Ungekuwa kwenye situation ya Mdee, Bulaya et al, ungechangaje karata zako kuelekea uchaguzi wa 2025.

Kwa hiyo tuwaazime akili zetu?Wajitegemee kama walivyoanza.
 
Wahamie CCM au warudi CDM ingawa Bora CCM Kwa sababu Wanaweza pata vyeo vya kuitumikia Nchi endapo watashinda Ubunge au bila kushinda Ubunge.
 
Aibu Sana Siasa Zetu Yaani Kama Hakuna Sheria, Watu Walifukuzwa CDM, Ila CCM,COURT
Wakawabeba Na Kuwaatamia Mpaka 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…