Laki moja asilimia ni mara elfu moja kuliko kawaida kwa hesabu ya darasa la tatu. Eti madam?Wakajiajiri tu, kikokotoo chao 100000%
KUSHIRIKIANA NA NDUGAI KUANZISHA CHAMAUngekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Mahakama ishaeweka wazi kuwa walifukuzwa na Chadema, hivyo anayehusika kuwaweka Bungeni kinyume na sheria siyo mahakama ila kwa sasa hoja imehamia kwa Spika.Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Kinachoniuma na kunisikitisha HALIMA "JEMBE" MDEE ni hazina ya taifa inayopotezwa na maamuzi mabaya ya uongozi kwenye vyama.Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Nani aliyekuambia ccm wanamtaka?Kinachoniuma na kunisikitisha HALIMA "JEMBE" MDEE ni hazina ya taifa inayopotezwa na maamuzi mabaya ya uongozi kwenye vyama.
Huyu binti anaweza kushika madaraka yoyote katika nchi hii na kafanya kwa ufanisi. Siasa za CHOYO, WIVU NA UMIMI ndiyo zinazotaka kumuondoa kwenye siasa za MNYOOSHO huyu binti.
CCM impe kazi huyu mama hata asipogombea popote