Unguja yatajwa kuwa kinara kwa matukio ya ukahaba na Ushoga

😂😂😂😂Jibu lip andika kiswahili watu wote wajue aliyetoa maelezo kwanza hajielewi .


Hilo swali ukipata majibu nitag na hayapo maana hata huelewi nn unasoma ..
Commentary ipo kwa kingereza, tafuta mtu aku tafsirie
 
Commentary ipo kwa kingereza, tafuta mtu aku tafsirie
Jibu lako we unapelekwa 😂😂😂hamna jibu hapo basi ni urogo .

Ishu ni kwamba mtapewa 100 times ya mlivyoviacha na kumfuata yesu.
 
Jibu lako we unapelekwa 😂😂😂hamna jibu hapo basi ni urogo .

Ishu ni kwamba mtapewa 100 times ya mlivyoviacha na kumfuata yesu.
Mbona lipo wazi
_ hatuchukui ayo maneno literally, na hatutegemei kupata nyumba 100 baba 100 mama 100watoto 100


Shall receive an hundredfold.--The better MSS. have "manifold more," as in St. Luke. The received reading agrees with St. Mark. Here it is manifestly impossible to take the words literally, and this may well make us hesitate in expecting a literal fulfilment of the promise that precedes. We cannot look for the hundredfold of houses, or wives, or children. What is meant is, that the spirit of insight and self-sacrifice for the sake of God's kingdom multiplies and intensifies even the common joys of life..
 
Unajitahidi sana kuedit Ila ukweli unaujua kua ushoga unaruhusiwa huko kwenu na mnaoana kabisa kanisani tena kwa kuhudhuriwa na viongozi wakubwa wa kanisa.
Weka Ushahidi Yesu Amefundisha uchafu huo kama nilivyo weka Ushahidi toka ilimu ilimu!
Halafu weka Ushahidi Allah kahukumia adhabu gani kwa wanaume wanao pumuliana![emoji101][emoji101]
Allah Amewatakasa Wakristo!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wasemao: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wamo wasomi na wacha Mungu , na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Au kisilamu silamu alipoona wanapumuliana ndio kawapa sifa ya Usomi, uchamungu na hawana kibrj??[emoji101][emoji101]
 
Mwanadamu hawezi kushindana mungu kasema ushoga na ubasha na ukahaba ni haramu mkiwabaini waueni watu wakaanza kupinga hukumu za allah na kuzibeza leo wanalalama
 
Unajitahidi sana kuedit Ila ukweli unaujua kua ushoga unaruhusiwa huko kwenu na mnaoana kabisa kanisani tena kwa kuhudhuriwa na viongozi wakubwa wa kanisa.
Nielimishe hiyo ilimu islamu dogo...
 
Kwani quran yenyewe ni stori!
[emoji116][emoji116]
اللَّهُ نَزَّلَ أَحْسَنَ الْحَدِيثِ كِتَابًا مُّتَشَابِهًا مَّثَانِيَ تَقْشَعِرُّ مِنْهُ جُلُودُ الَّذِينَ يَخْشَوْنَ رَبَّهُمْ ثُمَّ تَلِينُ جُلُودُهُمْ وَقُلُوبُهُمْ إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ ۚ ذَٰلِكَ هُدَى اللَّهِ يَهْدِي بِهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَمَن يُضْلِلِ اللَّهُ فَمَا لَهُ مِنْ هَادٍ

[ AZZUMAR - 23 ]
Mwenyezi Mungu ameteremsha hadithi nzuri kabisa, Kitabu chenye kufanana na kukaririwa; husisimua kwacho ngozi za wenye kumkhofu Mola wao Mlezi. Kisha ngozi zao na nyoyo zao hulainika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Huo ndio uwongofu wa Mwenyezi Mungu, na kwa huo humwongoa amtakaye. Na ambaye ameachwa na Mwenyezi Mungu kupotea, basi hapana wa kumwongoa.
 
Tatizo lipo wapi maana ni asili ya neno Qaraa ambayo maana yake ni kusoma..


Tatizo lipo wapi je unajua tofauti ya Qur na hadithi?
 
Bwana mnayemuabudu ni mume wenu!



54:5 Isaya

Kwa sababu muumba wako ndiye mume wako; BWANA wa majeshi ndilo jina lake;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…