Mapenzi ni furaha ukiwa na umpendae huku penzi likikolezwa kwa utamu wa muziki murua wenye kutikisa ala za huba,huku mtima wa moyo ukiwa umetulia tulii kama kiu kikali kikitulizwa na maji ya mtungi!.
Ewe wangu laaziz sogea karibu yangu na uniimbie nyimbo hii mahususi
View attachment 2113600 Ukiniongeza na hii nakupa na roho yangu kabisa😊
View attachment 2113613
Acha waisome namba eeeeh......
Umenena vyema.