Yaani yule mange hachagui Mtu wa kuchafua Hali ya hewa,angekuwa anachagua bwana adili na mabongo movie wakeNa Mange anavyotoa pesa nzuri sasa 🤣🤣🤣
Mi ss hivi hata pic kupiga za nguo fupi naogopa, huchelewi kujikuta appuni dadeq
Duuuh 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣kwali hata wahuni wanazeekaUnakipigapiga hadi unashangaa kinatoa machozi ya furaha.🤣🤣🤣
Hmm haya malalamiko siyo ya kupuuzia, kwamba hawa mabwana wanasoma PM zetu? Really???🤔Sina haja ya kukutana nao hao baadhi yao wana tabia mbaya sana ya kuingilia PM za watu. Ushauri kwa Maxence Melo na JamiiForums waboreshe eneo la PM hawa Mods wasiwe na access ya kuingia kabisa
Mange yoyote anawaweka, ss hivi had family members tunawaogopa kuwashirikisha mambo yetu hachelewi kukuchafulisha hali ya hewa 🤣🤣🤣Yaani yule mange hachagui Mtu wa kuchafua Hali ya hewa,angekuwa anachagua bwana adili na mabongo movie wake
🤣🤣🤣🤣anazeeka na rasta zake, upara ukishika hatam ndio inabidi anyone sasa.Duuuh 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣kwali hata wahuni wanazeeka
Tatizo la Max wala hasikilizi mnajichosha tuHmm haya malalamiko siyo ya kupuuzia, kwamba haya mabwana wanasema PM zetu? Really???🤔
Cc: Maxence Melo
Yaani hao family member ndio snitch hatariiii..Na ukiwa faragha rule number one, 📵📵📵📵Mange yoyote anawaweka, ss hivi had family members tunawaogopa kuwashirikisha mambo yetu hachelewi kukuchafulisha hali ya hewa 🤣🤣🤣
Na Mimi umenishusha grade😆😆😆??🤣🤣🤣🤣anazeeka na rasta zake, upara ukishika hatam ndio inabidi anyone sasa.
Legend uzee huu mbio zenu naziwezea wapi.
Nakushushaje grade kwa mfano, hizo mbio naziwezea wapi wakati wewe bado dam changa.Na Mimi umenishusha grade😆😆😆??
Mimi damu yangu ni ya rangi ya maroon and not red...Kila siku nasema humu mbona huelewi lakini?🤣🤣🤣Nakushushaje grade kwa mfano, hizo mbio naziwezea wapi wakati wewe bado dam changa.
Hao ndo wanaouza content kwa Mange, siku hizi hakuna kuaminiana kabisa 🤣🤣🤣Yaani hao family member ndio snitch hatariiii..Na ukiwa faragha rule number one, 📵📵📵
Kuna mmoja kasema walitumiana picha za chiu pm kunogesha penzi, imemuuma kujua walionekana eti 🤣🤣🤣🤣
Nikamwambia mtajikuta mmechafua hali ya hewa
Basi naomba nikuweke kwenye top list ya watu ambao itabidi niwaone, hao mods siwataki🤣🤣🤣🤣Mimi damu yangu ni ya rangi ya maroon and not red...Kila siku nasema humu mbona huelewi lakini?🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Na ungependa kuniambia Nini siku ukiniona?Basi naomba nikuweke kwenye top list ya watu ambao itabidi niwaone, hao mods siwataki🤣🤣🤣🤣
ID ya kike usiipe mawasiliano chat nae kawaida malizana PM maana hamna Cha maana Mzee zaidi ya kuchoranaNjia rahisi ya kupata mawasiliano na wajuba wa JF ni kuanzisha ID yenye Jina la kike. Jamaa watagunguka inbox na kutoa namba zao za simu na kufichua ID zao.
Maneno mazito sana yatatamkwa mama🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na ungependa kuniambia Nini siku ukiniona?
Mfano hilo la mtu wa tatu kuonekana mods anajibu tu kirahis na kusema hamna anaeona ila kilichofanyika pale ni ile account ya moderators imepewa some privileges Mojawapo ikiwa ni hiyo ya kuona yanayoendelea PM bila kuonekana ndo maana huwezi kumuona..... maanake njia rahis iwe ni kwenye vle vipaumbele vilivyopo kwenye account ya mod waondoe huo uwezo wa kuaccess PM lkn kama lengo ni usalama bas developers waondoe ile status ya 3 online kwamba isioneshe kama pana mtu wa tatu lkn yupo.Itabidi Max aongeze wataalamu kuzuia Hilo tatizo,