Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Zito ? Huyu hapana hafai kabisa, ni heri nafasi hiyo apewe Chizi MaarifaZitto anasubiria sana hio nafasi.
WeeeeeeeeCharles Kimei
Hii muache rais. Hata ungetaka nani ateuliwe hawezi kuteuliwa kwa vile huna madaraka juu ya hilo.Let assume tunamtafuta mtu wa kumpa nafasi ya Waziri wa fedha; lakini kabla ya kuteua wewe mwananchi ukapewa nafasi yakupendekeza MTU ambaye Una Imani naye...
Kwani huyu aliyekuwepo kafanya nini??, au kakwapua pesa??Let assume tunamtafuta mtu wa kumpa nafasi ya Waziri wa fedha; lakini kabla ya kuteua wewe mwananchi ukapewa nafasi yakupendekeza MTU ambaye Una Imani naye...
Extrovert mwenyew🤣🤣Mimi mwenyewe
Bashe huyu wa kilimo amefanya Matreka used imara kutoka Nje kuingia kwa gharama kubwa kisa pana mchongo umepigwa wahuni wanatengeneza matrekta mapya na kukopesha wakulima...Hussein Bashe
Hata Paschal Mayala anaweza kwani unaelekezwa cha kufanya na mkuu wakoLet assume tunamtafuta mtu wa kumpa nafasi ya Waziri wa fedha; lakini kabla ya kuteua wewe mwananchi ukapewa nafasi yakupendekeza MTU ambaye Una Imani naye...