Unguja yatajwa kuwa kinara kwa matukio ya ukahaba na Ushoga

Unguja yatajwa kuwa kinara kwa matukio ya ukahaba na Ushoga

Hiki si ndio kitovu cha Uislam Tanzania? Ambapo kula mchana Ramadhani ni kosa la jinai
Ndio hivyo mkuu ndugu, Ila huko mwanakwelekwe, kiembesamaki mchambawimba, paje na wete kumejaa mashoga haswa, wanapakuliwa tu
 
Kwenye uisilamu Allah anasema wanaume wanaopumuliana wakitubu waacheni yeye ni mwingi wa huruma na anasamehe!
Kwa hio unamaanisha kwa mujibu wa Allah kwenye Uislam kupumuliana ni ruksa au sio? Yaan waachwe wapumuliane Ila si ni nyie mliandamana juzi kule Mwanza mkidai kwamba Uislam ndio dini pekee inayopinga ushoga kuliko dini zingine Ila yenayotokea ni kinyume chake huko Unguja ambako kumejaa idadi kubwa ya Mashoga ndiko kwenye Waislamu wengi huko visiwani ukiacha Pemba
 
Tambua waumini na waislamu 🤣🤣..hakuna muumini ambaye ni shoga na hatokuja tokea hao ni wale waislamu jina ambao hata Qur an hawaijui
Emu weka utofauti ulipo maana nijuavyo mimi mtu yeyote anaeingia msikitini kuswali au kuswalisha ni muislamu, muumini ni mfuasi au mfuatiliaji sasa wewe unamaanisha wale wanaopumuliwa na ni waislamu basi kwa kua wanaopumuliwa sio waislamu bali ni waumini maana hawauishi uislamu si ndivyo au nimepotoka?
 
Emu weka utofauti ulipo maana nijuavyo mimi mtu yeyote anaeingia msikitini kuswali au kuswalisha ni muislamu, muumini ni mfuasi au mfuatiliaji sasa wewe unamaanisha wale wanaopumuliwa na ni waislamu basi kwa kua wanaopumuliwa sio waislamu bali ni waumini maana hawauishi uislamu si ndivyo au nimepotoka?
Tambua kuswali ili we umeswali na kuwa swala yako imekamilika basi unakuwa umajtakasa na maovu yote yaani uzinzi,wizi,uchawi utapeli, ushoga, riba, usengenyaji na mengine yote kama pombe ,.

Ukisema mtu amaswali basi ni kwamba ametakasika kama anaswali na anafanya hao basi hana swala maana bado hayupo tayar sawa anafunga then anakula kwa Siri au anafanya maaswi kwa Siri...
 
Kwa hio unamaanisha kwa mujibu wa Allah kwenye Uislam kupumuliana ni ruksa au sio? Yaan waachwe wapumuliane Ila si ni nyie mliandamana juzi kule Mwanza mkidai kwamba Uislam ndio dini pekee inayopinga ushoga kuliko dini zingine Ila yenayotokea ni kinyume chake huko Unguja ambako kumejaa idadi kubwa ya Mashoga ndiko kwenye Waislamu wengi huko visiwani ukiacha Pemba
Wakorintho 2 12:7-10

7 Na ili nisijione bora kuliko nilivyo, kutokana na mafunuo haya makuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mtumishi wa she tani, ili anitese. 8 Nimemsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu. 9 Lakini aliniambia, “Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu. 10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, mat usi, taabu, mateso na maafa; kwa maana


🤣🤣🤣Haya tuje ukiwa muumini lazima upate matatizo ili upotee kweny dunia wenye imani kubwa ndo Wana mitihani mikubwa dhidi ya kumshinda shetani ...Yesu mwenyewe alikuwa na mwimba je unaujua ni mwiba gani? Kwamba kila mahali alikuwa na maumivu na ni mtumishi wa shetani .

Je unaweza kuelewa andiko hili?
 
Wakorintho 2 12:7-10

7 Na ili nisijione bora kuliko nilivyo, kutokana na mafunuo haya makuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mtumishi wa she tani, ili anitese. 8 Nimemsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu. 9 Lakini aliniambia, “Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu. 10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, mat usi, taabu, mateso na maafa; kwa maana


🤣🤣🤣Haya tuje ukiwa muumini lazima upate matatizo ili upotee kweny dunia wenye imani kubwa ndo Wana mitihani mikubwa dhidi ya kumshinda shetani ...Yesu mwenyewe alikuwa na mwimba je unaujua ni mwiba gani? Kwamba kila mahali alikuwa na maumivu na ni mtumishi wa shetani .

Je unaweza kuelewa andiko hili?
Emu soma tena hilo andiko coma baada ya mkato alafu weka nukta usisomesome tu bila kuelewa, tuliza ubongo biblia sio gazeti la Sani, Mwanaspoti au Nipashe
 
Emu soma tena hilo andiko coma baada ya mkato alafu weka nukta usisomesome tu bila kuelewa, tuliza ubongo biblia sio gazeti la Sani, Mwanaspoti au Nipashe
Nipo sahihi wewe jaribu kujibu ni hapa hata ukitaka mpaka kesho sioni kama una jipya ziaid ya kubwabwanya.
 
Kwa hio unamaanisha kwa mujibu wa Allah kwenye Uislam kupumuliana ni ruksa au sio? Yaan waachwe wapumuliane Ila si ni nyie mliandamana juzi kule Mwanza mkidai kwamba Uislam ndio dini pekee inayopinga ushoga kuliko dini zingine Ila yenayotokea ni kinyume chake huko Unguja ambako kumejaa idadi kubwa ya Mashoga ndiko kwenye Waislamu wengi huko visiwani ukiacha Pemba
Kama waliandamana kupinga hao nao wamekosa Ilimu ustz!
Kama unamkúmbuka yule shehe Arhumu wa msikiti wa Mtoro Qasim bin Juma kúna waislamu alimuuliza vipi shehe mbona vijana wako safu ya mbele sio rizki!
Alijibu kwenye spika kwamba nilipo pumuliwä mimi hamkusema!
Zamu yangu somenisomeni quran na Ahadithi mpate Ilimu!
 
Hiyo khutba uliyo iandika Kambishie Allah mimi nimenukuu tu!; Mshenga hapigwi!
Halafu mnasemaga makanisa mengi ulaya ulaya yameuzwa na wazungu wengi wanasilimu!
Sasa unashangaa nini wanapo practice uislamu kwa vitendo??[emoji38][emoji38]
Sasa kama nyie ndo chimbuko la ushoga Kwa nn mnalazimisha na sisi tukubali🤣
 
UNGUJA imetejwa kuwa inaongoza kuwa na idadi kubwa ya wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili yao pamoja na wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ikilinganishwa na Pemba.

Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Zanzibar, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk. Saada Salum Mkuya, alisema jumla ya wanawake 5,554 wanauza miili yao Zanzibar ambapo Unguja ni 4,854 na Pemba ni 700.

Alisema idadi ya wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja Zanzibar ni 3,300 ambapo Unguja ni 3,300 wakati Pemba ni 300.

Alisema asilimia kubwa ya maambukizo ya Virusi vya Ukimwi yapo kwa makundi maalum yakiwamo wanawake wanaofanya biashara ya miili yao ambayo ni asilimia 12, wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja asilimia 5 na wanaotumia dawa za kulevya kwa kujidunga sindano asilimia 5.1.

Alieleza takwimu hizo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya Zanzibar mwaka 2018 ambapo watu 2,600 Zanzibar wanatumia dawa za kulevya kwa njia ya kujidunga sindano Unguja ni 2,200 na Pemba ni 400.

Alisema wizara yake imeendelea na jitihada za kuyafikia makundi hayo maalum kwa lengo la kuyapa elimu na kupima maambukizio ya VVU na hadi kufikia Septemba mwaka huu, jumla ya watu 10,378 wa makundi maalum wamefikiwa na 6,424 walikubali kupima VVU ambapo 69 waligundulika na maambukizi ya VVU.

Waziri huyo alieleza kuwa kutoka Julai mwaka jana hadi Juni mwaka huu, jumla ya wajawazito 56,165 wamefanyiwa uchunguzi wa VVU ambapo kati yao 104 waligundulika na VVU, watoto 381 waliozaliwa walichunguzwa afya zao na watano waligundulika na maambukizi ya virusi hivyo.

“Katika kudhibiti maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kiwango cha maambukizi chini ya asilimia tano kinachukuliwa kama ni ishara ya ufanisi katika kuwalinda watoto dhidi ya maambukizi kutoka kwa mama zao,” alisema Dk. Saada.

Alieleza katika kuibua mbinu za kudhibiti mazingira hatarishi yanayoweza kuchangia kuongezeka kwa maambukizi ya VVU, wizara yake kwa kushirikiana na Wizara ya Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, imeweka utaratibu kudhibiti upigaji wa ngoma na muziki katika maeneo mbalimbali Unguja na Pemba kwa kuzuia vibali.

Alisema pia wamefungia baa na nyumba za kulala wageni na hoteli zinazoendeshwa kinyume cha utaratibu au zinazochochea tabia hatarishi pamoja na kudhibiti bandari zisizorasmi kwa kusimamia uingiaji wa wageni wasiokuwa na shughuli zinazoeleweka.

Aidha, alisema Zanzibar bado inakabiliwa na tatizo la unyanyapaa kwa wanaoishi na VVU, licha ya elimu inayotolewa kwa jamii, hivyo aliwasisitiza wananchi kuacha unyanyapaa.

NIPASHE
Na wanawake wa zenji 90% wanatumia geti la dogo la uwani.
 
Hata kule kwenye vitovu vya ukristo mambo haya yapo,

Tena kwa kupitiliza kabisa wanaoana jinsia moja na vyeti vya ndoa wanapewa yaani kwa ufupi wanahalalisha uchafu,

Angalau waislamu hawakuhalalisha ila ni hulka ya binadamu tu kukumbatia uchafu
Kharamu ni kharamu tu haina cha angalau wala afadhari
 
Sasa kama nyie ndo chimbuko la ushoga Kwa nn mnalazimisha na sisi tukubali[emoji1787]
Chimbuko la ushoga ni kaumu luti!
Sasa labda unielimishe kuhusu ilimu hii!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Sahih al-Bukhari 6474
Narrated Sahl bin Sa`d:

Allah's Messenger (ﷺ) said, "Whoever can guarantee (the chastity of) [emoji101][emoji101][emoji101] is between his two jaw-bones and what is between his two legs (i.e. his tongue and his private parts), I guarantee Paradise for him."

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ أَبِي بَكْرٍ الْمُقَدَّمِيُّ، حَدَّثَنَا عُمَرُ بْنُ عَلِيٍّ، سَمِعَ أَبَا حَازِمٍ، عَنْ سَهْلِ بْنِ سَعْدٍ، عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ مَنْ يَضْمَنْ لِي مَا بَيْنَ لَحْيَيْهِ وَمَا بَيْنَ رِجْلَيْهِ أَضْمَنْ لَهُ الْجَنَّةَ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 6474
In-book reference : Book 81, Hadith 63
USC-MSA web (English) reference : Vol. 8, Book 76, Hadith 481
[emoji101][emoji101][emoji101]
IMG_20220805_165704-1.jpg
Screenshot_20220602-161324-1.jpg
JamiiForums-1332504896.jpg
 
Chimbuko la ushoga ni kaumu luti!
Sasa labda unielimishe kuhusu ilimu hii!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Sahih al-Bukhari 6474
Narrated Sahl bin Sa`d:

Allah's Messenger (ﷺ) said, "Whoever can guarantee (the chastity of) [emoji101][emoji101][emoji101] is between his two jaw-bones and what is between his two legs (i.e. his tongue and his private parts), I guarantee Paradise for him."

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ أَبِي بَكْرٍ الْمُقَدَّمِيُّ، حَدَّثَنَا عُمَرُ بْنُ عَلِيٍّ، سَمِعَ أَبَا حَازِمٍ، عَنْ سَهْلِ بْنِ سَعْدٍ، عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ مَنْ يَضْمَنْ لِي مَا بَيْنَ لَحْيَيْهِ وَمَا بَيْنَ رِجْلَيْهِ أَضْمَنْ لَهُ الْجَنَّةَ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 6474
In-book reference : Book 81, Hadith 63
USC-MSA web (English) reference : Vol. 8, Book 76, Hadith 481
[emoji101][emoji101][emoji101]View attachment 2547217View attachment 2547218View attachment 2547219
Urongo hadithi za mwisho mbili ni dhaifu hazipo na hatusomi 😂.

Jamani Mbona kanisani live tunaona wanafungishwa ndoa za mashoga ...Hata viongozi wenu wa juu wanakubaliana na hilo kabisa.


Mbona papa anakubali kabisa wewe unapinga hata bongo mnashindwa kupinga
 
Chimbuko la ushoga ni kaumu luti!
Sasa labda unielimishe kuhusu ilimu hii!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Sahih al-Bukhari 6474
Narrated Sahl bin Sa`d:

Allah's Messenger (ﷺ) said, "Whoever can guarantee (the chastity of) [emoji101][emoji101][emoji101] is between his two jaw-bones and what is between his two legs (i.e. his tongue and his private parts), I guarantee Paradise for him."

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ أَبِي بَكْرٍ الْمُقَدَّمِيُّ، حَدَّثَنَا عُمَرُ بْنُ عَلِيٍّ، سَمِعَ أَبَا حَازِمٍ، عَنْ سَهْلِ بْنِ سَعْدٍ، عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ مَنْ يَضْمَنْ لِي مَا بَيْنَ لَحْيَيْهِ وَمَا بَيْنَ رِجْلَيْهِ أَضْمَنْ لَهُ الْجَنَّةَ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 6474
In-book reference : Book 81, Hadith 63
USC-MSA web (English) reference : Vol. 8, Book 76, Hadith 481
[emoji101][emoji101][emoji101]View attachment 2547217View attachment 2547218View attachment 2547219
Kutubia kwamba wameomba msamaha hata yesu alikaa mzinifu asipigwe mawe ,ni kwamba huwezi kumuhukumu mtu na Allah ana samehe dhambi isipokuwa ushirikina.

Hadithi za chini hapo ni uongo na hazipo unazijua wew kwa vile zilitungwa haziendani na Qur an so ni urongo na hazipo 😂😂....Hakuna kitu kama hicho daima katika uislamu
 
Back
Top Bottom