Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Tulieni mtaona tabia za wanasiasa ngojeni uchaguzi ufike. Hapo ndio mtajua kuna watu hawana aibu na kuwafanya wengine hawana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Laki moja asilimia ni mara elfu moja kuliko kawaida kwa hesabu ya darasa la tatu. Eti madam?
Kwa hiyo tuwaazime akili zetu?Wajitegemee kama walivyoanza.Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Wahamie CCM au warudi CDM ingawa Bora CCM Kwa sababu Wanaweza pata vyeo vya kuitumikia Nchi endapo watashinda Ubunge au bila kushinda Ubunge.Ungekuwa kwenye situation ya wabunge 19 waliofukuzwa CDM lakini bado wapo bungeni kwa hisani ya "mahakama." Ungefanyaje kuelekea uchaguzi wa 2025? Ungerudi CDM, ungeenda CCM au chama kingine? Kila mtu angekufa kivyake au mnafanya kama kundi? Ipi ni best option kwa "Covid-19's"
Sijaona popote nilipoandika CCM wanamtakaNani aliyekuamb
Nani aliyekuambia ccm wanamtaka?
Mdee ana mtoto?Wastafu siasa saivi wamekua wadeal na familia hasa madanga yao
kabisa lo